Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Dada wa Kabila akamatwa na begi la hela Dubai
Kimataifa

Dada wa Kabila akamatwa na begi la hela Dubai

Spread the love

DADA wa Rais wa Kongo (DRC), Joseph Kabila, anayefahamika kwa jina la Janeth Kabila, amekamatwa na mamilioni ya dola za Kimarekani nchini Imarati (UAE). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Janeth amekamatwa na malioni hayo ya shilingi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dubai International Airport, jana Ijumaa, tarehe 21 Septemba 2018.

Taarifa kutoka nchini humo, zinawanukuu maofisa wa usalama katika uwanja huo wakisema, “Janeth amekamatwa na kiasi cha dola za Marekani 3 milioni (takribani Sh. 7.3 bilioni), zikiwa amezihifadhi kwenye begi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!