Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CUF ya Malim Seif yajichimbia Zanzibar
Habari za SiasaTangulizi

CUF ya Malim Seif yajichimbia Zanzibar

Maalim Seif na Lipumba
Spread the love

BARAZA kuu la  uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), linakutana mchana huu mjini Zanzibar kwa lengo la kujadili mgogoro unaondelea ndani ya Chama hicho, anaandika Hamisi Mguta.

Baraza hilo ambalo ndilo chombo kikuu cha kutoa maamuzi kinatarajia kujadili masuala mbalimbali hususani yanayohusu kuvuliwa uanachama wanane kulikofanywa na mwenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa,  Jaji Francis Mutungi.

Wabunge waliotenguliwa nafasi zao ni Severina Mwijage, Saumu Sakala, Salma Mwassa, Riziki Ngwali, Raisa Mussa, Miza Haji, Hadija Al-Qassmy na Halima Mohamed. Wakati huo kesi mbalimbali zilizotokana na Mgogoro baina ya pande hizo mbili zikiwa zinaendelea Mahakamani.

MwanaHALISI Online itakujulisha zaidi kutoka katika  mkutano huo baadaye…..

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!