Thursday , 25 April 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

HabariMichezo

Yanga yatawala tuzo za TFF

  Klabu ya soka ya Yanga Mabigwa wa Ligi ya NBC usiku wa jana 7 julai 2022 wameibuka vinara baada ya kutwaa tuzo...

HabariMichezo

Mahakama yawakosa na hatia Sepp Blatter, Michel Platini

RAIS wa zamani wa Fifa Sepp Blatter na makamu wa rais Michel Platini wote wamepatikana bila hatia kufuatia kesi yao ya ulaghai. Anaripoti...

HabariMichezo

Mchengerwa ataka vilabu viwe na viwanja vyao

  Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa amezitaka klabu nchini kuhakikisha wanamili viwanja vyao ili kukuza ustawi wa soka nchini, ambapo...

KimataifaTangulizi

Kashfa ya ngono yamng’oa waziri mkuu

UINGEREZA leo tarehe 7 Julai, imeandika historia nyingine baada ya Waziri Mkuu wa taifa hilo, Boris Johnson ambaye pia ni kiongozi wa chama...

KimataifaTangulizi

Waziri Mkuu: Ninasikitika kuacha kazi nzuri zaidi duniani

  “Ninasikitika kuacha kazi nzuri zaidi duniani lakini ndiyo hali halisi”, hayo ni maneno ya Waziri Mkuu wa Uingerea, Boris Johnson ambaye leo...

Kimataifa

Wafungwa 600 watoroka jela baada ya shambulio

  MAOFISA wa magereza nchini Nigeria wamesema watu wenye silaha walishambulia jela moja katika mji mkuu juzi usiku tarehe 5 Julai, 2022 na...

KimataifaTangulizi

Waziri mkuu akubali yaishe, kujiuzulu leo

  WAZIIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anatarajiwa kujiuzulu kama kiongozi wa chama tawala cha Conservative baadaye leo, lakini ataendelea kuhudumu kama waziri...

Kimataifa

Waziri mkuu Uingereza agoma kujiuzulu

  WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson ameendelea kusisitiza kuwa hatojiuzulu licha ya kuendelea kushinikizwa kufanya hivyo kutokana na kashfa mbalimbali zinazoiandama serikal...

Kimataifa

Rwanda, Congo wakubaliana kumaliza tofauti zao

  JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda zimekubaliana kuanza mchakato wa kumaliza tofauati zao, baada ya mkutano wa marais wa nchi hizo...

Kimataifa

10,000 wafariki vita ya Urusi, Ukraine

  WATU takribani 10,000 wameripotiwa kufariki dunia nchini Ukraine, tangu ilipovamiwa kijeshi na Urusi mwishoni wa Februari, 2022, ambapo Umoja wa Mataifa (UN)...

Elimu

Dirisha maombi mikopo elimu ya juu kufunguliwa Julai 15

  BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema dirisha la uombaji mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka 2022/2023...

Afya

Ubakaji watajwa chanzo fistula wasichana wa umri mdogo

  TATIZO la ubakaji limetajwa kuwa sababu ya kuongezeka kwa matatizo ya fistula kwa wasichana wenye umri mdogo. Anaripoti Jonas Mushi, Dar es...

HabariMichezo

Injinia Hersi kuanza na uwanja Yanga

  Mgombea wa nafasi ya Urais katika klabu ya soka ya Yanga ya Jijini Dar es salaam Injinia Hersi Saidi leo 5 julai,...

Afya

Rais Samia ataka wanaume waone wake zao wanavyojifungua

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na uwepo wa vyumba vya faragha vya wajawazito kujifungulia wakiwa na wenza wao katika jengo...

ElimuTangulizi

Shule za Serikali, wasichana wang’ara matokeo kidato cha sita

  SHULE za Sekondari za Serikali, pamoja na watahiniwa wasichana, wameng’ara katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

AfyaTangulizi

Jengo la mama na mtoto CCBRT kuhudumia wajawazito 12,000 kwa mwaka

  RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya CCBRT ambalo lina uwezo wa kuhudumia wajawazito 12,000 kwa...

Afya

Mkakati CCBRT wapunguza vifo vitokanavyo na uzazi kwa asilimia 47

  MPANGO wa kuboresha huduma ya afya ya uzazi mkoa wa Dar es Salaam, inayoratibiwa na Hospitali ya CCBRT, imesaidia kupunguza vifo vya...

