Categorizing posts based on content
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michezo ya Dunia kwa watu wenye ulemavu wa akili wameondoka kuelekea Ujerumani kushiriki michezo hiyo itakayoanza Juni 17 hadi...
By Mwandishi WetuJune 12, 2023KAMPUNI ya simu za mkononi Infinix mwanzoni mwa Mwezihuu ilizindua toleo la Infinix NOTE 30 Series nakusindikizwa na promosheni kubwa ya #Gusanishaijaekuvunja Record...
By Mwandishi WetuJune 12, 2023MKUU wa wilaya Ileje mkoani Songwe, Farida Mgomi amelipongeza Shirika la Madini Taifa (STAMICO) kupitia mgodi wa Kiwira-Kabulo kwa kusaidia wananchi wanaozunguka mgodi...
By Mwandishi WetuJune 11, 2023SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa mafanikio yaliyotukuka katika kipindi cha miaka 25 ya kuhudumia Watanzania. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 11, 2023Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba uwekezaji wa kampuni ya DP World kutoka Dubai hautahusisha bandari zote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Gabriel MushiJune 10, 2023WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa leo Jumamosi amewasilisha bungeni maelezo ya awali kuhusu mapendekezo ya kuridhia mkataba baina ya Serikali...
By Mwandishi WetuJune 10, 2023BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC ) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wamezindua mpango rasmi wa ufadhili wa masomo...
By Mwandishi WetuJune 10, 2023HATIMAYE Serikali ya Tanzania, imeamua kujiandikia historia yake nyingine ya kuingiza nchi katika mikataba tata ya kinyonyaji, kufuatia hatua ya Bunge lake,...
By Mwandishi WetuJune 10, 2023MDHAMINI Mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya Biashara(NBC) leo Ijumaa aimekabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania...
By Mwandishi WetuJune 9, 2023BONANZA la Kudumisha Mashirikiano baina ya Benki ya NMB na Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), linafanyika Jumamosi hii tarehe 10 Juni, 2023 kwenye...
By Mwandishi WetuJune 9, 2023CHAMA cha wanasheria Tanzania (TLS), kimejitosa katika sakata la umilikishwaji wa bandari baada ya serikali kuanzisha makubaliano ya awali na kampuni ya...
By Mwandishi WetuJune 9, 2023KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imetoa msaada wa vitanda vinne vya akina mama kujifungulia katika vituo vya afya vya Nyankumbu na...
By Mwandishi WetuJune 9, 2023KUTOHUDHURIA kwa China katika mkutano wa kurekebisha deni la Sri Lanka huko Washington kilichoitishwa mwezi Aprili mwaka kumetoa taswira ya Beijing kuendelea...
By Mwandishi WetuJune 9, 2023SAKATA la mkataba wa uendeshaji, uendelezaji na uboreshaji wa bandari nchini Tanzania kati ya Mamlaka ya Bandari (TPA) na kampuni ya DP...
By Mwandishi WetuJune 8, 2023MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na UAE katika ushirikiano...
By Gabriel MushiJune 8, 2023MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema Serikali ya Tanzania bado haijasaini mikataba ya utekelezaji wa mkataba...
By Mwandishi WetuJune 8, 2023MDHAMINI Mkuu wa Ligi ya NBC , Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Jumatano imezindua kombe jipya la ligi kuu ya soka...
By Mwandishi WetuJune 7, 2023RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda, pamoja na maafisa wengine 14 wa Jeshi...
By Mwandishi WetuJune 7, 2023UONGO 1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100* Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa ukodishaji wa...
By Mwandishi WetuJune 7, 2023KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ambayo ni moja ya migodi maarufu ya AngloGold Ashanti nchini Tanzania, imeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani...
By Mwandishi WetuJune 7, 2023WANAFUNZI na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph cha jijini Dar es Salaam, wamebuni Satellite ambayo hadi kukamilika kwake itagharimu Dola za...
By Mwandishi WetuJune 7, 2023BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewatoa hofu Watanzania kuhusu uhaba wa fedha za kigeni hususani Dola za Marekani na kubainisha kuwa mbali na...
By Gabriel MushiJune 6, 2023SERIKALI ya Tanzania inatarajia kuingia makubaliano na kampuni ya Dubai ya DP World ya kuweka uwekezaji binafsi kwenye bandari ya Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJune 6, 2023SERIKALI mjini Kyiv nchini, Ukraine imeushutumu utawala wa Rais Vladimir Putin wa Urusi, kwa kulipua bwawa lake kubwa katika kituo cha kuzalisha umeme...
By Mwandishi WetuJune 6, 2023RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amefanye uteuzi wa wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi nchini mwake, katika mojawapo ya mabadiliko makubwa kabisa ya...
By Mwandishi WetuJune 6, 2023KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imewazawadia mawakala wa usajili wa (Freelancer) ya jiko la gezi na mtungi wake ikiwa ni sehemu ya kampeni yake...
