Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Fomu namba 34 A yazua utata uchaguzi Kenya
Makala & UchambuziTangulizi

Fomu namba 34 A yazua utata uchaguzi Kenya

Raila Odinga
Spread the love

MUUUNGANO wa NASA, umetangaza kukataa matokeo huku ukisema matokeo yanayotolewa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya, hayana ushahidi wa fomu namba 34 A kama sheria inavyosema, anaandika Irene Emmanuel.

NASA wameomba kukutana na Tume hiyo ili kuangalia ushahidi wa fomu hiyo ya 34 A umefuatwa.

Tamko la NASA limesema kinafanywa sasa na Tume kwa kuacha kuunganisha matokeo na fomu hiyo ambayo ilitakiwa kujazwa na Mawakala na kusainiwa nmi ukiukwaji wa sheria ya uchaguzi.

NASA amesema mpaka sasa fomu hiyo haijaonyeshwa hadharani kwa umma ama wananchi ili wajue matokeo halisi.

Odinga anasema matokeo yote yameathirika kutokana na hiyo fomu kutoonekana.

Kambi ya NASA imeeleza kuwa mengi yamekuwa yakitokea katika uchaguzi huo ikiwemo kuonekana kwa aliyekuwa mtaalamu wa IEBC, Marehemu Chris Musando akiwa bado anaingia katika akaunti ya tume.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!