Saturday , 20 April 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Kimataifa

Mrithi wa Ali Bongo aapishwa, aahidi kurejesha madaraka kwa raia

JENERALI Brice Nguema, aliyemng’oa madarakani Rais wa Gabon, Ali Bongo katika mapinduzi ya kijeshi  yaliyofanyika wiki iliyopita, ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa...

Biashara

Kampuni 500 kushiriki kongamano  kutathmini viwanda nchini

KAMPUNI 500 kutoka China, Tanzania, Angola, Kenya na Ethiopia zinatarajiwa kukutana tarehe 25  Septemba 2023 jijini Dar es Salaam, kutathmini eneo la viwanda...

Biashara

Kasino ya Princess of Birds inavyokupa ushindi wa uhakika

  HII ni hadithi ya kasino mtandaoni yenye kuvutia ambayo itakukutanisha na mwanamfalme/Princess. Lakini, huyu sio princess wa kawaida, ni princess wa kutoka...

Biashara

Kutana na mabinti wa msituni wanaomwaga maokoto kwa Sloti ya Fairy Forest

  ILI kupata maokoto mengi tunakushauri kuanza safari fupi kwenda kwenye msitu wa kichawi kwenye sloti hii utakutana na mabinti wa msituni. Ingia...

BiasharaHabari Mchanganyiko

BetPawa, Polisi waungana kutoa mafunzo  ya usalama barabarani kwa bodaboda

ZAIDI ya waendesha bodaboda 250 mkoani Dar es Salaam wamenufaika na mafunzo ya usalama barabarani yalioandaliwa na kutolewa na Kampuni ya BetPawa kwa...

Biashara

Las Vegas Kasino ilipoanzia, fahamu haya machache

    JE, umewahi kutembelea mji mkuu wa tamaduni za kasino, Las Vegas? Ikiwa hujawahi, sasa hii ndio fursa kamili kwako! Karibu mahali...

Elimu

Shule ya East Africa yaahidi kufanya maajabu kitaaluma

MWENYEKITI wa Wazazi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Dk. Rose Rwakatare, ameishukuru serikali kwa kuendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wazawa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Elimu

Wanafunzi shule ya East Africa Dodoma waonyesha vipaji

KATIKA kukimarisha afya ya akili na mwili kwa wanafunzi shule ya Awali na Msingi ya East Africa iliyoko Kikuyu jijini Dodoma, imeanzisha somo...

Michezo

Fatuma Nyangasa awafagiria Corefa kuanzisha vituo vya michezo

MKUU wa wilaya ya Kisarawe, Fatuma Almas Nyangasa amesema amefarijika na kasi ya uongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Pwani...

BiasharaMichezo

Hot Spin Deluxe inakupa uwezo wa kuchagua malipo kwenye mistari 20

  MCHEZO wa kasino mtandaoni wenye nguvu wa Hot Spin Deluxe kutoka kwa watoa huduma wa iSoftBet unakuleta ulimwengu wa kipekee wa bonasi...

BiasharaMichezo

Meridianbet ndiyo sehemu ya kupiga mkwanja wikiendi hii

  HAKUNA kujiuliza tena wala kuumiza kichwa tena utapata wapi mkwanja na kumaliza wikiendi yake kibabe ni hivi Meridianbet ndio sehemu pekee unaweza...

Afya

Bilioni 5.9 zatumika kununua viuadudu

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetumia kiasi cha Sh 5.9 bilioni kununua viuadudu katika ngazi ya Halmashauri ndani ya kipindi cha mwaka 2017...

Biashara

Keno ya Meridianbet ushindi ni rahisi cheza sasa!!

  HAPA tena Meridianbet kasino ya mtandaoni tunakuletea mchezo wa namba wenye bonasi kubwa na rahisi kucheza, mchezo wa keno ni moja ya...

BiasharaMichezo

NMB yatumia milioni 130 kusaidia bonanza la wabunge 

BENKI ya NMB imekabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya Sh90 milioni kwa Timu ya Bunge huku wakisisitiza umuhimu wa ushirikiano. Anaripoti Mwandishi...

Elimu

Musoma Vijiji kumuenzi bingwa wa Kiswahili, Prof. Massamba

WANANCHI wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameahidi kujenga shule ya sekondari itakayopewa jina la Prof. David Masamba, ili kuuenzi mchango wake katika kukuza...

Biashara

MC ajenga ukumbi wa bilioni 1.5, vijana wapewa ujumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) jijini Dodoma, Wisdom Gowele ametoa wito kwa vijana kutumia nguvu zao ujanani kuwekeza...

