Tuesday , 23 April 2024

Maisha

Maisha

ElimuHabari Mchanganyiko

TAMWA yalaani tuhuma za ngono UDOM yaipa ujumbe Takukuru

  CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA) kinalaani tukio la Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Peter Mswahili kutuhumiwa kujihusisha na mahusiano...

Afya

Dk. Gwajima aziwekea kitanzi taasisi za afya

  WAZIRI Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima ameziagiza taasisi za afya kufuata utaratibu wa mikataba ya utoaji...

Elimu

Prof. Ndalichako aanika matumizi mabilioni ya fedha za UVIKO-19, aonya wafujaji

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imepanga kutumia mabilioni ya fedha zilizotokana na Mpango wa Serikali wa Kuinua Uchumi na Kukabiliana na...

Elimu

Wanafunzi 7,364 wapangiwa mkopo wa bilioni 19.4 kwa awamu ya pili

  BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya awamu ya pili yenye wanafunzi 7,364 wa mwaka wa...

Afya

Uzito uliozidi, kiribatumbo chanzo cha magonjwa sugu

  TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imesema uzito uliozidi na kiribatumbo ni chanzo kikuu cha magonjwa sugu na yasioyakuambukiza. Anaripoti Selemani...

AfyaHabari za Siasa

Rais Samia: Asilimia 88.9 wamechanja chanjo ya Corona

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hadi kufikia jana tarehe 15 Oktoba, 2021 jumla ya Watanzania 940,507 walikuwa wamekwishachanja chanjo ya Covid –...

AfyaHabari za Siasa

Bilioni 6 kuiboresha Hospitali ya Mawenzi

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imetenga Sh. bilioni sita kwa ajili ya kuiboresha Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi, mkoani Kilimanjaro. Anaripoti...

Afya

Waziri Gwajima kumuwakilisha Rais Samia kongamano la wanawake Urusi

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima anatarajia kumuwakilisha Rais wa Samia Suluhu Hassan katika Kongamano...

AfyaHabari Mchanganyiko

Ugonjwa wa akili tishio

  TATIZO la afya ya akili duniani limeendelea kuwa tishio, huku ikikadiriwa kuwa litaongezeka kutoka asilimia 12 hadi 17 ifikapo mwaka 2030. Anaripoti...

Elimu

Prof. Ndalichako aipa rungu TCU wanaowasajilia vyuo waombaji

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Joyce Ndalichako ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu nchini humo (TCU) kuwachukua hatua taasisi...

AfyaTangulizi

Tanzania yapokea chanjo ya corona kutoka China

  TANZANIA leo Ijumaa, tarehe 8 Oktoba 2021, imepokea dozi 576,558 za chanjo dhidi ya ugonjwa unaoambukizwa na virusi vya korona (UVIKO-19) aina...

Afya

Hospitali ya Manipal yaanzisha teknolojia mpya ya matibabu, Tamwa yapongeza

  HOSPITALI ya Manipal kutoka nchini India kwa kushirikiana na Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), wameendesha mafunzo kwa wanahabari kuhusu teknolojia mpya...

AfyaTangulizi

WHO yaidhinisha chanjo ya kwanza ya Malaria, ilisakwa kwa miaka 100

  SHIRIKA la Afya duniani (WHO) limeidhinisha chanjo ya kwanza ya ugonjwa wa Malaria na kusisitiza kuwa inapaswa kutolewa kwa watoto wote Barani...

AfyaHabari za Siasa

Majaliwa awatolea uvivu watumishi wazembe

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, haitawavumilia watumishi wa umma...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yatoa milioni 800 kukarabati hospitali ya rufaa Geita

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita na Chama cha Madaktari Tanzania (MAT)...

Burudika

R. Kelly majanga, akutwa na hatia

  MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya ‘RnB’ kutoka nchini Marekani, Robert Sylvester Kelly maarufu kama R. Kelly amekutwa na hatia katika tuhuma zilizokuwa...

AfyaElimuHabari za Siasa

Serikali kujenga madarasa 15,000, vituo vya afya 250

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuna fedha ambayo ameipata na sasa anatarajia kushirikiana na halmashauri zenye uwezo kifedha kujenga madarasa 15,000 nchi...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Watanzania laki 4 wachanjwa, milioni 2 zaagiwa China

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema, idadi ya wananchi waliochanjwa chanjo ya corona imefikia 400,000. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo...

