Thursday , 25 April 2024

Maisha

Maisha

Burudika

Stonebwoy adondosha ‘Dimension’ kolabo na Stormzy, Davido…

MSANII mahiri wa Afro- Dancehall kutoka nchini Ghana aliyesainiwa na lebo ya Def Jam Records, Stonebwoy ameachia albamu mpya ya 5th Dimension, ikiwa...

Elimu

SUA kuboresha ufundishaji kupambania ajira za wahitimu

  CHUO kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) mkoani hapa kinajipanga kuboresha mbinu za ufundishaji kwa vitendo ili kuwafanya wahitimu kujiajiri na kuajiri...

Elimu

Wanakijiji waamua kujenga sekondari, wamuangukia Rais Samia

  WANANCHI wa Kijiji cha Wanyere, Wilaya ya Musoma Vijijini mkoani Mara, wamemua kuanza ujenzi wa shule ya sekondari kwa ajili ya kuwaondolea...

Elimu

Shule ya Wasichana – Dk. Samia yamwagiwa Sh. 50 milioni za vitanda

  SERIKALI ya imetoa Sh. 50 milioni kwa Halmashauri ya Mji Tunduma kwa ajili ya ununuzi wa vitanda katika shule mpya ya sekondari...

Elimu

Rais Samia awapa ujumbe watahiniwa kidato cha sita

RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka kheri watahiniwa wa mtihani wa kumaliza kidato cha sita, huku akiwaahidi kwamba Serikali yake inaandaa mazingira Bora ya...

Burudika

Mr Eazi, DJ Edu kuachia ngoma mpya ya Wena

BAADA ya kutangaza habari kubwa za ujio wa project ya Afrodance Soundsystem, wasanii wakubwa wa muziki, Mr Eazi na DJ Edu wameachia ngoma...

Afya

Kipindupindu chabisha hodi Dar, wagonjwa 10 waripotiwa

  Ugonjwa wa Kipindupindu umeibuka jijini Dar es salaam ambapo zaidi ya watu 10 wamethibitika kuugua ugonjwa huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

ElimuTangulizi

Global Education Link kuitafutia TIA fursa vyuo vya nje.

TAASISI ya  Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na wakala wa vyuo vikuu nje ya nchi Global Education Link (GEL), lengo ikiwa ni kushirikiana kuitafutia...

Afya

Ujenzi wa zahanati kwa ufadhili wa TASAF wafikia asilimia 95

  UJENZI wa mradi wa Zahanati ya Mwanalugali A Kibaha Mjini unaofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF itakayowahudhumia wakati 3367 umefikia asilimia...

Afya

Serikali yatenga Sh. 15 bilioni kukamilisha maboma 300 ya zahanati

  SERIKALI imetenga kiasi cha fedha Sh. 15 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi wa maboma ya...

Afya

Serikali: Tumedhibiti virusi vya Murburg

  SERIKALI ya Tanzania, imesema imefanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Murburg, huku ikiahidi kuutokomeza kwa kufuata miongozo ya Shirika la...

AfyaHabari za Siasa

Wabunge walia na serikali uchakavu vituo vya afya

  BAADHI ya wabunge wameihoji Serikali ina mpango gani wa kuboresha vituo vya afya chakavu, ili viweze kutoa huduma bora za afya kwa...

ElimuHabari

Serikali yataka vijana  wajiunge na program atamizi ya biashara CBE

  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), ili wapate ujuzi wa biashara na hatimaye...

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha vifo vya watu watano kati ya wanane waliougua wilayani Bukoba Vijijini mkoani Kagera...

Elimu

Mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini wamwaga mamilioni ujenzi maabara za sekondari

  MFUKO wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, umetoa fedha kiasi cha Sh. 75.8 milioni, kwa ajili ya ujenzi na ukamilishaji...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

JUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya Bulinda na Butayaibega vilivyopo kata ya Maruku na Kanyangereko wilaya ya Bukoba vijijini...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na taasisi mbalimbali kupeleka wafanyakazi wake kupata mafunzo yatakayowawezesha kuboresha ujuzi wao sehemu za...

