Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Corona: Saa 24 watu 572 wafariki A. Kusini
Kimataifa

Corona: Saa 24 watu 572 wafariki A. Kusini

Spread the love

SAA 24 zilizopita, watu 572 wameripotiwa kufariki dunia nchini Afrika Kusini kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti BBC … (endelea).

Baraza la Utafiti wa Tiba nchini humo limeeleza, kwamba upo wasiwasi idadi ya waliofariki ikawa kubwa zaidi ya hiyo kutokana na vifo vingine kutoripotiwa.

“Tuna wasiwasi kuwa, huenda idadi ya waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona ni kubwa zaidi kuliko takwimu zinavyoonesha,” limeeleza baraza hilo.

Tafiti za majuma 10 yaliyopita zinaonesha, kumekuwa na vifo 17,000 zaidi kuliko kawaida na kwamba, kuna vifo 11,000 ambavyo havijaelezwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!