Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Chirwa aibukia Azam FC
Michezo

Chirwa aibukia Azam FC

Spread the love

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Obrey Chirwa amejiunga rasmi na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa mwaka mmoja katika dirisha dogo la usajili akitokea Nagoom El Mostakbal FC ya Misri baada ya kuvunja mktaba wake. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)

Chirwa ambaye hapo awali alitaka kurudi kwenye klabu yake ya Yanga ila kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera aligomea swala hilo kwa sababu ya kumuona mchezaji huyo yupo kimaslahi zaidi.

Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa kinara wa ufungaji ndani ya kikosi cha Yanga katika msimu wa 2017/18 anakwenda kuongeza nguvu ndani ya kikosi cha Azam FC ambacho kinaongozwa na kocha Hans Van Pluijm.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

error: Content is protected !!