By Mwandishi WetuJune 6, 2023RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameitaka klabu ya Yanga kumaliza tofauti zake na mchezaji wake wa...
By Mwandishi WetuJune 5, 2023KAMPUNI ya simu za mkononi ya Infinix Tanzania mwisho mwa wiki iliyopita imezindua series ya Infinix NOTE 30 ambazo zimekuja maalum kwa...
By Mwandishi WetuJune 5, 2023RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza klabu ya soka ya Yanga, kwa hatua waliyofikia katika michuano ya...
By Mwandishi WetuJune 4, 2023RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu, tarehe 5 Juni 2023, ameialika Ikulu jijini Dar es Salaam, timu ya Yanga, kupata chakula...
By Mwandishi WetuJune 4, 2023TAKRIBANI watu 260 wamefariki na wengine karibu 650 wamejeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea nchini India, huku mamlaka zikisema, “waokoaji hawajaweza kuwapata...
By Mwandishi WetuJune 4, 2023WANAHISA wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Sh 143.1 bilioni kwa mwaka 2022, sawa na Sh 286 kwa kila hisa moja katika...
By Mwandishi WetuJune 2, 2023KAULI ya hivi karibuni ya Rais wa China, Xi Jinping ya kuwataka vijana watafute kwa uchungu kwa mikono yao wenyewe imewakatisha tamaa....
By Mwandishi WetuJune 2, 2023SERIKALI kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetenga Sh. 573 milioni, kwa ajili ya ujenzi wa Sekondari ya Wanyere, wilayani Musoma Vijijini,...
By Mwandishi WetuJune 1, 2023KATIKA kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa vifaa tiba nchini, Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo ya Temdo Tanzania (TEMDO) imeanzisha karakana ya...
By Mwandishi WetuJune 1, 2023Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuanzia mwaka wa masomo wa 2023/2024 kimepanga kuwapa wanafunzi ujuzi na maarifa muhimu katika fani za ujasiriamali,...
By Mwandishi WetuMay 31, 2023JESHI rasmi la serikali ya Sudan, limesitisha ushiriki wake katika mazungumzo ya kusimamisha mapigano kati yake na wanamgambo wa Rapid Support Forces...
By Mwandishi WetuMay 31, 2023SHIRIKA la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP), limetangaza kuwa zaidi ya wakimbizi laki mbili waliopo nchini Tanzania, wataanza kupokea nusu ya...
By Mwandishi WetuMay 31, 2023SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Benki ya Dunia (IFC) imezindua mpango mpya wa kuwezesha wanawake kiuchumi ujulikanao kwa jina la...
By Danson KaijageMay 31, 2023WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amepongeza juhudi zinazoendelea kufanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri wa...
By Mwandishi WetuMay 30, 2023MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro (ALAAT), Dk. Salehe Mkwizu ameshauri nchi za Afrika kudumisha utamaduni wa bara...
By Mwandishi WetuMay 30, 2023UZINDUZI wa Filamu ya Kisayansi ya ‘EONII’ uliofanyika Mei 29 katika Hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, umetajwa kuwa unaenda kufanya...
By Seleman MsuyaMay 30, 2023MRATIBU wa utafiti na machapisho katika kurugenzi ya uzamiri, utafiti wa urushaji wa teknolojia na ushauri wa kitaalam kutoka Chuo kikuu cha...
By Christina HauleMay 29, 2023JITIHADA za mazungumzo ya Pande Nne (Quad), hazikuthaminiwa na baadhi ya nchi kwa sababu ya ubinafsi na tamaa. Imeripotiwa na mitandao ya...
By Mwandishi WetuMay 28, 2023MADAKTARI bingwa wa upasuaji wa ubongo wameendelea kuongezeka katika Taasisi ya Mifupa (MOI) na kufikia 16 hali ambayo imeendelea kuifanya Tanzania kuwa kivutio...
By Mwandishi WetuMay 26, 2023MMOJA wa watuhumiwa wakuu wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda (1994), Fulgence Kayishema, amekamatwa nchini Afrika Kusini, baada ya msako wa zaidi...
By Mwandishi WetuMay 25, 2023WAKATI kiwango cha ukosefu wa ajira kwa vijana nchini China kinazidi kuongezeka ikiwa wengine mamilioni wakikaribia kuhitimu vyuo vikuu. Imeripotiwa na ANI...
By Mwandishi WetuMay 24, 2023BENKI ya NBC imetangaza kufanyika kwa mbio kubwa za NBC Dodoma Marathon Jumapili tarehe 23 Julai 2023 mkoani wa Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMay 23, 2023RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amejitoa kimasomaso kuhakikisha kuwa Yanga inashinda nyumbani dhidi ya USM Alger ya...
By Mwandishi WetuMay 22, 2023HEKAHEKA za michuano ya kuwania kuingia fainali ya michuano ya ligi ya mpira wa miguu katika ligi ya Kimwanga CUP na mashindano ya...
By Mwandishi WetuMay 22, 2023