Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko IGP Sirro aanza na wauaji wa Pwani
Habari Mchanganyiko

IGP Sirro aanza na wauaji wa Pwani

Simon Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP)
Spread the love

SIMON Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) ameanza na kuwachimba mkwara mzito watu wanaoendesha mauaji ya viongozi wa serikali, chama na askari Mkuranga, Ikwiriri na Rufiji, anaandika Hamisi Mguta.

Ameyasema hayo na kuwahakikishia wananchi kwamba watu hao siku zao zinahesabika ikiwa ni mara yake ya kwanza kuzungumza tangu kukabidhiwa cheo cha IGP ambacho awali kilikuwa chini ya Ernest Mangu na kuwahakikishia wananchi kwamba siku zao zinahesabika.

Tazama video zaidi alichokizungumza hapa chini…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!