Afya

LHRC yapinga kufutwa Toto Afya: Ni ukiukaji wa sheria za watoto

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekosoa vikali hatua ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) kuondoa usajili wa...

Burudika

Makali ya Skillager kwenye ‘Busy Body’ usipime!

MWANAMUZIKI anayekuja kwa kasi kwenye game ya Afro Pop, Felix Philemon Sola ‘Skillager’ ameachia kitu kipya, ‘Body Busy’. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Msanii...

Burudika

Savage adondosha ‘your waist’ X King Perryy, Psycho YP

MSANII wa muziki wa Rap kutoka Nigeria, Savage a.k.a Savage tha Beast amerejea tena na wimbo wake mpya ‘Your Waist’ akiwa amegonga kolabo...

Burudika

Lojay aachia ‘moto’, kusafishia njia EP mpya ‘gangster romantic’

STAA wa Amapiano aliyetesa vilivyo na kibao chake ‘Monalisa’, Lojay sasa ameachia mtaani singo yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘MOTO’, ikiwa ni...

Elimu

Harambee ujenzi sekondari za Musoma Vijijini yashika kasi

  HARAMBEE ya ujenzi na ukarabati wa shule za sekondari zilizoko katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, imeshika kasi baada ya Kampuni...

Afya

Manesi 7 mbaroni tuhuma za kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane

  JUMLA ya wauguzi/manesi saba wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama wamefikishwa polisi baada ya kudaiwa kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane. Anaripoti...

Elimu

Shule ya Alpha yazindua mfumo wa kugundua vipaji vya watoto

  SHULE ya Sekondari ya Alpha ya jijini Dar es Salaam imezindua mfumo wa kupima na kugundua vipaji vya watoto kidigitali. Anaripoti Mwandishi...

Elimu

Katibu Mkuu CCM awataka wahitimu vyuo vikuu wasichague kazi

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ametoa wito kwa vijana wanaohitimu vyuo vikuu, wafanye shughuli nyingine za kujitafutia kipato...

Elimu

Rais Samia ateua Katibu Mtendaji NECTA

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA). Anaripoti Regina Mkonde,...

Elimu

Wahitimu wa kidato cha sita watakiwa kuwa ndoto na mipango madhubuti

KAMISHNA wa Utawala na Raslimali watu wa Jeshi la Polisi nchini, C.P Suzan Kaganda amewataka vijana  hasa wasichana ambao ni wahitimu wa kidato...

ElimuHabari

NACTVET yatoa tuzo kwa wanaotoa nafasi kuendeleza ujuzi,Majaliwa ataka uwekezaji kwenye rasilimali watu

BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni na taasisi amabzo zimetoa...

ElimuHabari

CBE yazindua klabu ya ujasiriamali sekondari ya Temeke Wailes

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimezindua klabu ya ujasiriamali kwa shule ya sekondari Temeke Wailes iliyoko Wilaya ya Temeke jijini Dar es...

ElimuHabari

Vyuo Vikuu bora vya Cyprus, India, Uturuki na Uingereza kufanya maonyesho Dar na Zanzibar

VYUO vikuu bora kutoka  nchi za India, Cyprus, Uingereza, Malaysia na Uturuki vimeleta wawakilishi wake nchini kwaajili ya kuonyesha shughuli zao kwa watanzania...

ElimuHabari

CBE yaja na klabu za ujasiriamali mashuleni

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimepanga kuanzisha vilabu vya ujasiriamali kwa shule za sekondari mkoani Dar es Salaam na kwa kuanzia kimezindua...

Elimu

Toufiq kutatua changamoto Shule ya Msingi Buigiri

  MBUNGE wa Viti maalum Dodoma (CCM), Fatma Toufiq, ameahidi kushughulikia changamoto ambazo zinaikabili shule ya msingi maalum ya Buigiri iliyopo Chamwino mkoani...

Elimu

Msongamano wanafunzi darasani wazitesa shule Tunduma

  WANANCHI katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kuongeza vyumba vya madarasa katika shule za msingi ili...

