Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Idd Simba afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Idd Simba afariki dunia

Marehemu Idd Simba, enzi wa uhai wake
Spread the love

MFANYABIASHARA, Mbunge wa zamani wa Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Idd Simba (85) amefariki dunia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka ndani ya familia yake zinaeleza, Simba amefariki leo tarehe 13 Februari 2011, wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).

Taarifa za kifo cha Simba ambaye alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika Serikali ya Awamu ya Tatu, chini ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, zimedhibitishwa na mtoto wake Sauda Simba Kilumanga.

Sauda ameeleza kwamba, taratibu za msiba huo bado hazijapangwa, na kwamba utaratibu utaeleza hapo baadaye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yasisitiza kuendelea kuimarisha afya za wafanyakazi

Spread the loveKAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited kwa kushirikiana na kampuni...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

error: Content is protected !!