Tuesday , 16 April 2024
Home Habari Mchanganyiko DART yataja sababu za uhaba wa mabasi
Habari Mchanganyiko

DART yataja sababu za uhaba wa mabasi

Spread the love

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) imekiri uwepo wa uhaba wa mabasi katika vituo vikuu vya Kimara na Gerezani. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kupitia taarifa iliyotolewa jana tarehe 26 Februari 2019 na DART inaeleza kuwa, uhaba wa mabasi katika mfumo ulianza tarehe juzi tarehe 25 Februari 2019.

Taarifa hiyo ilitaja sababu za uhaba huo, kwa kueleza kuwa unatokana na baadhi ya mabasi kufanyiwa matengenezo makubwa na madogo.

“Kupungua kwa idadi ya mabasi waweza kusababisha usumbufu kwa wateja wetu. Tunaomba wateja wetu kuwa na subira wakati mabasi hayo yanafanywa matengenezo, pia tunawaomba radhi wateja wetu kwa usumbufu ambao utakuwa umejitokeza,” ianeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Sekta binafsi yasifu utekelezaji wa Mkumbi

Spread the loveSERIKAL imepongezwa kwa utekelezaji wa mapendekezo ya sekta binafsi kupitia...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya bunge yapigia chapuo kilimo ikolojia

Spread the loveSERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeshauriwa kushirikiana na wadau wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yapata hasara 113 milioni hospitali kuwapa misamaha wagonjwa wasiostahili

Spread the loveSERIKALI imepata hasara ya kiasi cha Sh. 111.76 milioni, baada...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

error: Content is protected !!