Tuesday , 23 April 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Michezo

Timu ya walemavu wa akili yapaa Ujerumani kushiriki Kombe la Dunia

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michezo ya Dunia kwa watu wenye ulemavu wa akili wameondoka kuelekea Ujerumani kushiriki michezo hiyo itakayoanza Juni 17 hadi...

Biashara

Infinix Note 30 yafanya kufuru sokoni, yauzika kwa wingi

KAMPUNI ya simu za mkononi Infinix mwanzoni mwa Mwezihuu ilizindua toleo la Infinix NOTE 30 Series nakusindikizwa na promosheni kubwa ya #Gusanishaijaekuvunja Record...

Biashara

DC Ileje aipongeza STAMICO kwa huduma za kijamii

MKUU wa wilaya Ileje mkoani Songwe, Farida Mgomi amelipongeza Shirika la Madini Taifa (STAMICO) kupitia mgodi wa Kiwira-Kabulo kwa kusaidia wananchi wanaozunguka mgodi...

Biashara

Zanzibar yazungumzia miaka 25 ya mafanikio ya NMB

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa mafanikio yaliyotukuka katika kipindi cha miaka 25 ya kuhudumia Watanzania. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaTangulizi

Bandari za Tanga na Mtwara hazihusiki uwekezaji DP World

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba uwekezaji wa kampuni ya DP World kutoka Dubai hautahusisha bandari zote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Biashara

Mbarawa: Ufanisi bandarini hauridhishi

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa leo Jumamosi amewasilisha bungeni maelezo ya awali kuhusu mapendekezo ya kuridhia mkataba baina ya Serikali...

Elimu

NBC yatoa milioni 100/- kufadhili masomo ufundi stadi

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC ) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wamezindua mpango rasmi wa ufadhili wa masomo...

BiasharaTangulizi

Sakata la ukodishaji Bandari: Bunge limekubali, wananchi wamekataa

  HATIMAYE Serikali ya Tanzania, imeamua kujiandikia historia yake nyingine ya kuingiza nchi katika mikataba tata ya kinyonyaji, kufuatia hatua ya Bunge lake,...

MichezoTangulizi

Benki ya NBC yakabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu kwa Yanga

MDHAMINI Mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya Biashara(NBC) leo Ijumaa aimekabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania...

Biashara

NMB kuchuana na Baraza la Wawakilishi Z’bar

BONANZA la Kudumisha Mashirikiano baina ya Benki ya NMB na Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), linafanyika Jumamosi hii tarehe 10 Juni, 2023 kwenye...

BiasharaTangulizi

TLS wajitosa sakata la ukodishaji wa bandari

  CHAMA cha wanasheria Tanzania (TLS), kimejitosa katika sakata la umilikishwaji wa bandari baada ya serikali kuanzisha makubaliano ya awali na kampuni ya...

Afya

GGML yasikia kilio cha akina mama Geita, yagawa vitanda vya kujifungulia katika vituo Nyankumbu, Kasamwa

 KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imetoa msaada wa vitanda vinne vya akina mama kujifungulia katika vituo vya afya vya Nyankumbu na...

Kimataifa

China kutohudhuria mkutano wa Washington, ishara ya kutotoa nafuu ya deni la Sri Lanka?

  KUTOHUDHURIA kwa China katika mkutano wa kurekebisha deni la Sri Lanka huko Washington kilichoitishwa mwezi Aprili mwaka kumetoa taswira ya Beijing kuendelea...

BiasharaTangulizi

Ngoma bado mbichi mkataba wa Bandari

  SAKATA la mkataba wa uendeshaji, uendelezaji na uboreshaji wa bandari nchini Tanzania kati ya Mamlaka ya Bandari (TPA) na kampuni ya DP...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mkataba unaweza kuvunjwa

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na UAE katika ushirikiano...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mikataba ya utekelezaji bado haijasainiwa

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema Serikali ya Tanzania bado haijasaini mikataba ya utekelezaji wa mkataba...

HabariMichezo

Benki ya NBC yazindua kombe jipya la Ligi Kuu Tanzania Bara

MDHAMINI Mkuu wa Ligi ya NBC , Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Jumatano imezindua kombe jipya la ligi kuu ya soka...