Afya

Tozo za miamala ya simu zajenga vituo vya afya 13 Dar

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema fedha kiasi cha Sh. 4.5 bilioni, zilizotokana na tozo za miamala ya...

Afya

Serikali kujenga vyumba vya faragha vya kujifungulia

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema Serikali ina mpango wa kuanza kujenga vyumba vya faragha vya kujifungulia, katika vituo vya afya vya...

Kimataifa

WHO yatangaza kumalizika Ebola DRC

  SHIRIKA la Afya Ulimwenguni (WHO) limesema mlipuko wa hivi punde wa Ebola umedhibitiwa ndani ya miezi mitatu kutokana na “mwitikio wa haraka”...

HabariMichezo

Sopu aibuka kinara wa mabao ASFC

  MABAO matatu aliyofunga kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Yanga, yamemfanya mshmabuliaji kinda wa Coastal Union, Abdul Seleman Sopu, kuibuka kuwa kinara...

Michezo

Mgunda atoa tahadhari kwa Mayele kesho

  KOCHA Mkuu wa kikosi cha Coastal Union ya Tanga, Juma Mgunda amesema kwenye mchezo wa kesho wa fainali dhidi ya Yanga, hawatocheza...

Kimataifa

Kizza Besigye aachiliwa kwa dhamana Uganda

  ALIYEKUWA mgombea urais nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye na mshtakiwa mwenzake Samuel Lubega Mukaaku wamepewa dhamana ya pesa taslimu ya Sh2.5 milioni...

Kimataifa

Mgombea urais aahidi kuuza korodani za fisi China

  MGOMBEA urais katika Uchaguzi mkuu wa Kenya na wakili msomi Profesa George Wajackoyah ameendelea kujinadi kwa ahadi zenye utata kwa Wakenya baada...

ElimuHabari za Siasa

Watakao kwamisha mradi wa kuboresha Elimu Sekondari kukiona

  NAIBU Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Davidi Silinde,amesema kwa uzembe wowote utakaofanyika kwa na kukwamisha mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari...

ElimuHabari za Siasa

Fomu kujiunga shule za umma zieleze hakuna michango: Majaliwa

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kuanzia sasa fomu za kujiunga na sghule za umma sharti zipitiwe na makatibu Tawala wa Mikoa na...

HabariMichezoTangulizi

Majaliwa aipongeza Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ameipongeza klabu ya soka ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu...

Afya

Wataalam wa afya watakiwa kutumia weledi

  WATAALAMU wa Afya Nchini Tanzania, wameshauriliwa kufanya kazi kwa kuzingatia weledi, uadilifu na maadili ya taaluma yao kwa kutunza miundominu ya majengo...

Elimu

Wanafunzi Shule ya Peaceland wapongeza elimu bure hadi kidato cha sita

  WANAFUNZI wa shule ya msingi Peaceland English Medium iliyopo Ukerewe Jijini Mwanza wamesema kuwa kitendo cha serikali kupitisha elimu bure kuanzia shule...

Kimataifa

Uchaguzi Kenya: Raila na Ruto watofautiana kuhusu usajili wa wapiga kura

  TUME huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC), sasa ipo katika njia panda, kufuatia wagombeaji wawili wakuu wa urais katika uchaguzi...

HabariMichezo

Biashara Mbeya Kwanza zaaga Ligi Kuu

  Klabu ya soka ya Biashara United ya mkoani Mara rasmi imeshuka daraja na kuungana na Mbaya Kwanza iliyokua ishashuka daraja tayari baada...

HabariMichezoTangulizi

Yanga yamaliza Ligi bila kufungwa

  KLABU ya Yanga, rasmi imeingia kwenye rekodi ya kuwa moja ya timu iliyomaliza Ligi kuu Tanzania Bara, bila kupoteza mchezo wowote katika...

Michezo

Mpole aibuka mfungaji Bora Ligi Kuu

  MSHAMBULIAJI wa klabu ya Geita Gold, George Mpole ameibuka kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, akiwa na mabao 17, huku...

ElimuMakala & Uchambuzi

Je, Wamiliki wa kumbi za starehe wanawalenga wanafunzi wa vyuo?

  KUNA usemi usemao “usilolijua ni sawa na usiku wa giza”  na  ndivyo wamiliki wa kumbi za starehe maeneo yaliyo karibu na vyuo...