Michezo

Mkuu wa wilaya Kisarawe kuzindua kituo cha michezo wilayani humo

MKUU wa wilaya ya Kisarawe, Fatuma Almas Nyangasa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa kituo cha michezo wilaya ya Kisarawe kesho smptemba...

AfyaHabari Mchanganyiko

Rais Samia akagua ujenzi wa kituo cha afya Kizimkazi kinachojengwa na Serikali, NBC

RAIS Samia Suluhu Hassan ametembelea ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kizimkazi kilichopo Mkoa wa Kusini Unguja kinachojengwa na Serikali kwa kushirikiana na...

KimataifaTangulizi

Mwanaye rais aliyepinduliwa Gabon, afumwa na mabegi ya pesa

Mabegi, mifuko pamoja na masanduku yaliyojazwa fedha za nchi mbalimbali yamekutwa ndani ya nyumba ya Yann Ngulu mtoto mkubwa wa Rais Ali Bongo...

Biashara

Prof. Kitila asisitiza uwekezaji hatifungani ya kijani

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo ametoa rai kwa wananchi, kampuni za sekta binafsi na umma, taasisi...

Biashara

Rais Samia azindua tawi la 230 NMB Kizimkazi Zanzibar

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan jana Jumatano amezindua Tawi la Benki ya NMB Paje, Mkoa wa Kusini Unguja Visiwani Zanzibar, uzinduzi unaoendelea kupanua...

Kimataifa

Binamu wa Ali Bongo ateuliwa kuwa rais wa mpito Gabon

VIONGOZI wa kijeshi waliochukua madaraka nchini Gabon wamemtangaza mkuu wa kitengo cha walinzi wa rais, Brice Clotaire Oligui Nguema, kama kiongozi wa mpito...

Biashara

Rais Samia aipongeza Camel Oil kwa mradi wa bilioni Zanzibar

RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza  Kampuni ya Camel Oil kwa kufadhili ujenzi wa mradi wa kituo cha michezo cha kufurahisha watoto kuanzia miaka...

Kimataifa

70 wahofiwa kufa kwa ajali ya moto Sauz

ZAIDI ya watu 70 wanahofiwa kufa baada ya kuungua kwa ajali ya moto katika jengo la ghorofa tano ambalo linatumiwa na watu wasio...

Kimataifa

Kiwango cha deni la Kenya chafikia rekodi ya juu, deni la China latajwa

pPAMOJA na jitihada za Rais wa Kenya William Ruto za kudhibiti kiwango cha deni la taifa hilo lakini inaripotiwa madeni kufika rekodi za...

Biashara

Serikali yaanza mchakato kumsaka mwekezaji General Tyre

Serikali imesema ipo mbioni kukamilisha taratibu za kuutangaza zabuni ya kufufua kiwanda cha kutengeneza matairi cha General tyre kilichopo mkoani Arusha ifikapo Oktoba,...

Kimataifa

Ruto ageuka mbogo walanguzi sukari, “wahame au waende mbinguni”

RAIS wa Kenya, William Ruto ametoa onyo kwa walanguzi wa biashara ya sukari nchini humo ambao wanazuia mchakato wa kutaka kufufuliwa kwa kampuni...

Elimu

TCU yatoa maelekezo tisa, yaonya vyuo

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imetoa maelekezo tisa yanayopaswa kufuatwa vyuo vya elimu ya juu na waombaji wapya katika mchakato wa udahili...

Biashara

Rais Samia azindua ujenzi skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

RAIS Samia Suluhu Hassan ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Maandalizi Tasani, iliyopo Shehia ya Tasani, Makunduchi – Zanzibar inayojengwa...

Kimataifa

Kesi ya Trump Machi mwakani, mbio za urais shakani

KESI dhidi ya rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump kutokana na madai ya kujaribu kuingilia matokeo ya uchaguzi wa rais wa 2020...

Kimataifa

Raia wa China atiwa mbaroni kwa kusambaza sigara ‘feki’ Colombo

RAIA wa China aliyekamatwa kwa kosa la kusambaza sigara zenye chapa ya kichina huko Colombo Sri Lanka amehukumiwa kulipa faini ya Rupia Milioni...

Afya

Rais Dk. Mwinyi azindua ujenzi wa kituo cha afya Kizimkazi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amezindua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kizimkazi kilichopo Mkoa...

Biashara

NBC yashiriki ‘Wogging’ ya AMREF, yakabidhi msaada wa Mil. 200

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi pamoja na...

ElimuMichezo

Tunda Man azishauri shule kuwa na programu za kuibua vipaji

  MWANAMUZIKI Khaleed Ramadhan maarufu kama Tunda Man alifanya onyesho la aina yake kwenye shule ya Brilliant na kuzishauri shule ziwe na profamu...

