Saturday , 20 April 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Kimataifa

India, China hatarini kuingia katika mzozo wa kijeshi

RIPOTI ya Jumuiya ya Kijajusi ya Marekani imebaini kuna uwezekano wa kuwepo wa hatari ya kuibuka mzozo wa kijeshi kati ya India na...

Burudika

Makali ya Skillager kwenye ‘Busy Body’ usipime!

MWANAMUZIKI anayekuja kwa kasi kwenye game ya Afro Pop, Felix Philemon Sola ‘Skillager’ ameachia kitu kipya, ‘Body Busy’. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Msanii...

Burudika

Savage adondosha ‘your waist’ X King Perryy, Psycho YP

MSANII wa muziki wa Rap kutoka Nigeria, Savage a.k.a Savage tha Beast amerejea tena na wimbo wake mpya ‘Your Waist’ akiwa amegonga kolabo...

Burudika

Lojay aachia ‘moto’, kusafishia njia EP mpya ‘gangster romantic’

STAA wa Amapiano aliyetesa vilivyo na kibao chake ‘Monalisa’, Lojay sasa ameachia mtaani singo yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘MOTO’, ikiwa ni...

Elimu

Harambee ujenzi sekondari za Musoma Vijijini yashika kasi

  HARAMBEE ya ujenzi na ukarabati wa shule za sekondari zilizoko katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, imeshika kasi baada ya Kampuni...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya Karibu Tanzania Organization ‘KTO’ na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imezidi kuchagiza...

Afya

Manesi 7 mbaroni tuhuma za kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane

  JUMLA ya wauguzi/manesi saba wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama wamefikishwa polisi baada ya kudaiwa kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane. Anaripoti...

Elimu

Shule ya Alpha yazindua mfumo wa kugundua vipaji vya watoto

  SHULE ya Sekondari ya Alpha ya jijini Dar es Salaam imezindua mfumo wa kupima na kugundua vipaji vya watoto kidigitali. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Gavana na watu wengine 5 wauawa kwa risasi Ufilipino

  ROEL Degamo (56), Gavana wa jimbo la katikati mwa Ufilipino pamoja na watu wengine watano, wameuawa jana Jumamosi, tarahe 4 Machi, kwa...

Kimataifa

Wanahabari wa kigeni nchini China walionja joto ya jiwe 2022

VYOMBO vya habari vya kigeni nchini China vilipitishwa kwenye hali ngumu wakati taifa hilo linatekeleza sera yake ya kupambana na Uviko-19 ambapo inadaiwa...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

MASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania ng’ombe yanazidi kutimua vumbi huku timu kadhaa zikiendelea kumenyana katika hatua ya makundi....

Kimataifa

Uchaguzi Nigeria: Tinubu wa chama tawala aongoza matokeo ya awali

  MGOMBEA wa chama tawala Bola Ahmed Tinubu anaongoza uchaguzi mkuu wenye ushindani mkali zaidi nchini Nigeria tangu nchi hiyo irejee kwa demokrasia...

Kimataifa

Sababu Elon Musk kurejea kuwa tajiri namba moja duniani

  ELON Musk amerejea katika nafasi ya kuwa mtu tajiri zaidi duniani, baada ya kupoteza kwa muda mfupi taji kwa Bernard Arnault wa...

Kimataifa

Kamati ya Bunge la Marekani yaiagiza FBI kujibu uwepo wa vituo polisi vya China nchini humo

MWENYEKITI wa Kamati teule ya Baraza la Wawakilishi la Marekani inayoangazia China, ametuma barua kwa Shirika la Upelelezi (FBI) akitaka majibu kuhusu madai...

Elimu

Katibu Mkuu CCM awataka wahitimu vyuo vikuu wasichague kazi

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ametoa wito kwa vijana wanaohitimu vyuo vikuu, wafanye shughuli nyingine za kujitafutia kipato...

Elimu

Rais Samia ateua Katibu Mtendaji NECTA

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA). Anaripoti Regina Mkonde,...

Michezo

Watanzania wang’ara Kilimanjaro International Marathon

WANARIADHA wa kitanzania wameng’ara katika mbio za 21 za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, baada ya kufanya vizuri katika mbio za Km 42...

