Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Michezo FC Platinum yabariki usajili wa Chikwende Simba
Michezo

FC Platinum yabariki usajili wa Chikwende Simba

Perfect Chikwende akisaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Simba
Spread the love

KLABU ya FC Platinum inayoshiriku Ligi Kuu nchini Zimbabwe imethibitisha kuwa imefikia makuabaliano na Simba kuhusu uhamisho wa kiungo wao mshambuliani Perfect Chikwende. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam …  (endelea).

Chikwende alionekana mwiba mara baada ya kuwafunga Simba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa nchini Zimbabwe kwenye mzunguko wa kwanza na kufanya timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 na baadae kufungwa bao 4-0 kwenye mchezo wa marudiano uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.

Taarifa kutoka ndani ya klabu ya FC Platinum imeeleza kuwa timu zote mbili zimefikia makubaliano juu ya uhamisho wa mchezaji huyo na hivyo wanamtakia kila la kheri kwenye majukumu yake mapya.

Mchezaji huyo ambaye ameshatua nchini huenda akatambukishwa leo tarehe 15 Januari, 2021 kama mchezaji mpya wa klabu ya Simba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

error: Content is protected !!