Kimataifa

Nimedhulmiwa ushindi wa Urais– Chamisa

MPINZANI katika uchaguzi mkuu nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa amelalamika kudhulumiwa haki yake ya kushinda kuwa Rais wa Zimbabwe dhidi ya Emmerson Mnangagwa kwenye...

Biashara

DC Same atoa mwezi mmoja halmashauri kuhamisha gulio

MKUU wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni ametoa mwezi mmoja kwa uongozi wa halmashauri hiyo kuhamisha gulio linalofanyika Jumatano hadi Jumapili eneo lililotengwa...

Elimu

Wanafunzi bora shule ya Brilliant kutesa na iphone macho matatu

MKURUGENZI wa shule ya Brilliant Dk. Jasson Rweikiza, amesema hakuna mwanafunzi wa shule hiyo atakayefukuzwa kwa kukosa ada baada ya kufiwa na mzazi...

Michezo

Mkewe Messi amkumbatia Jordi Alba kimakosa akidhani ni mumewe

BAADA ya ushindi wa timu anayochezea Lionel Messi, Inter Miami dhidi ya FC Cincinnatti kwa matuta ya penalty nchini Marekani, uwanja ulifurika kwa...

Kimataifa

Waziri Libya atumbuliwa baada ya kukutana na mwenzie wa Israel

KIONGOZI wa serikali ya Libya amemsimamisha kazi waziri wake wa mambo ya nje baada ya mwenzake wa Israel kutangaza kuwa, wawili hao walifanya...

Kimataifa

Rais Mnangagwa ashinda uchaguzi, upinzani wapinga

TUME ya taifa ya uchaguzi nchini Zimbabwe imemtangaza Rais Emmerson Mnangagwa kuwa mshindi wa kiti cha Urais katika uchaguzi uliofanyika Jumatano 23 Agosti...

Biashara

Bosi NMB akabidhi misaada ya milioni 10 kwa New Hope for Girls

MIEZI mitano tangu alipotunukiwa Tuzo ya Malkia wa Nguvu (wa Sekta Binafsi Tanzania), Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna,...

Biashara

ASAS Dairies yajitosa kuokoa afya za watoto wadumavu Z’Bar

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapindizi Zanzibar za kumaliza tatizo la udumavu kwa watoto  kampuni ya Asas Dairies  imezindua programu ya...

Elimu

Serikali yaombwa kupunguza kodi shule binafsi

SERIKALI imeombwa kuzipunguzia mzigo wa kodi shule binafsi ili zimudu gharama za uendeshaji kwa lengo la kutoa huduma bora za elimu. Anaripoti Regina...

Biashara

Wakulima walia anguko bei ya Vanila, Serikali yawa bubu

LICHA ya Serikali kuhamasisha kilimo kwa ajili ya kuwainua wakulima kipato cha chini, wakulima wa zao la vanila katika kata ya Kanyangereko Wilaya...

Elimu

Wadau waombwa kutatua changamoto shule za umma

SERIKALI na wadau wametakiwa kujitoa katika kutatua changamoto zinazokabili shule za umma. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti...

Biashara

Biashara ya China, Tanzania yafikia trilioni 20

BALOZI wa China nchini, Chen Mingjian, amesema ukuaji wa biashara kati yake Tanzania kuanzia mwaka 2022 hadi Juni, 2023, umefikia Dola za Marekani...

Kimataifa

Trump ajisalimisha polisi, aachiwa kwa dhamana

Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump jana Alhamisi amejisalimisha kwa Polisi katika Jimbo la Georgia kutokana na mashtaka yanayomkabili akidaiwa kujaribu kubadili matokeo...

Michezo

Mkurugenzi Special Olympics Tanzania aivuruga taasisi

MKURUGENZI wa Taasisi ya Special Olympics Tanzania (SOT), Charles Rays anaivuruga taasisi hiyo inayojishughulisha na michezo kwa watu wenye ulemavu wa akili kwa...

Kimataifa

Upinzani Zimbabwe walia rafu uchaguzi mkuu

Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa, ameituhumu serikali ya nchi hiyo kwa udanganyifu na wizi wa kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana...

Kimataifa

Mamlaka ya Afya China yazindua kampeni ya kupambana na rushwa, wachambuzi waja tofauti

  SEKTA za matibabu na dawa za nchini China zimetajwa kuwa ndio kipaumbele cha kipekee zaidi katika kampeni ya Rais Xi Jinping ya...

error: Content is protected !!