Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Chadema yalizwa Njombe
Habari Mchanganyiko

Chadema yalizwa Njombe

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Edwin Swale
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaugulia maumivu baada ya mwenyekiti wake katika Mkoa wa Njombe, Edwin Swale kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Tukio la Swale kuhamia CCM limefanyika tarehe 6 Oktoba 2019, katika ofisi chama hicho Wilaya ya Njombe ambapo mwanachama huyo mpya amekabidhiwa kadi.

Wakati akitimkia CCM, Swale amedai kwamba amevutia na kazi zinazofanywa na Rais John Magufuli hivyo amwekenda CCM kuungana naye.

Mwanachama huyo mpya wa CCM, mwaka 2015 aliwahi kugombea ubunge katika Jimbo la Lupembe kupitia Chadema

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

error: Content is protected !!