Elimu

Wahitimu wa kidato cha sita watakiwa kuwa ndoto na mipango madhubuti

KAMISHNA wa Utawala na Raslimali watu wa Jeshi la Polisi nchini, C.P Suzan Kaganda amewataka vijana  hasa wasichana ambao ni wahitimu wa kidato...

ElimuHabari

NACTVET yatoa tuzo kwa wanaotoa nafasi kuendeleza ujuzi,Majaliwa ataka uwekezaji kwenye rasilimali watu

BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni na taasisi amabzo zimetoa...

ElimuHabari

CBE yazindua klabu ya ujasiriamali sekondari ya Temeke Wailes

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimezindua klabu ya ujasiriamali kwa shule ya sekondari Temeke Wailes iliyoko Wilaya ya Temeke jijini Dar es...

ElimuHabari

Vyuo Vikuu bora vya Cyprus, India, Uturuki na Uingereza kufanya maonyesho Dar na Zanzibar

VYUO vikuu bora kutoka  nchi za India, Cyprus, Uingereza, Malaysia na Uturuki vimeleta wawakilishi wake nchini kwaajili ya kuonyesha shughuli zao kwa watanzania...

Michezo

Masanja wa Simba aaga dunia gerezani China

  KIONGOZI mwandamizi klabu ya soka ya Simba ya Tanzania, Marco Masanja, aliyekuwa kifungoni nchini China, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Kimataifa

Ujumbe wa Bunge la Marekani wafanya ziara nchini Taiwan

  MWAKILISHI wa Marekani, Ro Khanna ameongoza msafara wa wajumbe wa Bunge la nchi hiyo nchini Taiwan wikiendi hii kwa lengo la kuimarisha...

ElimuHabari

CBE yaja na klabu za ujasiriamali mashuleni

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimepanga kuanzisha vilabu vya ujasiriamali kwa shule za sekondari mkoani Dar es Salaam na kwa kuanzia kimezindua...

Elimu

Toufiq kutatua changamoto Shule ya Msingi Buigiri

  MBUNGE wa Viti maalum Dodoma (CCM), Fatma Toufiq, ameahidi kushughulikia changamoto ambazo zinaikabili shule ya msingi maalum ya Buigiri iliyopo Chamwino mkoani...

Elimu

Msongamano wanafunzi darasani wazitesa shule Tunduma

  WANANCHI katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kuongeza vyumba vya madarasa katika shule za msingi ili...

Kimataifa

Eric Omondi mbaroni kwa kuongoza maandamano Kenya

  MCHEKASHAJI maarufu kutoka nchini Kenya Eric Omondi ametiwa mbaroni na jeshi la polisi nchini humo, kwa tuhuma za kuongoza kundi la vijana...

Kimataifa

Mwili wa Mwai Kibaki huenda ukafukuliwa, kupimwa DNA

MWILI wa aliyewahi kuwa Rais wa Kenya, Mwai Kibaki, huenda ukafukuliwa kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya DNA endapo Mahakama Kuu nchini humo itakubaliana...

Elimu

Wanafunzi watakiwa kujiamini

MKURUGENZI wa Shule za Feza Tanzania, Ibrahim Yunus amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini kujiamini wanaposhiriki midahalo ya kitaifa na...

Kimataifa

Tetemeko jingine la ardhi laua watatu

TETEMEKO la ardhi lenye kipimo cha 6.4 limeua watu watatu jana tarehe 20 Februari 2023 na kujeruhi wengine zaidi ya 200 katika baadhi...

Kimataifa

Viongozi kanisa la kianglikana duniani wamkataa askofu mkuu anayeunga mkono wapenzi wa jinsia moja

  KUNDI la viongozi wa kanisa la kianglikana kutoka sehemu mbalimbali duniani wamemkataa Askofu Mkuu wa Canterbury, Justin Welby, kuwa kiongozi wao baada...

ElimuHabari

CBE yatamba kuzalisha wahitimu walio tayari kwa soko la ajira

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya biashara zao utakuwa wa...

Kimataifa

Biden afanya ziara ya kushtukiza Ukraine

RAIS wa Marekani Joe Biden amewasili Kyiv – ziara yake ya kwanza nchini Ukraine tangu Urusi ilipovamia karibu mwaka mmoja uliopita. Imeripoti Mitandao...

Elimu

Prof. Mkenda aagiza uchunguzi wa kina shule zilizofanya udanganyifu

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amemuagiza Kamishna wa Elimu kufanya uchunguzi wa kina kwa shule nne zilizobainika kufanya...

