Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Makongoro Mahanga afariki dunia
Habari za Siasa

Dk. Makongoro Mahanga afariki dunia

Spread the love

DAKTARI Milton Makongoro Mahanga, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam, amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 23 Machi 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa za kifo hicho zimetolewa mapema leo  na Jerome Olomi, Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Ilala.

Olomi amesema Chadema inaendelea kuwasiliana na ndugu wa marehemu kwa ajili ya kujua taratibu za mazishi, kisha kitatoa taarifa baadae kuhusu msiba huo.

“Habari makamanda, taarifa mbaya tusizozitegemea tulizozipata asubuhi hii mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Ilala Dr Milton Makongoro Mahanga  amefariki dunia. Tutazidi kupeana taarifa za taratibu nyingine,” inaeleza taarifa ya Olomi.

Dk. Makongoro kabla umauti kumfika alikuwa Mwenyekiti wa Chadema wilayani Ilala, awali alikuwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!