Thursday , 28 March 2024

Maisha

Maisha

Elimu

Idadi uandikishaji wanafunzi MEMKWA yapungua

  SERIKALI imesema uandikishaji wa wanafunzi wa Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Walioikosa (MEMKWA) umepungua kutoka 50,192 mwaka 2021 hadi 12,421 mwaka...

Elimu

Shule za msingi zakabiliwa upungufu walimu 100,958

  SHULE za Msingi nchini zinakabiliwa na upungufu wa walimu 100,958 kwa kuangalia uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 60. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Afya

Wananchi 10,000 kufaidika na Kituo cha Afya Sangambi

ZAIDI ya wananchi 10,000 kutoka katika Kata ya Sangambi, wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wanatarajiwa kupata unafuu wa matibabu baada ya Kituo cha...

Afya

ACT-Wazalendo chalaani uzembe Serikali kusimamia utoaji huduma za afya

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelaani hatua “rahisirahisi” zilizochukuliwa na Serikali dhidi ya mwenendo mbovu wa utoaji huduma za Afya katika Hospitali ya Taifa...

Afya

Hadhari ongezeko la saratani yatolewa Tanzania

  SERIKALI ya Tanzania imewataka wananchi kujenga tabia ya kupima afya zao kwenye magonjwa yasiyoambukiza hususani saratani kutokana na idadi ya wagonjwa hao...

Elimu

Profesa Mkenda awapa somo wadhibiti ubora wa elimu

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Adlof Mkenda amewataka wadhibiti ubora wa elimu nchini kutumia vifaa vya kisasa kuboresha...

Afya

Rais Samia aokoa ‘jahazi’ lililozama 2017

IMEELEZWA kuwa kukamilika kwa ujenzi wa Kituo cha Afya Kifunda kilichopo Kata ya Lupilo katika Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya, kumeokoa jahazi la...

Afya

Mjadala sekta ya afya kufanyika Njombe

  TAASISI isiyo ya kiserikali ya Univeristy of Maryland Baltimore (UMB) kwa kushirikiana na serikali ya Mkoa wa Njombe imeandaa mjadala wa kitaifa...

Elimu

Milioni 160 zajenga shule pekee ya ghorofa Mbeya

JUMLA ya Sh milioni 160 zimekamilisha ujenzi madarasa nane ya shule ya sekondari Ihanga na kumaliza adha ya mrundikano wa wanafunzi katika darasa...

Elimu

Rais Samia awafuta machozi wanafunzi wenye mahitaji maalumu Songea

JUMLA ya wanafunzi 16 wenye mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Subira iliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan...

Afya

Manyara, Songwe zashika mkia chanjo Uviko-19

  MKOA wa Manyara umeshika nafasi ya mwisho kwa uchanjaji wa UVIKO-19 ikiwa na asilimia tatu tu ya watu waliopata chanjo hadi sasa....

Afya

803 wafariki, 33,789 wakiambukizwa Uviko-19 Tanzania

  SERIKALI imesema jumla ya watu 803 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa korona huku 33,789 wakiambukizwa tangu kuripotiwa kwa kisa cha kwanza nchini....

Afya

Kada ADA- Tadea ampigia saluti Rais Samia ujenzi Kituo cha afya Namatula

KADA mkongwe kutoka Chama cha ADA – Tadea na mgombea ubunge kwa awamu kadhaa katika jimbo la Nachingwea, Saliana Dovela ameeleza ‘kukoshwa’ na...

Burudika

‘Tetema’ yamuingizia Rayvanny milioni 230

MKURUGENZI wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WBC), Naseeb Abdul ‘Diamond Platnums’ amesema mkali mwenzie wa Bongo fleva kutoka katika lebo hiyo, Raymond...

Afya

Katibu Mkuu awapiga msasa watumishi wizara ya afya

VIONGOZI na watumishi wa Wizara ya Afya wametakiwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma na kuzingatia taaluma zao ili kuleta tija na ufanisi...

Habari MchanganyikoMazingira

Wanasayansi wanawake waja na suluhu mabadiliko tabia ya nchi

WANAWAKE nchini wameshauriwa kutumia teknolojia mbalimbali za kisayansi katika shughuli zao za kila siku ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Anaripoti Faki...

AfyaHabari Mchanganyiko

Muhimbili wakana kusambaza video Profesa Jay akiwa ICU

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imekana kurekodi na kusambaza video ya Msanii wa Bongo fleva, Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay anayeendelea kupatiwa matibabu...

