Tuesday , 19 March 2024
Home Habari Mchanganyiko IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda
Habari Mchanganyiko

IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda

Spread the love

Benson Kigaila, Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtuhumu  kamanda Simon Sirro, mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwa jeshi lake linawafahamu  watu ambao inadai hawajulikani, anaandika Hellen Sisya.

Kigaila ameyasema hayo leo hii katika mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam.

Aidha, amesema jeshi la polisi linatakiwa kuanza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ambaye anadaiwa kuvamia kituo cha Clouds akiwa ameambatana na vijana wenye silaha.

Kigaila amehoji kitendo cha jeshi hilo kutaka kupelekewa taarifa rasmi ili liweze kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio la shambulio la risasi dhidi ya Tundu Lissu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Diwani, wananchi wengine 463 wahama Ngorongoro

Spread the loveMakamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

Spread the loveSUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu,...

Habari Mchanganyiko

Bunge laja na Marathon kuchangia ujenzi wa sekondari

Spread the loveBUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajia kukusanya fedha...

error: Content is protected !!