Kimataifa

Kagame afumua tena Jeshi, awafuta kazi maofisa zaidi ya 200 wakiwemo majenerali

  RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda, pamoja na maafisa wengine 14 wa Jeshi...

Biashara

Uongo na upotoshaji unaosambazwa kuhusu ujio wa DP Workd Tanzania

  UONGO 1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100* Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa ukodishaji wa...

Afya

GGML yaadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kutoa elimu kuhusu taka za plastiki

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ambayo ni moja ya migodi maarufu ya AngloGold Ashanti nchini Tanzania, imeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani...

Elimu

Wanafunzi wa St Joseph Dar wabuni Satellite

WANAFUNZI na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph cha jijini Dar es Salaam, wamebuni Satellite ambayo hadi kukamilika kwake itagharimu Dola za...

Biashara

BoT: Akiba fedha za kigeni inaweza kuagiza bidhaa miezi minne

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewatoa hofu Watanzania kuhusu uhaba wa fedha za kigeni hususani Dola za Marekani na kubainisha kuwa mbali na...

Biashara

DP World kuleta mageuzi makubwa bandari ya Dar es Salaam

SERIKALI ya Tanzania inatarajia kuingia makubaliano na kampuni ya Dubai ya DP World ya kuweka uwekezaji binafsi kwenye bandari ya Dar es Salaam...

Kimataifa

Urusi imelipua bwawa kuu la umeme nchini Ukraine

SERIKALI mjini Kyiv nchini, Ukraine imeushutumu utawala wa Rais Vladimir Putin wa Urusi, kwa kulipua bwawa lake kubwa katika kituo cha kuzalisha umeme...

Kimataifa

Rais Kagame afanyia mabadiliko makubwa jeshi, usalama wa taifa

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amefanye uteuzi wa wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi nchini mwake, katika mojawapo ya mabadiliko makubwa kabisa ya...

Biashara

Vodacom yawazawadia mawakala wa usajili kupitia kampeni ya ‘Loyalty Program’ nchini kote

KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imewazawadia mawakala wa usajili wa (Freelancer) ya jiko la gezi na mtungi wake ikiwa ni sehemu ya kampeni yake...

MichezoTangulizi

Yanga malizeni ugomvi na Fei Toto – Rais Samia

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameitaka klabu ya Yanga kumaliza tofauti zake na mchezaji wake wa...

Biashara

Uzinduzi wa Infinix Note 30 wakutanisha wafanyabiashara

  KAMPUNI ya simu za mkononi ya Infinix Tanzania mwisho mwa wiki iliyopita imezindua series ya Infinix NOTE 30 ambazo zimekuja maalum kwa...

Michezo

Samia aipongeza klabu ya Yanga kwa hatua iliyofikia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza klabu ya soka ya Yanga, kwa hatua waliyofikia katika michuano ya...

Michezo

Yanga waitwa Ikulu kesho Jumatatu

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu, tarehe 5 Juni 2023, ameialika Ikulu jijini Dar es Salaam, timu ya Yanga, kupata chakula...

Kimataifa

Miili ya waliofariki kwenye ajali ya treni India, kukabidhiwa baada ya vipimo vya DNA

  TAKRIBANI watu 260 wamefariki na wengine karibu 650 wamejeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea nchini India, huku mamlaka zikisema, “waokoaji hawajaweza kuwapata...

Biashara

NMB yatoa gawio la bilioni 143, yaweka historia

WANAHISA wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Sh 143.1 bilioni kwa mwaka 2022, sawa na Sh 286 kwa kila hisa moja katika...

Kimataifa

Kauli ya Rais wa China kuhusu ajira yawakatisha tamaa vijana

  KAULI ya hivi karibuni ya Rais wa China, Xi Jinping ya kuwataka vijana watafute kwa uchungu kwa mikono yao wenyewe imewakatisha tamaa....

Elimu

Serikali yatoa Sh. 573 mil. kukamilisha wa ujenzi sekondari ulioanzishwa na wanakijiji

  SERIKALI kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetenga Sh. 573 milioni, kwa ajili ya ujenzi wa Sekondari ya Wanyere, wilayani Musoma Vijijini,...

Afya

TEMDO yaanza kuzalisha vifaa tiba, bilioni tatu kutumika

KATIKA kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa vifaa tiba nchini, Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo ya Temdo Tanzania (TEMDO) imeanzisha karakana ya...

