Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Halima Mdee: Nimeitwa polisi, sijui kuna nini?
Habari za Siasa

Halima Mdee: Nimeitwa polisi, sijui kuna nini?

Halima Mdee, Mbunge wa Kawe
Spread the love

HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti  wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), amepokea wito wa Kamanda wa Upelelezi (RCO) Mkoa wa Kipolisi wa Kindoni, kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Taarifa ya wito huo imetolewa leo tarehe 23 Februari 2019 na Mdee kupitia ukurasa wake wa  mtandao wa kijamii wa Twitter.

Katika taarifa hiyo, Mdee ameandika kwamba ameitwa kwa ajili ya kuhojiwa katika Kituo cha Polisi cha Oesterbay, huku akieleza kuwa, hajui sababu ya wito huo.

“Nimepata WITO wa KUITWA POLISI OYSTERBAY kwa MAHOJIANO.Mpaka SASA sababu ya wito ni NINI. Ngoja TUJONGEE,” ameandika Mdee katika ukurasa wake wa Twitter.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!