Afya

Naibu Waziri awabebesha Wakurugenzi zigo la miradi chini ya kiwango

IMEELEZWA kuwa usimamizi mbovu wa miradi ya maendeleo na ujenzi wa majengo ya ofisi za serikali kwa baadhi ya halmshauri nchini unaotokana na...

Elimu

Chuo cha Kilimo cha Mwl. Nyerere kuanza kutoa mafunzo mwaka huu

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amekitaka Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) kilichopo...

Kimataifa

Bajeti ya India ya 2023 inawezaje kuongeza fursa kwa viwanda vya Taiwan?

  BAJETI ya India ya mwaka 2023 iliyosomwa tarehe 1 Februari ambayo imeelezwa kuwa itafungua dirisha la ushirikiano wa nchi mbili kati ya...

Kimataifa

Nikki Haley ajitosa kumvaa Trump urais Marekani

GAVANA wa zamani wa jimbo la South Carolina, Nikki Haley amesema kwamba atawania uteuzi wa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republikan....

Michezo

Rais Samia kununua kila goli la Simba, Yanga kwa Mil 5

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ametangaza kununua kila goli litakalofungwa katika michezo ya kimataifa ya Simba na Yanga itakayochezwa mwishoni mwa wiki hii....

Elimu

Wanafunzi St Marys wazichachafya shule 59, Ni katika Quiz iliyoandaliwa na TRA

WANAFUNZI wa shule ya St Mary’s Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, wameibuka kidedea kwenye shindano la kujibu maswali mbalimbali yanayohusu kodi. Anaripoti...

Burudika

Msanii maarufu AKA adaiwa kuuawa kwa risasi

RAPA maarufu nchini Afrika Kusini, Kiernan Forbes ‘AKA’ ameuawa akiwa amesimama nje ya mgahawa mmoja huko Durban jana usiku. Kwa mujibu wa taarifa...

Kimataifa

Tetemeko la ardhi laangamiza watu 24,000, mjamzito aokolewa

WAOKOAJI nchini Uturuki na Syria wameendelea na kazi ya kupekua vifusi kuwatafuta manusura au kuopoa miili ya watu waliopoteza maisha kutokana na tetemeko...

Kimataifa

Puto la Kijasusi la China latia mashaka mahusiano yake na Marekani

  PUTO la Kijajasusi la China liliorushwa kwenye anga ya Marekani limetajwa kuwa chanzo cha kuteteresha mahusiano ya nchini hizo mbili. Imeripoti Mitandao...

ElimuTangulizi

12 mbaroni udanganyifu mitihani kidato cha nne, Bunge lagongea msumari

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema jumla ya watu 12 wamekamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kuvujisha mtihani wa...

Kimataifa

Waziri wa mambo ya ndani Kenya matatani, Raila amkingia kifua

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Fred Matiang’i, anasakwa na Jeshi la Polisi nchini humo, huku sababu za hatua hiyo kutowekwa...

Kimataifa

Raia Pakistan walilia haki siku ya Mshikamano Kashimir

RAIA wa Pakistani waishio nchini Tanzania wameadhimisha siku ya Mshikamano wa Kashmir (Kashmir Solidarity Day) inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 5 Februari huku wakiomba...

Kimataifa

Ramaphosa akiri tatizo la umeme Afrika Kusini kuathiri sekta ya madini

  RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema tatizo la umeme limeathiri kwa kiwango kikubwa sekta ya madini ambayo ni nguzo muhimu ya...

Kimataifa

Idadi ya vifo tetemeko la ardhi yafikia 9000

  IDADI ya vifo vilivyotokana na tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu wiki hii nchini Syria na Uturuki vimefikia 9,000. Inaripoti Mitandao ya Kijamii...

Kimataifa

Tetemeko la ardhi Uturuki: Vifo vyaongezeka hadi 4,800

  Idadi ya vifo vilivyotokana na tetemeko lililotokea jana Jumatatu katika mpaka wa Syria na Uturuki, imeongezeka hadi kufikia zaidi ya 4,800 bada...

Kimataifa

Tetemeko la ardhi laua watu 300 Uturuki, Syria

  WATU  300 wamefariki dunia katika tetemeko kubwa la ardhi lenye kipimo cha 7.8, lililotokea leo tarehe 6 Februari 2023, katika mpaka wa...

error: Content is protected !!