Elimu

Wanafunzi watakiwa kujiamini

MKURUGENZI wa Shule za Feza Tanzania, Ibrahim Yunus amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini kujiamini wanaposhiriki midahalo ya kitaifa na...

ElimuHabari

CBE yatamba kuzalisha wahitimu walio tayari kwa soko la ajira

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya biashara zao utakuwa wa...

Elimu

Prof. Mkenda aagiza uchunguzi wa kina shule zilizofanya udanganyifu

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amemuagiza Kamishna wa Elimu kufanya uchunguzi wa kina kwa shule nne zilizobainika kufanya...

Afya

Naibu Waziri awabebesha Wakurugenzi zigo la miradi chini ya kiwango

IMEELEZWA kuwa usimamizi mbovu wa miradi ya maendeleo na ujenzi wa majengo ya ofisi za serikali kwa baadhi ya halmshauri nchini unaotokana na...

Elimu

Chuo cha Kilimo cha Mwl. Nyerere kuanza kutoa mafunzo mwaka huu

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amekitaka Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) kilichopo...

Elimu

Wanafunzi St Marys wazichachafya shule 59, Ni katika Quiz iliyoandaliwa na TRA

WANAFUNZI wa shule ya St Mary’s Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, wameibuka kidedea kwenye shindano la kujibu maswali mbalimbali yanayohusu kodi. Anaripoti...

Burudika

Msanii maarufu AKA adaiwa kuuawa kwa risasi

RAPA maarufu nchini Afrika Kusini, Kiernan Forbes ‘AKA’ ameuawa akiwa amesimama nje ya mgahawa mmoja huko Durban jana usiku. Kwa mujibu wa taarifa...

ElimuTangulizi

12 mbaroni udanganyifu mitihani kidato cha nne, Bunge lagongea msumari

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema jumla ya watu 12 wamekamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kuvujisha mtihani wa...

Afya

Waziri wa Tamisemi apewa siku 14 afike Morogoro kutatua changamoto za Afya

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amempa siku 14 Waziri wa TAMISEMI kufika mkoani Morogoro kutatua changamoto za...

ElimuHabari Mchanganyiko

Waliopata Division one St Anne Marie Academy waula, Waahidiwa kupelekwa Ngorongoro, Mikumi

WANAFUNZI wa shule ya St Anne Marie Academy waliofanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne wanaandaliwa ziara ya kutembelea mbuga za wanyama...

ElimuMakala & Uchambuzi

Waraka maalumu kwa NECTA, “hawapaswi kuungwa mkono”

HATUA iliyotangazwa na Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), ya kufuta utaratibu wa kutangaza shule bora na wanafunzi bora katika matokeo ya mitihani...

Afya

Ma-RMO, DMO watakiwa kujitafakari ubadhirifu hospitali za mikoa, wilaya

  NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, amewataka waganga wakuu wa Hospitali za Mikoa na Wilaya ambao unafanyika ubadhirifu katika vituo vyao...

Elimu

NACTVET yafungua dirisha la udahili

  BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limefungua dirisha la udahili wa mkupuo wa mwezi Machi...

Elimu

Prof. Mwakalila awafunda wanafunzi Chuo Mwalimu Nyerere, “ulipaji ada ni muhimu”

  MKUU wa Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere (MNMA), Profesa Shadrack  Mwakalila amewataka wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa masomo kwa mwaka...

ElimuMakala & UchambuziTangulizi

Shule ya msingi yajengwa miaka 25 bila kukamilika, wanakijiji wachoka kuchangia

  Wakazi wa Kijiji cha Makomba kilichopo kata ya Makazi katika wilaya ya Uyui mkoani Tabora wameililia serikali kwa kuwatenga katika miradi ya...

Afya

JK atoa ya moyoni kuhusu huduma za afya

  RAIS Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete amesema huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto ni suala ambalo lipo ndani ya moyo wake...

AfyaHabari za Siasa

Heche amvaa Ummy Mwalimu kisa bima ya afya

  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chadema, John Heche amemtaka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuacha kulazimisha watu kujiunga na mpango wa bima...

error: Content is protected !!