Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa
Habari Mchanganyiko

Dawa ya REGEN- COV2 iliyomtibu Trump yapitishwa

Spread the love

DAWA ya virusi vya corona aina ya REGEN- COV2, iliyotumika kumtibu Rais wa Marekani, Donald Trump imeidhinishwa na Mdhibiti wa Dawa Marekani kwa ajili ya watu ambao hawajawa katika hali mbaya. Inaripoti mitandao ya kimataifa.…..(endelea).

Stephen Hahn ambaye ni Kamishna wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) nchini humo, ndiye aliyethibitisha matumizi ya dawa hiyo.

Amesema, dawa hiyo ina mchanganyiko wa kingamwili mbili na kwamba, ilionesha kupunguza idadi ya wagonjwa wa Covid-19 kulazwa pia kupunguza idadi ya wagonjwa wenye dalili kwenye vyumba vya dharura.

Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump

Matibabu ya kingamwili ya Regeneron ni ya pili kuhidhinishwa kwa jili ya matumizi ya dharura kutoka FDA baada ya tiba kama hiyo iliyotengenezwa na Eli Lilly kupewa idhini tarehe 9 Novemba 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!