Elimu

Mfumo wa elimu Tanzania kufumuliwa

  SERIKALI ya Tanzania imeanza mchakato wa kufanyika kwa mabadiliko makubwa ya sekta ya elimu ikiwemo kuipitia upya Sera ya Elimu ya mwaka...

Afya

Serikali yatoa taadhari ya ugonjwa wa manjano

  SERIKALI ya Tanzania imetoa taadhari kwa kwa wananchi dhidi ya ugonjwa wa homa ya manjano ambao umeonekana kutokea katika nchi ya jirani...

Elimu

Wazazi, wanafunzi Sekondari Chief Kidulile wamshukuru Rais Samia ujenzi wa madarasa

WAZAZI na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chief Kidulile wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi na ukarabati wa madarasa katika shule hiyo...

Elimu

Serikali yatoa muongozo waliokimbia shule kurejea

SERIKALI ya Tanzania, imetoa muongozo na utaratibu wa wanafunzi walioacha masomo kwa sababu mbalimbali, kurudi shuleni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

AfyaHabari Mchanganyiko

Muarobaini wakazi Kivulini kutembelea KM 65 kusaka huduma za afya wapatikana

HATIMAYE kilio cha wakazi wa Kata ya Kivulini Manispaa ya Lindi, mkoani Lindi kuhusu upatikanaji wa huduma za afya, kimepata suluhu baada ya...

Afya

800 wafariki dunia kwa UVIKO-19 Tanzania, wasiochanjwa hatarini

  WATU 800 wamefariki dunia kati ya 33,726, waliothibitika kuwa na Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19) tangu kuripotiwa kwa kisa cha kwanza...

ElimuHabari Mchanganyiko

NIT inavyohamasisha wanawake kusoma Sayansi

IKIWA imebaki siku moja Dunia kuadhimisha siku ya wanawake duniani kesho Jumanne 8 Machi 2022, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimetoa hamasa...

ElimuHabari za Siasa

Rais Samia ala kiapo elimu watoto wenye mahitaji maalumu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake haitakubali mtoto wa Kitanzania akose fursa ya elimu kwa sababu ya kuwa na...

Elimu

Dar es Salaam kujenga sekondari za ghorofa 20

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema wanatarajia kujenga shule za sekondari za ghorofa 20, ili kutekeleza agizo la Rais...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wazazi, walimu wapania kufuta ‘ziro’ Sekondari Makole

WAZAZI na walezi wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Makole ambao wapo kidato cha pili na cha nne kwa pamoja wamekubaliana kushirikiana...

Elimu

TEA yakabidhi kompyuta 120 shule za Temeke

  MAMLAKA ya Elimu Tanzania kwa kushirikiana na asasi ya BRAC-Maendeleo wametoa kompyuta 120 zenye thamani ya Sh milioni 132 kwa shule tatu...

Afya

Tozo miamala ya simu yajenga Kituo cha afya Musoma

JUMLA ya Sh milioni 250 zilizopatikana kutokana na tozo za miamala ya simu zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Kituo cha Afya Rukuba kilichopo...

Afya

Bulembo aanika faida ujenzi Kituo cha afya Kwafungo

MKUU wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema fedha kutoka katika Mpango wa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko 19, zilizotokana...

Afya

Tanzania yaokoa bilioni 249 za kupeleka wagonjwa nje

  SERIKALI ya Tanzania imeokoa Sh.249 bilioni zilizokuwa zitumike kugharamia wagonjwa kwenda nje ya nchi kufuata huduma za matibabu ambazo awali zilikuwa hazipatikani...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ujenzi wa VETA wagusa maisha ya vibarua Mkinga

WANANCHI wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wameeleza kufaidika na miradi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ambayo inajenga...

Afya

RC Malima anusa ubadhirifu ujenzi Hospitali ya Halmashauri Handeni

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni na...

Afya

Tanga kujenga Kituo cha Mifupa

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema mkoa wake unakusudia kuanzisha kituo cha Mifupa (Orthopaedic Centre) kwa ajili ya watu wanaopata...

Afya

Serikali yatoa tahadhari mlipuko ugonjwa wa Polio

  SERIKALI ya Tanzania, imewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa Polio, ulioibuka hivi karibu katika nchi jirani ya Malawi. Anaripoti...