Michezo

Wasanii Tanzania kufunguliwa milango zaidi soko la Hollywood

  WASANII mbalimbali wa Tanzania hasa wa muziki na filamu wameahidiwa kufunguliwa milango zaidi katika soko na kiwanda kikubwa zaidi duniani cha burudani...

HabariMichezo

Kocha Mpya Simba na rekodi ya mataji barani Afrika

  KLABU ya Simba siku ya jana ilimtambulisha Zoran Maki Manojlovi, raia wa Serbia kuwa kocha wao mkuu ambaye anakuja kurithi mikoba ya...

HabariKimataifa

Urusi yajipanga kuongeza ushawishi, uhusiano wake barani Afrika

  BALOZI mpya wa Urusi nchini Tanzania, Andrei Avetisyan, amesema nchi yake imejipanga kuja na mikakati ya kuimarisha uhusiano na ushawishi wake katika...

HabariMichezo

Yanga waiteka Dar, Pitso awavuliwa kofia

  Klabu ya soka ya Yanga, hii leo tarehe 26 Juni 2022, ilisimamisha jiji la Dar es Salaam, kwa hafla yao ya kusherekea...

HabariMichezo

Simba mambo magumu Mbeya

  KLABU ya Simba imejikuta kwenye wakati mgumu, kufuatia kupoteza mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kukubali kichapo cha bao 1-0,...

Elimu

Baada ya kufuta ada, Serikali kupitia miongozo kupunguza michango shuleni

  SERIKALI ya Tanzania, inajipanga kupitia upya miongozo ya kujiunga shule za sekondari na kidato cha tano na sita, ili kupunguza masuala yanayoongeza...

Michezo

Kill Challenge 2022 kuanza kutimua vumbi Julai 15

MASHINDANO ya Kill Challenge 2022 yanayoratibiwa na Kampuni ya Geita Gold Mine Limited (GGML) yanatarajia kuanza kutimua vumbi Julai 15 mwaka huu yakianzia...

ElimuHabari

CoNAS yajivunia kutoa watafiti wengi wa sayansi asilia nchini

KATIKA kutimiza miaka 60 toka kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ndaki ya Sayansi Asilia na Tumizi inajivunia kutoa wataalum wengi...

HabariMichezo

Yanga kukabidhiwa kombe jijini Mbeya

  Mara baada ya tarehe 15 Juni 2022, kutangzwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu ya Yanga itakabidhiwa rasmi kombe...

Kimataifa

Prince Charles, Camilla kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Madola Rwanda

  MWANAMFALME wa Wales na Duchess wa Cornwall, wamewasili nchini Rwanda katika mji mkuu wa Kigali siku ya Jumanne usiku , kabla ya...

HabariMichezo

Rasmi Mane amtikia Bayern

  MARA baada ya kuhudumu katika kipindi cha misimu sita, hatimaye klabu ya Liverpool ya nchini Uingereza immemruhusu rasmi kuondoka kwenye klabu hiyo,...

Kimataifa

Rais wa Malawi amng’oa Makamu wake kwa tuhuma za ufisadi

  RAIS wa Malawi Lazarus Chakwera amemvua makamu wake Saulos Chilima mamlama yote aliyokabidhiwa, baada ya kutajwa katika kashfa ya ufisadi iliyohusisha kandarasi...

Kimataifa

Wafanyakazi wa ushuru Kenya kuvaa kamera kuzuia rushwa

  MAMLAKA ya Mapato nchini Kenya (KRA), imesema kuwa itaanza kutumia kamera zitakazovaliwa na wafanyakazi wake ili kushughulikia tatizo la wizi wa ushuru...

Kimataifa

Mgahawa maarufu Hong Kong wazama

  MGAHAWA kutoka Hong Kong uliofanya kazi takribani miaka 50 , umezama siku chache baada ya kuvutwa kutoka bandarini. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

Kimataifa

Waziri Mkuu ajiuzulu, Rais amgomea

  WAZIRI Mkuu wa Ufaransa, Elisabeth Borne amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Rais Emmanuel Macron ambaye naye amepinga uamuzi huo. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Mauzo ya figo yaongezeka mtandaoni

  HOSPITALI kuu ya umma kutoka nchini Kenya, imeripoti kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu wanaoulizia nakujitolea kuuza figo zao....

error: Content is protected !!