Thursday , 25 April 2024

Maisha

Maisha

Elimu

Musoma Vijijini wafanya harambee posho za walimu, ujenzi wa sekondari

  WAKAZI wa Jimbo la Musoma Vijijini, wakiongozwa na Mbunge wao, Profesa Sospeter Muhongo, wamefanya harambee ya kuchangisha fedha za kukamilisha ujenzi wa...

Afya

Asilimia 86 wenye umri zaidi ya miaka 18 wapata dozi kamili ya Uviko-19

  KWA kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi Julai hadi Desemba 2022 Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya...

Elimu

Wizara ya Elimu kuchunguza tuhuma vitendo vya ulawiti shuleni

  SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imetuma timu maalum kwenda mkoani Kilimanjaro kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo...

Afya

Waziri anusa ufisadi matumizi fedha za UVIKO-19

  NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, ameagiza uchunguzi ufanyike dhidi ya matumizi ya fedha za kukabiliana na athari za Ugonjwa wa...

Afya

Serikali yaikana TANNA sakata la watumishi wa afya Tabora

  WIZARA ya Afya imesema maoni yaliyotolewa na Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA), kuhusu sakata la watumishi wa afya katika Zahanati ya Ishihimulwa...

Afya

Chanzo mzozo wa muuguzi, mtaalamu wa maabara Uyui chabainika

  CHAMA cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimetoa taarifa ya uchunguzi wa tukio la watumishi wa kada ya Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa wilaya...

Afya

Mwongozo wa kudhibiti UKIMWI, magonjwa yasiyoambukizwa kuhuishwa

  SERIKALI ya Tanzania, imewataka wadau wa afya kutoa maoni yao juu ya maboresho ya Mwongozo wa Kudhibiti Virusi vya Ukwimwi (VVU), Ugonjwa...

Elimu

Walimu tuache kufundisha kwa mazoea: Rais Samia

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa walimu wote nchini kuacha kufundisha kwa mazoea na badala yake wajifunze mbinu mpya...

Afya

Watumishi wawili Uyui waliobishania vifaa vilivyoisha muda, wasimamishwa

  WATUMISHI wawili wa kada ya afya katika Halmashauri ya wilaya ya Uyui kutoka Zahanati ya Ishihimulwa waliokuwa wakijibizana kuhusu vifaa vilivyoisha muda...

ElimuHabari

Wanafunzi 14 kidato cha pili wafutiwa matokeo kwa kuandika matusi

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limefuta matokeo yote ya wanafunzi 14 walioandika matusi katika mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa kidato cha pili...

ElimuHabariTangulizi

Tazama matokeo ya kidato cha pili hapa

BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) leo tarehe 4 Januari, 2023 limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne mwaka 2022. https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htm

Elimu

Serikali yapiga marufuku wanafunzi waliopangiwa shule za kutwa kuhamia bweni

  SERIKALI imepiga marufuku wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 waliochaguliwa kujiunga na shule za kutwa, kuhamia shule za bweni, hadi zitakapotokea nafasi...

Elimu

Wizara ya Elimu yaipa Zanzibar vishikwambi vya walimu 6,600

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Desemba 22, 2022 imetoa jumla ya vishikwambi 6,600 kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali...

ElimuTangulizi

Haya hapa majina wanafunzi waliochaguliwa kujiunga VETA

  VYUO vya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini (VETA) vimetoa orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi kwa...

ElimuHabari

Walimu waipongeza Serikali kulipa malimbikizo ya bilioni 117 , yataka kasi iongezeke

  CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kulipa malimbikizo ya madai ya walimu 88,297 yenye...

Elimu

Serikali yaombwa kufuta huduma za bweni kwa shule msingi

Serikali ya Tanzania imeombwa kufuta huduma za mabweni katika shule za awali hadi msingi, ili kutoa nafasi kwa watoto kulelewa na familia zao...

HabariMazingira

MECIRA yafichua chanzo cha ukame, yataka Serikali iwachukulie hatua wahusika

KITUO cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA), wameiomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaofanya vitendo vya uharibifu wa mazingira, Kwa kuwa ndiyo...

