Categorizing posts based on content
Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema katika mikataba hiyo mitatu, serikali itakuwa inapata ada na tozo...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023KAMA unataka kukusanya maokoto leo hii nenda pale Meridianbet suka jamvi lako vizuri kabisa kisha weka dau lako usubiri maokoto ya maana hapo...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023SHULE ya Msingi na Sekondari St. Marys Mbezi Beach imesema imejenga viwanja vya michezo shuleni hapo kama moja ya njia ya kuhamasisha michezo...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023HAYAWI hayawi sasa hatimae yamekua na hiyo ni baada yakampuni ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet kufikamaeneo ya Tabata Visiwani na kugawa vifaa...
By Mwandishi WetuOctober 21, 2023Mfanyabishara maarufu nchini, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake ya Taifa Group, ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza kwenye sekta ya uzalishaji umeme kwa...
By Gabriel MushiOctober 21, 2023Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kupokea orodha ya wagombea 24 wa urais ambao wamejisajili kuwania katika uchaguzi wa...
By Mwandishi WetuOctober 21, 2023KAMA umewahi kucheza kasino ya mtandaoni Meridianbet naumejaribu kucheza michoz mingi na kuwa mshindi, basinakwambia bado hujamaliza yote kuna hii sloti ya Book...
By Mwandishi WetuOctober 20, 2023KAMA unataka kufurahia wikendi yako bashiri na Meridianbet siku hizi za mapumziko uweze kujipigia maokoto yatakayokufanya ufarahie sana kwani mabingwa hawa wa ubashiri...
By Masalu ErastoOctober 20, 2023NYAMARI Ongegu anayejulikana zaidi kama Nyashinski ameahidi makubwa katika onyesho lake la kesho katika Tamasha kubwa la Serengeti Oktoba Festival litakalofanyika kesho...
By Mwandishi WetuOctober 20, 2023TANGU vita baina ya taifa la Israel na wanamgambo wa Hamas kutoka Ukanda wa Gaza nchini Palestina viibuke tarehe 7 Okotoba 2023, kumeripotiwa...
By Mwandishi WetuOctober 20, 2023MWANAHARAKATI huru, Bihimba Nasoro Mpaya, imesaidia ujenzi wa ukuta wa shule ya Sekondari ya Abbuy Jumaa, iliyoko Kivule jijini Dar es Salaam, kwa...
By Regina MkondeOctober 20, 2023MARUBANI wote wanajua sehemu pekee ya kupata ndege ya bure ya kupaa nayo, meridianbet wanaendelea kutoa free bet kwenye kasino yao ya mtandaoni...
By Masalu ErastoOctober 19, 2023WAKATI Tanzania ikiungana na dunia mwezi huu wa Oktoba kuadhimisha uhamasishaji wa afya ya akili, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Geita Gold Mining...
By Mwandishi WetuOctober 19, 2023WANAFUNZI kutoka mikoa mbalimbali nchini walioanza masomo ya kidato cha tano katika shule mpya ya wasichana Dk. Samia -SSH iliyopo kijiji cha Namole ...
By Mwandishi WetuOctober 19, 2023Baraza la Ushindani (FCT) la Tanzania limefutilia mbali uamuzi wa Tume ya Ushindani (FCC) uliotolewa tarehe 28 Februari mwaka huu wa kuiruhusu Scancem...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2023SERIKALI ya Zanzibar, imetangaza mpango wake wa kufuta mitihani ya darasa la nne kwa shule za msingi na kidato cha pili kwa sekondari,...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2023Serikali ya Uingereza imetoa tahadhari kwa raia wake wajiepushe kuitembelea mbuga mashuhuri ya wanyama nchini Uganda ambako watalii wawili, akiwemo raia mmoja wa...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2023ZAIDI ya watu 500 wameripotiwa kuuawa usiku wa leo Jumanne kwenye shambulizi ambalo limetokea hospitalini Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2023KAMPUNI kongwe ya michezo ya kubashiri Meridianbet imekuja na promosheni ya michezo ya kasino Mitandaoni ambayo itawawezesha wateja wake kushinda viwango tofauti...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2023Katika kuhakikisha Klabu ya Michezo ya Madini ( Madini Sports Club) inashiriki michezo kwa mafanikio makubwa imebainisha mikakati ya kiufundi itakayo leta...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2023USIJIULIZE utapata wapi pesa ya kuanzia siku ya kesho, maana chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet ambapo huku kwa dau dogo tu...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2023KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Anthony Kasore, amesema Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2023KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL), imezindua kampeni yake ya ‘Maokoto chini ya Kizibo’ ambayo itawafanya wapenzi wa bia kuwa...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2023BENKI ya NMB imeanzisha mpango maalum wenye masuluhisho mahususi kwa ajili ya kuwahudumia wastaafu na wastaafu watarajiwa unaoitwa NMB Hekima Plan. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inafanyia kazi changamoto ya upungufu wa walimu nchini, huku akiweka wazi mpango wake wa kutaka...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2023Jeshi la Israel linadai kuwa hadi sasa limeshawaua viongozi sita wa juu wa kundi la Hamas tangu kuanza vita dhidi ya Ukanda wa...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2023TIMU ya Singida Fountain Gate, maarufu kama Singida Big Stars, imemwalika Rais Samia Suluhu ahudhurie katika mechi zake kama anavyofanya kwa timu nyingine...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2023BAADA ya safari ya siku 14, zaidi ya kilometa 1,500 kupita wilaya 20 za mikoa 10 tofauti nchini, hatimaye msafara wa waendesha baiskeli...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2023Uongozi wa Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) ambao ndio wadhamini wakuu wa Klabu ya Geita Gold FC. yenye maskani yake mkoani...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2023MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk Rose Rwakatare, amehitimisha ziara yake mkoani humo akiwataka viongozi kuhakikisha wanaanzisha miradi ya...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2023NAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kutoa mafunzo ambayo yanaendana na soko la ajira na kuwashauri...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2023MPIRA wa Miguu ni sehemu ya kaaida ya maisha ya wanadamu, mashabiki na wachezaji huwa na hisia moja ya kushangilia ushindi...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2023IMEELEZWA kuwa asilimia 80 ya wagonjwa wa saratani ya matiti nchini Tanzania wanagundulika ikiwa wamefikia hatua ya tatu na nne, hiyo ikichangiwa na...
