Maisha
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda ametuma salamu kwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kwamba ‘atakula...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2022MWANACHUO wa Chuo Kikuu cha SAUT mkoani Mwanza, Warren Lyimo anayedaiwa kupigwa na kuteswa na Polisi hadi kupasuka korodani, amesimulia mambo mazito na...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2022TAASISI ya Elimu ya watu wazima (TEWW) imetoa wito kwa wananchi kujiunga na program za elimu ya watu wazima. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageOctober 25, 2022MBUNGE wa Viti Maalum, (CCM), Dk. Thea Ntara, ameipongeza shule ya Brilliant kwa kutopandisha ada kwa miaka mine mfululizo na amezitaka shule...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2022WAKUFUNZI wa mikoa nchini ambao ni wataalamu wa afya kutoka katika hospitali ya Taifa, hospitali za kanda, hospitali maalumu na hospitali za...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inataka kuifanya Tanzania kuwa kituo cha matibabu ya afya ya kibingwa kwa nchi inazopakana nazo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2022WAANDISHI wa Habari nchini Tanzania wamepewa wito wa kuishawishi jamii na kuondosha dhana potofu juu ya chanjo ya Ugonjwa wa uviko -19....
By Faki SosiOctober 18, 2022MSEMAJI Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema,uamuzi wa Serikali kuja na sheria ya Bima ya Afya kwa wote una lengo la kuhakikisha kila...
By Danson KaijageOctober 18, 2022WAZAZI wameshauriwa kufuatilia kwa karibu maendeleo ya watoto wao kitaaluma na tabia ili waweze kufanya vizuri kwenye mitihani huku shule ya St Mary’s...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2022KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali ya awamu ya sita katika utoaji wa elimu, Shule Kimataifa ya Hazina ya Magomeni jijini Dar es...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakia heri watahiniwa wanaofanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, huku akiwaahidi kwamba Serikali itahakikisha inaandaa mazingira...
By Regina MkondeOctober 5, 2022DAKTARI Muhammed Ali ambaye ni Mtanzania amefariki kwa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda ambapo alikuwa akisomea shahada ya uzamili ya udaktari katika upasuaji....
By Mwandishi WetuOctober 1, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema sekta zote zitaongeza nguvu, rasilimali fedha na rasilimali watu ili kuboresha kiwango cha lishe kwa Watoto wenye...
By Masalu ErastoSeptember 30, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hivi sasa wataachana kwanza na ujenzi wa vituo vipya vya afya na nguvu kubwa itaelekezwa katika...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2022WADAU wa elimu kata ya Ipepo Wilaya Makete Mkoani Njombe wametimia ahadi ya kutoa zawadi kwa wanafunzi wa Sekondari ya Ipepo waliopata...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema lishe duni ndiyo chanzo kikubwa cha uwepo wa watu wenye matatizo ya afya ya uzazi na...
By Jonas MushiSeptember 30, 2022CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanikiwa kukusanya shilingi milioni 56 kwaajili ya ujenzi wa mabweni ya wasichana kwenye kampasi yake ya...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2022BENKI ya Mwalimu imezindua Bando la Mwalimu kupitia kampeni yake ya ‘Asante Mwalimu’ yenye lengo la kurudisha shukrani kwa mwalimu, ambapo Serikali imeahidi...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2022WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ametoa tahadhari ya ugonjwa wa Ebola na kuagiza wakuu wote wa mikoa kujiandaa endapo itatokea kisa chochote au...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema bima ya afya kwa wote itaanza kazi kuanzia tarehe 1 Julai 2023, endapo Bunge la Tanzania,...
By Masalu ErastoSeptember 27, 2022SERIKALI imepongeza shule ambazo hazina kawaida ya kuchuja wanafunzi unapofikia muda wa mitihani ya kitaifa iiwemo St Anne Marie Academy . Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2022CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeingia makubaliano na Chuo Kikuu cha Western Kentucky cha Marekani (WKU) kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022KILA mtu ana kipaji chake alichozaliwa nacho hapa duniani. Shida tunayokutana nayo ni namna ya kukivumbua kipaji hicho ili kiwe sehemu ya maisha...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022MSANII maarufu wa muziki wa Pop, Netta amemshirikisha staa mkubwa wa muziki wa Nigeria, Mr Eazi katika ngoma mpya ya Playground Politica ambayo...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mwitikio wa wadau mbalimbali kuchangia ujenzi wa mabweni ya wasichana katika kampasi yake mkoani Mbeya...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022SERIKALI imeagiza maofisa elimu katika halmashauri zote nchini kusimamia na kutekeleza ipasavyo muongozo wa kuwarejesha shuleni wanafunzi walioacha au kukatishwa masomo kwa...