ElimuHabari

Serikali yaahidi kutatua changamoto za DMI

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imeahidi kuzifanyia kazi changamoto mbalimbali zinazokikabili Chuo ch bahari Dar es Salaam (DMI). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Ahadi hiyo...

ElimuHabari

DMI yaomba meli ya mafunzo kwa wahitimu

CHUO cha Bahari Dar es Salaam, (DMI), kimeomba serikali ikipatie meli ya mafunzo kwaajili ya kuwaongezea ujuzi wahimu wa mafunzo chuoni hapo. Anaripoti...

Elimu

Wanafunzi 1,143 wajitokeza mashindano ya tafiti za kisayansi

  ZAIDI ya wanafunzi 1143 wamejitokeza kuomba kushiriki mashindano ya gunduzi na tafiti za kisayansi yaliyoandiliwa na Shirikisho la Wanasayansi Chipukizi (YST) ambayo...

ElimuHabari

Jaji Mkuu mstaafu awatunuku wahitimu 943 ARU

WAKUFUNZI 54 wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), wamepata ufadhili wa kusoma Shahada za Uzamili kupitia mradi unaolenga kufanya tafiti kutatua changamoto za Mkoa...

Afya

Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka

  SERIKALI ya Tanzania imesema maambukizi ya ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), katika kipindi cha tarehe 29 Oktoba hadi 2 Desemba 2022,...

ElimuHabari

Anne Makinda afurahia ubora wahitimu HKMU

CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali kuendelea kuongeza mikopo na ufadhili kwa wanafunzi wa fani za afya hali ambayo...

Elimu

Happines Sanga awa mwanafunzi bora ARU

WANAFUNZI 96 wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU),   wametunukiwa tuzo mbalimbali kutokana na kufanya vizuri kitaaluma kwa mwaka wa masomo 2021/22. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Afya

DC Mpogolo ahamasisha chanjo ya polio

  MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Edward Mpogolo amewataka wazazi wenye watoto wenye umri chini ya miaka mitano wawapeleke kupata chanjo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Samia ataka mikakati kutokomeza unyanyapaa kwa WAVIU

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS), wizara ya afya pamoja na wadau wengine kuweka mikakati ya kutokomeza...

Elimu

Darasa la saba 2022 wafeli kiingereza

  MATOKEO ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2022 yanaonesha kuwa ufaulu wa watahiniwa katika masomo yote uko juu ya wastani...

ElimuTangulizi

Tazama hapa matokeo ya Darasa la Saba 2022

  BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo Alhamisi limetangaza matokeo ya darasa la saba ambapo jumla ya watahiniwa 1,730,402 kati ya watahiniwa...

Elimu

Kikwete ataka utafiti uchache wa wanaume kujiunga UDSM

  MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Jakaya Kikwete ametaka utafiti ufanyike ili kujua kwa nini idadi ya wanaume...

Elimu

Kikwete ahoji wanaume wamekwenda wapi

  MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Jakaya Kikwete, ametaka utafiti ufanyike ili kujua kwa nini idadi ya wanaume...

ElimuHabari

Anne Makinda kutunuku wahitimu 291 HKMU

SPIKA Mstaafu ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU), Anne Makinda anatarajiwa kuwatunuku wahitimu 291 wa masomo mbalimbali kwenye mahafali...

Elimu

Mapitio sera, mitaala ya elimu msingi yakamilika

  MAPITIO ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 na Mitaala ya Elimu Msingi yamekamilika na yanasubiri mchakato wa ndani ya...

Afya

JKCI yasaini mkataba na Poland kutibu moyo

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imesaini mkataba wa ushirikiano na chuo Kikuu cha Jagiellonian nchini Poland, wenye lengo la kubadilishana ujuzi...

Afya

Sheria ya bima ya ajali ipitiwe upya – Spika Tulia

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Dk. Tulia Ackson Mwansasu, ameitaka serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA), kuangalia upya utaratibu wa mashirika...

