Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Eliud Ambokile mchezaji bora wa mwezi Septemba
Michezo

Eliud Ambokile mchezaji bora wa mwezi Septemba

Spread the love

MSHAMBULIAJI wa klabu ya Mbeya City, Eliud Ambokile, amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuwashinda wenzake wawili Ibrahim Ajibu wa Yanga na Stamili Mbonde wa Mtibwa Sugar. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Ambokile ambaye mpaka sasa ndiyo kinara wa ufungaji kwa wachezaji wa Ligi Kuu baada ya kupachika wavuni mabao sita katika michezo nane aliocheza na klabu yake ya Mbeya City huku akifuatiwa na Meddy Kagere wa Simba mwenye mabao manne.

Ligi hiyo inatarajiwa kuendelea tena mwisho wa juma hili kwa kupigwa michezo kumi kabla ya kwenda mapumziko ili kupisha michezo ya timu za taifa iliyopo kwenye kalenda ya Shirikisho la mpira wa miguu Duniani FIFA.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!