Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Chadema kuchambua sekta ya elimu nchini
Elimu

Chadema kuchambua sekta ya elimu nchini

Susan Lyimo, Waziri Kivuli wa Elimu
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kuandaa mkutano na waandishi wa habari ili kuchambua hali ya sasa ya elimu ya juu nchini, anaandika Hellen Sisya.

Akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho leo hii, Halima Mdee, mbunge wa Kawe, amesema kuwa chama chake kupitia kwa Suzan Lyimo, Waziri Kivuli wa Elimu, kitatoa hali halisi ya elimu ya juu ilivyo kwa sasa.

“Serikali inatumia visingizio kubagua Watanzania, na sisi hili suala hili tutalikemea, tutaendelea kulikemea na tutaanda mkutano kwa ajili ya kufanya uchambuzi wa kina wa elimu.

Hata hivyo, Mdee amesema siku na tarehe ya kufanya mkutano huo haijapangwa na kwamba dhamira ya kufanya uchambuzi huo wanayo kama chama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

error: Content is protected !!