Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Diwani Chadema kugombea ubunge NCCR-Mageuzi
Habari za Siasa

Diwani Chadema kugombea ubunge NCCR-Mageuzi

Mustafa Muro, diwani wa Kinondoni (Chadema)
Spread the love

MUSTAFA Muro, aliyekuwa Diwani wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameomba ridhaa ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Muro ambaye anamaliza muda wake wa udiwani, ametangaza nia hiyo leo Jumatano tarehe 24 Juni 2020, wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam.

Pia amesema, Martha Chilomba, aliyekuwa mwanachama wa Chadema, ametia nia ya kugombea Jimbo la Kawe, jimbo hilo limeongozwa na Halima Mdee (Chadema) kwa miaka 10 (2010-2020).

“Mimi Mustapha Muro, nimetia nia kugombea Kinondoni, bahati mbaya mwenzangu wa Kawe, Martha Chilomba, amepata msiba na ameenda Tabora, pamoja na sisi hapa tunao watia nia wa udiwani,” amesema Murro.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!