Michezo
MARA baada ya kutoka na ushindi wa mabao 2-1, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Geita Gold Mine, kocha...
By Kelvin MwaipunguDecember 2, 2021BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Simba ya Tanzania, amejinyakulia tuzo na Sh.2 milioni, baada ya kuchaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitumia salamu za pongeza timu ya taifa ya soka la wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ kwa kufuzu...
By Mwandishi WetuDecember 1, 2021TIMU ya Tanzania ya soka kwa wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ imefuzu kucheza kombe la dunia Uturuki 2022. Anaripoti John Mapepele, MAELEZO…(endelea). Ni...
By Mwandishi WetuDecember 1, 2021TIMU ya Yanga imeendelea kujichimbia kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2021/22, kwa kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2021MSHAMBULIAJI wa klabu ya Manchester United, Cristiano Ronaldo amemjia juu muandaaji wa tuzo ya Ballor d’Or Pascar Ferre ambaye pia ni mhariri...
By Kelvin MwaipunguNovember 30, 2021MSHAMBULIAJI wa Psg na timu ya Taifa ya Argentina Lionel Messi, ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ya mchezaji bora...
By Kelvin MwaipunguNovember 30, 2021KLABU ya soka ya Yanga, hii leo itashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza huku kiungo...
By Kelvin MwaipunguNovember 30, 2021KLABU ya Manchester United imemtangaza Ralf Rangnick kuwa kocha mkuu wa muda wa klabu hiyo mara baada ya kumtimua Ole gunnar solskjaer...
By Kelvin MwaipunguNovember 29, 2021TIMU ya Simba ya Tanzania imeibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katikap Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2021MWANAMITINDO wa Tanzania, Hamisa Mobetto kwa mara ya kwanza amekutana na mwanamuziki wa Kimataifa kutoka Marekani, Rick Ross huko Dubai. Anaripoti Matilda...
By Masalu ErastoNovember 26, 2021WAIMBA taarabu maarufu nchini Tanzania, Aisha Ramadhani maarufu Aisha Mashauzi, Hadija Kopa na Mzee Yusuph watalitikisa Jiji la Dodoma Jumamosi hii tarehe...
By Danson KaijageNovember 25, 2021KAMPUNI ya Gsm imeingia mkataba wa miaka miwili wa udhamini mweza wa Ligi Kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu...
By Kelvin MwaipunguNovember 23, 2021MAHAKAMA ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana...
By Kelvin MwaipunguNovember 22, 2021BAADA ya kucheza dakika 450 pasina kuibuka na ushindi wowote katika Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2021/22, timu ya KMC ya Kinondoni...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2021NI kufuru! Ndicho alichokifanya Staa wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz katika harusi ya mpambaji maarufu wa wasanii wa kike, Aris...
By Masalu ErastoNovember 21, 2021BAADA ya mwenendo mbovu wa matokeo ya michezo mbalimbali, uongozi wa Manchester United ya Uingereza umemfungashia vilango kocha wake, Ole Gunnar Solskjaer....
By Mwandishi WetuNovember 21, 2021BODI ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba, imemteuwa Mwekezaji wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ kuwa Rais wa klabu hiyo mara...
By Kelvin MwaipunguNovember 21, 2021KLABU ya Soka ya Simba imeapa kuondoka na ushindi kwenye mchezo watani wa jadi wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Yanga...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2021UONGOZI wa klabu ya Simba, umevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza tukio la penalti lilitokea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara,...
By Kelvin MwaipunguNovember 21, 2021MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imejipatia ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting....
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021KOCHA mpya wa klabu ya Simba Pablo Franco Martin, leo kwa mara ya kwanza atakiongoza kikosi cha Simba kwenye kibarua chake cha kwanza,...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021WAKATI tukiwa ukingoni kuuhitimisha mwaka huu, Zamaradi Mketema ambaye ni mtangazaji maarufu nchini, atamshusha mchekeshaji bora kutoka Uganda, Anna Kansiime jijini Dar...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, atakuwa mgeni rasmi wa kongamano la...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021KLABU ya soka ya Simba inatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa mwaka wa wanachama, huku sehemu kubwa ya shughuli hiyo ikiwa imeshakamilika....
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021MATAIFA tisa kutoka Barani Ulaya, yameafanikiwa kufuzu moja kwa moja kwenye michuano ya kombe la Dunia, mara baada ya kumalizika vinara kwenye...