By Masalu ErastoSeptember 14, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema jumla ya watoto 14,690,597 wametiwa huduma ya chanjo ya polio ya matone sawa na asilimia 118.6...
By Masalu ErastoSeptember 14, 2022MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amezitaka mamlaka za udhibiti kukomesha matumizi ya dawa zisizofaa katika...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022SERIKALI imempongeza Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza kwa kuwekeza kwenye elimu na kusaidia jitihada za serikali kuboresha sekta hiyo...
By Kelvin MwaipunguSeptember 11, 2022CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kupitia Ndaki ya Sayansi Tumizi na Sayansi Asili (CoNAS), kimewezesha wanafunzi 16 waliohitimu masomo ya ualimu...
By Masalu ErastoSeptember 2, 2022WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nchini kusimamia kikamilifu utekelezaji wa kampeni ya chanjo ya...
By Mwandishi WetuSeptember 1, 2022SERIKALI imepongeza mchango wa Global Education Link (GEL) kwa namna ambavyo imekuwa ikisaidia kuwaunganisha wanafunzi wa Tanzania kusoma taaluma mbalimbali vyuo vikuu...
By Kelvin MwaipunguAugust 22, 2022WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolph Mkenda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya tatu ya wanafunzi waliosoma vyuo vikuu...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2022WAGONJWA wanaougua magonjwa yasiyoambukiza wametajwa kuwa ndiyo kundi ambalo linatumia fedha nyingi kutoka katika Mfuko wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF). Anaripoti...
By Masalu ErastoAugust 11, 2022SECRETARIETI ya Ajira, imesema moja ya chngamoyo inayosababisha vijana wengi kukosa ajira ni kushindwa kujiandaa vizuri kabla ya kwenda kwenye usaili wa...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amekiri kuwepo kwa changamoto za utoaji wa huduma za afya katika mkoa wa Njombe ikiwemo suala la...
By Masalu ErastoAugust 9, 2022STAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Mr Eazi ameachia ngoma yake mpya, Personal Baby ambayo ni ya pili kuachiwa kutoka katika albamu yake...
By Gabriel MushiAugust 6, 2022SHULE ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam, imeongoza kwenye matokeo ya mtihani wa utamilifu (Mock), darasa la saba kwa Wilaya...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2022VIJANA wa Tanzania ni rasilimali muhimu zaidi ambayo nchi inatakiwa kuwa nayo katika siku za usoni. Umuhimu wa vijana unatokana na ukweli kwamba...
By Gabriel MushiAugust 5, 2022WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesitisha mara moja utaratibu mpya wa mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unaoweka ukomo...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2022SERIKALI imesema itagawa vishkwambi (tablets) vinavyotumiwa na waratibu wa zoezi la sensa ya watu na makazi nchini kwa walimu wa shule za msingi...
By Gabriel MushiJuly 29, 2022SERIKALI imeanza mchakato wa uchambuzi wa mifumo ya utoaji wa mikopo ya elimu ya juu kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita ili kubaini...
By Gabriel MushiJuly 29, 2022SERIKALI kupitia wizara ya elimu, sayansi na teknolojia imetenga kiasi cha Sh bilioni tatu katika mwaka huu wa fedha 2022/2023 kufadhili wanafunzi ambao...
By Gabriel MushiJuly 29, 2022UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma umefuliwa baada ya Mkuu wa Chuo hicho, Dk. Stergomena Tax kuteua sura mpya katika nafasi za juu...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2022MKURUGENZI wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface amesema si kweli kwamba majeruhi wa ajali za bodaboda hukatwa miguu...
By Danson KaijageJuly 28, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amewataka wananchi wachukue tahadhari za kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), kwani bado upo...
By Regina MkondeJuly 26, 2022VYUO Vikuu vya nje ya nchi vinavyoshiriki maonyesho ya vyuo vikuu yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam vimetia fora...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2022MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewataka madaktari na watoa huduma wote nchini kuendelea kuwa wenye upendo, kujituma, kujitoa na kuzingatia weledi...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amemuahidi Makamu wa Rais, Dk. Phillip Mpango kuwa maabara ya afya ya jamii ya Kibong’oto baada ya...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2022MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Isdory Mpango ameitaka Wizara ya Afya kuendelea kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji wa mwenendo wa magonjwa ya kuambukiza...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2022