Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Falsafa ya Askofu Bagonza kuzama kwa MV Nyerere
Habari MchanganyikoTangulizi

Falsafa ya Askofu Bagonza kuzama kwa MV Nyerere

Spread the love

ANAANDIKA Baba Askofu Dk. Benson Bagonza (PHD), Daktari wa Falsafa na Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.

MAPENZI YA MUNGU NA MAPENZI YETU

Siyo kila kifo ni mapenzi ya Mungu, hata kama Mungu anajua kila kifo. Sio kila ajali ni mapenzi ya Mungu hata kama Mungu anajua kila ajali, tukumbuke pia alimuacha mwana wake kuuawa hata kama alikuwa na uwezo wa kuzuia, alimwacha mwana wake kusalitiwa hata kama alikuwa na uwezo wa kumkomesha usaliti wake.

Hatua zote za maendelea zina ukurasa wa majanga, Dreamliner na Bombadier usiote janga lake, SGR janga lake ni kiama, Stiggler’s Gorge ina janga la kuangamiza mamilioni kwa siku moja kingo za bwawa zikipasuka, meli mpya ya abiria 2,000 ni kaburi la halaiki linaloelea majini.

Uwezo wetu upimwe kwa kushughulikia majanga si kwa kuchochea majanga, poleni wafiwa, ugueni pole majeruhi, tufarijiane watanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!