By Seleman MsuyaOctober 13, 2023WAPALESTINA waishio katika Ukanda wa Gaza, wameanza kukimbia makazi yao baada ya Israel kuwapa saa 24 wakitaka wahamie sehemu nyingine ili kupisha mashambulizi...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2023Tanzania na Zambia zimekubaliana kutatua changamoto nane kati ya 24 za kibiashara na 16 zilizobaki zimewekewa utaratibu wa kuzitatua ifikapo tarehe 31 Disemba...
By Gabriel MushiOctober 13, 2023BENKI ya NMB imebainisha mipango yake ya kuanzisha mfumo wa uthibitishwaji wa maombi ya mikopo kwa njia ya kidigitali kwa wafanyakazi wa umma...
By Gabriel MushiOctober 13, 2023IFANYE Ijumaa kuwa ni siku ya bahati kwako, hata Cristiano Ronaldo anasema kwamba anaipenda namba 7 kwakuwa ni namba yake ya bahati...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2023Katika kuhakikisha Tanzania inalinda rasilimali madini ili zichangie maendeleo ya nchi na kuinua uchumi wa watanzania, Serikali imesimamisha leseni zote nchini za Kampuni...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2023KAMPUNI ya Songoro Marine imepewa siku 4 kuhakikisha inakamilisha ukarabati wa kivuko cha MV. Mara kinachofanya safari zake kati ya Iramba wilaya ya...
By Danson KaijageOctober 11, 2023HATIMAYE kata ya Kilimani katika Jiji la Dodoma imeanza ujenzi wa shule ya msingi itakayogharimu kiasi cha Sh 80 milioni kwa kuanza na...
By Danson KaijageOctober 11, 2023Serikali kupitia Wizara ya Madini imetatua rasmi mgogoro wa wachimbaji wadogo wa madini uliodumu kwa mwaka mmoja katika Kitongoji cha Mafurungu – Wilaya...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2023BURAK Ozcivit wengi mnamfahamu kwa jina la Osman Bey kama jina lake la uigizaji lilivyo, ndoto zake zilikuwa ni kuwa mwanamitindo wakati...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2023DIEUDONNÉ Murengerantwari anatuhumiwa na wizara ya sheria ya Burundi kwa madai ya kuhujumu utendaji wa uchumi wa taifa, ufisadi na ufujaji wa mali...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2023WAKATI vita kati ya Israel na Palestina ikizidi kushika kasi na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 2000, asilimia kubwa ya wafuatiliaji wa...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2023BENKI ya NMB kupitia Klabu za Biashara ‘NMB Business Club’ imeandaa mafunzo ya kifedha kwa wafanyabiashara jijini Dar es Salaam ikiwa ni utekelezaji...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2023KATIKA harakati za kuondokana na msongamao wa magari barabarani Serikali inatarajia kutenga Sh 81 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mizani ya kupima...
By Danson KaijageOctober 11, 2023WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amewataka vijana kuchangamkia fursa ya mkopo wa Mshikofasta inayotolewa na...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2023HALI za wapalestina waishio ukanda wa Gaza, imezidi kuwa mbaya kufuatia mashambulizi ya anga na mabomu yanayoendelea kufanywa na Israel, ambayo yamesababisha...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2023SERIKALI imeahidi kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa wamiliki wa shule binafsi, ili ziweze kutekeleza majukumu yake vizuri ya kutoa elimu bora kwa...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2023EXPANSE Studios iko tayari kuandika historia huko G2E Las Vegas, ambayo ni Roma ya sasa kwenye ulimwengu wa iGaming, ili kuwasilisha bidhaa...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2023