Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Hali tete MNH: waliofariki ajali ya moto Moro wafika 97
Habari Mchanganyiko

Hali tete MNH: waliofariki ajali ya moto Moro wafika 97

Spread the love

IDADI ya majeruhi wa ajali ya Lori la mafuta ya petrol lililopinduka na kuwaka moto mkoani Morogoro, na kisha kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), inendelea kupungua baada ya wengine wawili kufariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakiteleko…(endelea).

Rosijo Mollel (35) alifariki jana mchana tarehe 18 Agosti 2019 ambapo Neema Chakachaka amefariki leo alfajiri tarehe 19 Agosti 2019, wamefanya vifo vilivyotokana na ajali hiyo kufika 97.

Taarifa ya vifo hivyo imetolewa leo na Aminiel Aligaesha, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwenye hospitali hiyo na kwamba, majeruhi waliobaki sasa ni 18.

“Majeruhi hao wanaendelea kupatiwa matibabu ICU (chumba cha uangalizi maalum), amesema Aligaesha

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!