By Kelvin MwaipunguNovember 16, 2021MICHEZO ya kundi J kuwania kufuzu kombe la dunia Qatar 2022, imemalizika kwa timu ya DR Congo kusonga hatua inayofuata huku Taifa...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2021UKWELI ni kwamba penzi ni kama pembe la ng’ombe, kulificha huwezi! ndivyo mahaba ya Mwanamama Zarina Hassan kwa mkali wa Bongofleva, Naseeb...
By Masalu ErastoNovember 14, 2021RHODA Yahya Lambert, mama mzazi wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa timu ya Simba amefariki dunia nyumbani kwake Kigamboni Dar es Salaam. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2021ASKARI wa Jeshi la Madagascar wenye silaha wamevamia kambi ya timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakitaka kuwachukua kwa nguvu wachezaji...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amewasihi Watanzania na wadau wote wa soka nchini kutokata tamaa kutokana na matokeo ya Timu ya Taifa (Taifa...
By Masalu ErastoNovember 13, 2021MSHAMBULIJI wa klabu ya Liverpool Mohammed Sarah ameshinda tuzo ya mchezo bora mwezi Oktoba, huku kocha Mkuu wa Chelsea akitwaa tuzo ya...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2021KUFUATIA kipigo cha mabao 3-0, walichokipata timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Congo,...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2021VIGOGO wa watatu wa soka Barani Afrika, tayari wamefanikiwa kufuzu kwa hatua inayofuata ya michuano ya kufuzu fainali za kombe la Dunia,...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2021TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) itaondoka jioni ya leo tarehe 12, Novemba 2021 kuelekea jijini Antananarivo, Madagascar kwa ajili ya...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2021MARA baaada ya kupoteza mchezo kwa bao 3-0, dhidi ya Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Congo, kocha wa Timu ya Taifa...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2021TIMU ya soka ya Tanzania “Taifa Stars” inashuka katika dimba lake la nyumbani la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuwakabili DR Congo, kuwania...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2021KOCHA mpya wa Simba ya Tanzania, Pablo Franco amewasili nchini humo kuanza kibarua ya kuwanoa mabingwa hao watetezi wa ligi kuu na...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (DUWASA), imeibuka kidedea kwa ushindi wa 2-1 ilioupata dhidi ya wapinzania wao Mamlaka...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametembelea mazoezi ya timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania (Taifa Stars) na amewaeleza...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2021MBIO za hisani za kimataifa zilizoandaliwa na Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) “NBC Dodoma Marathon” zimefanikiwa kukusanya fedha zaidi ya Sh...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021TIMU ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza, imemfukuza kazi kocha wake mkuu, Dean Smith. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Smith...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2021KLABU ya soka ya Simba jana tarehe 6, Novemba 2021 ilimtangaza Pablo Franco Martin kuwa kocha mkuu wa kikosi hiko, ambaye amekuja...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania pamoja na wadau wa soka nchini kuungana kwa pamoja na kuhakikisha timu...
By Mwandishi WetuNovember 5, 2021MASWALI yameibuka kuhusu usalama wa mchezo wa masumbwi nchini Zimbabwe baada ya Bondia mmoja chipukizi mwenye umri wa miaka 24 kupoteza maisha...
By Mwandishi WetuNovember 4, 2021MARA baada ya kushindwa kwenda kucheza mchezo wa marudiano nchini Libya dhidi ya Al Ahly Tripol, kamati ya mashindano ya Shirikisho la...
By Kelvin MwaipunguNovember 3, 2021KLABU ya soka ya Simba itakosa huduma ya wachezaji wake wanne, ambao wanakabiliwa na majeraha kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...
By Kelvin MwaipunguNovember 3, 2021USHINDI wa mabao 3-1, dhidi ya Ruvu Shooting umzidi kuifanya klabu ya Yanga, kujichimbia kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...
By Kelvin MwaipunguNovember 2, 2021ANTONIO Conte, kocha raia wa Itary aemeingia kandarasi ya miaka miwili kukinoa kikosi cha Tottenham Hotspurs inayoshiriki Ligi Kuu nchini England mara...
By Kelvin MwaipunguNovember 2, 2021KLABU ya Simba imepata pigo baada ya kuondokewa na mchezaji wake wa zamani Akilimali Yahya kilichotokea usiku nwa kumkia leo katika Hospitali...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021