Afya

Oasis yataja muarobaini tatizo la usugu wa dawa

WANANCHI wametakiwa kutumia vipimo maalumu vinavyoonesha ugonjwa na aina ya matibabu yake sahihi, ili kuepukana na tatizo la usugu wa dawa. Anaripoti Regina...

Burudika

Diamond Platnumz kuachia EP Machi

STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram amewatangazia mashabiki wake kwamba ataachia EP yake...

Afya

Maboresho Hospitali ya Rufaa Tanga yawafuta machozi wananchi

IMEELEZWA kuwa Serikali imejibu kilio cha muda mrefu cha watumiaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga, kwa kuwezesha upatikanaji wa huduma...

Burudika

Ujio wa Asa na ngoma mpya ‘Ocean’

MWANAMUZIKI mahiri kutoka nchini Nigeria, Bukola Elemide maarufu kama ‘Asa’ ameachia ngoma yake mpya iitwayo Ocean aliyofanya na prodyuza maarufu, Prime, ikiwa ni...

KitaifaUtalii

Dk. Ndumbaro awavisha vyeo viongozi TANAPA, NCAA

Dk. Ndumbaro awavisha vyeo viongozi TANAPA, NCAA Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Damas Ndumbaro leo tarehe 18 Februari, 2022 ameongoza zoezi la...

Habari MchanganyikoUtalii

‘Royal tour’ yapaisha mapato ya utalii 2021

WAKATI filamu ya kihistoria ya “THE ROYAL TOUR” ambayo Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki akiwa Mwongozaji Mkuu wa watalii ikitarajiwa kuzinduliwa rasmi Aprili...

Elimu

Serikali kujenga madarasa 12,000 mwaka 2022/2023

  Serikali kupitia mradi wa BOOST utakaotekelezwa katika Shule za Msingi inatarajiwa kujenga madarasa 12,000 katika mwaka wa fedha 2022/2023. Anaripoti Mwandishi Wetu...

AfyaHabari

Mwanamke wa kwanza duniani aponywa Ukimwi kwa kupandikizwa seli

  WANASAYANSI jana Jumatano tarehe 16 Februari 2022, wametangaza ufanisi wao wa kumponya mwanamke wa kwanza aliyekuwa anaishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU),...

Burudika

Fursa yanukia kwa Waandaaji wa filamu Afrika Mashariki

WAANDAAJI wa filamu wa Afrika Mashariki hususani waandishi wa miswada (script writters) wanatarajiwa kunufaika na mpango maalum ulioandaliwa na Taasisi ya Realness kwa...

Burudika

JANE MISSO: Ninarejea kwa kishindo, Harmonize ni mpango wa Mungu

MUIMBAJI wa nyimbo za injili nchini Tanzania, Jane Misso amewaomba mashabiki zake kukaa mkao wa kula kwani sasa amenuia kurejea kwa kishindo baada...

Afya

Mashine ya kisasa kupima UVIKO-19 yazinduliwa Zanzibar

SERIKALI ya Zanzibar, imezindua rasmi matumizi ya teknolojia mpya inayotambua maambukizi ya virusi vya korona (UVIKO-19) kupitia vipimo vya smaku umeme yaani electromagnetic....

Afya

Hospitali ya Mkapa yapandikiza figo wagonjwa 26

  HOSPITALI ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma nchini Tanzania, imefanikiwa kupandikiza figo wagonjwa 26 kuanzia tarehe 22 Machi 2018 kutoka mikoa mbalimbali nchini...

BurudikaHabari

Harmonize kuwakutanisha jukwaa moja wasanii 50 wa Afrika Mashariki Dar

  WASANII zaidi ya 50 kutoka Afrika Mashariki wanatarajiwa kupanda jukwaa moja kwenye tamasha la ‘Afro East Carnival’ litakalofanyika Uwanja wa Tabata Shule,...

BurudikaTangulizi

Rais Samia: Serikali itagharamikia matibabu ya Profesa Jay

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu yote anayopata aliyekuwa Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule maarufu...

BurudikaKitaifa

Harmonize ajiandaa kuitikisa Dar

Msanii wa Bongo fleva, Rajab Abdul maarufu kama ‘Harmonize’ ametangaza ujio wa tamasha lake katika jiji la Dar es salaam liitwalo (Afro East...

error: Content is protected !!