Elimu

CBE yaja na kozi mpya 16 zikiwemo za ujasiriamali na uvumbuzi

Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuanzia mwaka wa masomo wa 2023/2024 kimepanga kuwapa wanafunzi ujuzi na maarifa muhimu katika fani za ujasiriamali,...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Jeshi la Sudan lasitisha mazungumzo na wanamgambo wa RSF

  JESHI rasmi la serikali ya Sudan, limesitisha ushiriki wake katika mazungumzo ya kusimamisha mapigano kati yake na wanamgambo wa Rapid Support Forces...

Kimataifa

Wakimbizi laki mbili wa Kongo, Burundi kuhemea chakula

  SHIRIKA la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP), limetangaza kuwa zaidi ya wakimbizi laki mbili waliopo nchini Tanzania, wataanza kupokea nusu ya...

Biashara

IFC yazindua programu ya kuwawezesha wanawake kiuchumi nchini

SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Benki ya Dunia (IFC) imezindua mpango mpya wa kuwezesha wanawake kiuchumi ujulikanao kwa jina la...

Afya

Ummy Mwalimu:Umeme wa uhakika tija kwa uboreshaji huduma za afya

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amepongeza juhudi zinazoendelea kufanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri wa...

Michezo

Dk. Mkwizu: Afrika tudumishe utamaduni

  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro (ALAAT), Dk. Salehe Mkwizu ameshauri nchi za Afrika kudumisha utamaduni wa bara...

Michezo

‘EONII’ kuteka tasnia ya filamu

  UZINDUZI wa Filamu ya Kisayansi ya ‘EONII’ uliofanyika Mei 29 katika Hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, umetajwa kuwa unaenda kufanya...

Elimu

SUA kuhakikisha tafiti zinazofanywa zisiachwe kwenye makabati

  MRATIBU wa utafiti na machapisho katika kurugenzi ya uzamiri, utafiti wa urushaji wa teknolojia na ushauri wa kitaalam kutoka Chuo kikuu cha...

Kimataifa

Mkutano wa Quad Hiroshima waibuka na kutafuta amani na ustawi wa Indo-Pacific

  JITIHADA za mazungumzo ya Pande Nne (Quad), hazikuthaminiwa na baadhi ya nchi kwa sababu ya ubinafsi na tamaa. Imeripotiwa na mitandao ya...

Afya

Madaktari bingwa 10 waliokuwa India warudi na shuhuda nzito kuhusu utalii tiba

MADAKTARI bingwa wa upasuaji wa ubongo wameendelea kuongezeka katika Taasisi ya Mifupa (MOI) na kufikia 16 hali ambayo imeendelea kuifanya Tanzania kuwa kivutio...

KimataifaTangulizi

Mtuhumiwa wa mauaji ya halaiki ya Rwanda akamatwa Afrika Kusini

  MMOJA wa watuhumiwa wakuu wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda (1994), Fulgence Kayishema, amekamatwa nchini Afrika Kusini, baada ya msako wa zaidi...

Kimataifa

Kiwango cha ukosefu wa ajira nchini China chaongezeka

  WAKATI kiwango cha ukosefu wa ajira kwa vijana nchini China kinazidi kuongezeka ikiwa wengine mamilioni wakikaribia kuhitimu vyuo vikuu. Imeripotiwa na ANI...

Michezo

NBC Dodoma Marathon yazinduliwa, wakiambiaji 6,000 kushiriki

BENKI ya NBC imetangaza kufanyika kwa mbio kubwa za NBC Dodoma Marathon Jumapili tarehe 23 Julai 2023 mkoani wa Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Michezo

Rais Samia anunua tiketi 5000 Yanga vs USM Alger

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amejitoa kimasomaso kuhakikisha kuwa Yanga inashinda nyumbani dhidi ya USM Alger ya...

Michezo

Mwenyekiti UVCCM anogesha nusu fainali Kimwanga CUP, Hawa Abdul Rede CUP kwa kishindo

HEKAHEKA za michuano ya kuwania kuingia fainali ya michuano ya ligi ya mpira wa miguu katika ligi ya Kimwanga CUP na mashindano ya...

error: Content is protected !!