Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Bashiru: Kamateni hao CCM
Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: Kamateni hao CCM

Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM
Spread the love

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema, mgombea yeyote wa chama hicho atakayejihusisha na vitendo vya rushwa, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wamkamate. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Akizungumza na wanachama wa chama hicho tawala katika Mji wa Kibaya, Kiteto mkoani Mara leo tarehe 12 Julai 2019 amesema, rushwa haikubaliki kwenye chama hicho na kwamba, anayekamatwa sheria ichukue mkondo wake.

Dk. Bashiru yupo mkoani Manyara kwa ziara ya siku mbili ambapo amesema, CCM haikubaliani na viongozi watakaopatikana kwa nununua uongozi.

Na kwamba, uchaguzi wa serikali za mtaa baadaye mwaka huu, hatarajii chama hicho kiwe na viongozi waliopatikana kwa rushwa.

Amesisitiza kwamba, viongozi wanaotarajiwa kupatikana kwenye uchaguzi huo, wanapaswa kutokana na uadilifu wao wenyewe na si kubebwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!