Elimu

Waliokosa mikopo elimu ya juu wapewa siku 7 kukata rufaa

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefungua dirisha la rufaa ndani ya siku saba kwa wanafunzi ambao hawakuridhika na...

ElimuTangulizi

566,840 kidato cha IV kuanza mitihani ya Taifa kesho

WATAHINIWA 566,840 wa kidato cha nne nchini Tanzania wanatarajia kuanza mitihani yao ya Taifa kesho Jumatatu tarehe 14, Novemba, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

ElimuHabariTangulizi

Waziri Ndalichako aitaka CBE kujitanua zaidi mikoani

SERIKALI imevitaka vyuo kuzingatia mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi vyuoni ili kuondoa malalamiko kutoka kwa waajiri kwamba wahitimu wengi wanahitimu bila kuwa na...

ElimuHabari

Siku ya wahasibu duniani yafana Dar

WAHASIBU na Wakaguzi wa Hezabu nchini wametakiwa kuweka mbele maslahi ya umma, kuwa waadilifu na kuzingatia maadili na sheria zinazowaongoza kwenye kazi zao...

Afya

Muswada Bima ya Afya kwa wote wakwama bungeni

  MUSWADA wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, umeshindwa kusomwa kwa mara ya pili bungeni jijini Dodoma, kutokana na mhimili huo...

ElimuHabari

TRA yaipongeza CBE kwa kuanzisha klabu ya kodi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imepongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kuanzisha klabu ya kodi kwa wanafunzi wanaosoma kwenye chuo hicho...

Burudika

NMB yawakutanisha Jay Meleody, Navy Kenzo Z’bar

MSANII wa kizazi kipya, Jay meleody akitumbuiza kwenye tamasha la Full moon party katika hoteli ya Kendwa Rocks visiwani Zanzibar wikiendi iliyopita. Anaripoti...

Elimu

Serikali yakamilisha rasimu marekebisho sera ya elimu

SERIKALI ya Tanzania imekamikisha rasimu ya marekebisho ya sera ya elimu, ambayo hivi karibuni itatolewa ili wadau kutoa maoni kwa ajili ya kuiboresha...

ElimuHabari

Watakaofiwa na wazazi St Anne Marie kuendelea kusoma bure

MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Dk. Jasson Rweikiza, amesema mwanafunzi ambaye atafiwa na wazazi wake wakati akiendelea na masomo kwenye shule yake ya St...

ElimuHabari Mchanganyiko

SUMAJKT yatoa msaada jozi 500 za viatu kwa wanafunzi vijijini

  SHIRIKA la Uzashaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa SUMAJKT imekabidhi jozi 500 za viatu vya wanafunzi kwa ajili ya kusaidia kampeni...

Elimu

Wadau kupeana uzoefu ubunifu wa kiteknolojia

  WADAU wa ubunifu wa teknolojia katika masuala ya kilimo, fedha na elimu wamekutana jijini Dar es Salaam kubadilishana uzoefu ili kukuza bunifu...

ElimuHabari za Siasa

Bodi ya Mikopo ya wanafunzi kuhojiwa bungeni

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameitaka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), ifike mbele ya Kamati ya...

ElimuHabari

Dk. Mwinyi mgeni rasmi kongamano la uchumi na biashara la CBE

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeandaa kongamano la maendeleo ya biashara na uchumi ambalo linatarajaiwa kufunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein...

Afya

Watumishi 139 kada ya afya kusomeshwa ubingwa, ubobezi

  JUMLA ya watumishi wa afya 139 wamechaguliwa kwaajili ya kupewa ufadhili wa masomo ya ubingwa na ubingwa bobezi katika fani zao. Anaripoti...

AfyaHabari

Hospitali KAM Musika yapima bure saratani tezi dume

KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali ya awamu ya sita katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Hospitali ya KAM Musika ya Kimara...

ElimuTangulizi

Waziri awafuta kazi walimu waliombadilishia namba ya mtihani mwanafunzi la 7

  SERIKALI imeifungia Shule ya Awali na Msingi ya Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha Mitihani pamoja na kuwafuta kazi wasimamizi wa mtihani...

error: Content is protected !!