Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CCM yapitisha watatu kugombea Urais Z’bar
Habari za SiasaTangulizi

CCM yapitisha watatu kugombea Urais Z’bar

Dk. Hussein Mwinyi, Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM
Spread the love

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepitisha majina matatu yatakayopigiwa kura na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ili kumpata mgombea mmoja wa Urais wa Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Majina hayo ni;
1. Dk. Khalid Salum Muhamed
2. Dk. Hussein Mwinyi
3. Shamsi Vuai Nahodha

Shamsi Vuai Nahodha
Dk. Khalid Salum Muhamed

Awali, majina matano yalipokelewa na kikao cha Kamati Kuu na kujadiliwa na kupatikana matatu;

1. Dk. Hussein Mwinyi
2. Profesa Makama Mbarawa
3. Shamsi Vuai Nahodha
4. Dk. Khalid Salum Muhamed
5. Khamis Mussa Omar

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!