AfyaHabari Mchanganyiko

Mtambo achangia ujenzi zahanati kijiji Dondo, wananchi…

  MHANDISI Mohamed Mtambo, aliyekuwa mgombea Ubunge wa Mkuranga (ACT-Wazalendo) mkoani Pwani ametoa Sh.500,000 kuchangia ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Dondo. Anaripoti...

Afya

Ukusanyaji damu wabadilisha mwelekeo

  MPANGO wa Taifa wa Damu Salama umebadilisha mwelekeo wake wa kuigeukia jamii ili kukusanya damu kwa ajiri ya kukabiliana na changamoto ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Vituo chanjo ya Corona vyaongezwa, Msigwa awapa neno wasiochanjwa

  SERIKALI ya Tanzania imeongeza vituo vya utoaji huduma ya chanjo ya ugonjwa wa Corona (UVIKO-19), kutoka 550 hadi 6,784 nchi nzima. Anaripoti...

ElimuHabari za SiasaTangulizi

Veta kujengwa kila halmashauri Tanzania

  SERIKALI ya Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuendeleza ujenzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi (Veta) kwa kila halmashauri. Anaripoti...

AfyaKimataifa

Licha ya kupingwa na Ethiopia, Tedros mgombea pekee WHO

  MKUU wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus anaweza kuwa mgombea pekee katika nafasi anayoshikilia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Afya

Tahadhari homa ya uti wa mgongo

  SERIKALI imewataka Watanzania kuchukua tahadhari kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo uliotokea katika jimbo la Tshopo nchini...

Afya

Wizara ya afya yajipanga kuchanja watu 600,000

  Wizara ya afya maendeleo, jinsia, wazee na watoto inatarajia kuzindua mpango wa kuharakisha chanjo ya Uviko-19 kuanzia tarehe 20 Septemba, 2021. Anaripoti...

Afya

Wabunge waibana Serikali ukarabati wa vituo vya afya

  SERIKALI kwa kumtumia Wakala wa majengo (TBA) imeanza upembuzi yakinifu wa majengo yatakayofanyiwa ukarabati pamoja na yale yatakayobomolewa na kujengwa upya, Anaripoti...

Elimu

Serikali kupanua shule 100 zipokee wanafunzi wa kidato cha 5, 6

  SERIKALI imepanga wa kuongeza upanuzi wa shule 100 ili ziwe na uwezo wa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano na sita. Anaripoti...

Burudika

Msimu wa 12 BSS wazinduliwa, Salama Jabir arejea

  SHINDANO la Bongo Star Search (BSS) msimu wa 12 umezinduliwa huku jaji maarufu Salama Jabir akirejea ulingoni. Anaripoti Matilda Buguye (endelea). Salama...

AfyaHabari za Siasa

Mbunge alilia hospitali ya Tunduma, Serikali yamjibu

  MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM), Juliana Shonza ameitaka Serikali ieleze ni lini jingo la Hospitali ya Tunduma, Mkoa wa Songwe litafunguliwa. Anaripoti...

Afya

DC Korogwe aibua mazito sakata la daktari aliyefumua mshono wa mgonjwa

  MKUU wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi amesema anachelea kuamini taarifa iliyotolewa na wizara ya afya kuhusu tukio la daktari aliyemfumua mshono...

Burudika

Naddy kuwapandisha jukwaani wasanii Dar

MSANII wa muziki wa bongo fleva Nandela Charles Mfinanga maarufu Nandy leo Jumamosi tarehe 4 Septemba 2021 anahitimisha kilele cha tamasha lake ‘Nandy...

ElimuHabari Mchanganyiko

Serikali, Huawei Kuwaendeleza Wanawake Sekta Ya TEHAMA

SERIKALI imeahidi  kushirikiana na kuunga mkono  jitihada za kampuni ya Mawasiliano ya Huawei katika kuweka mkazo zaidi  na kuwaendeleza wanawake katika sekta ya...

Elimu

Nape: Serikali itoe mikopo kwa wanafunzi kidato cha tano, sita

  MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameitaka Serikali kutoa mikopo kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita kama ilivyo kwa wanafunzi...

AfyaTangulizi

Johnson & Johnson wasitisha majaribio chanjo ya VVU Barani Afrika

  KAMPUNI ya Johnson & Johnson kutoka nchini Marekani imesitisha majaribio ya chanjo ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) Barani Afrika baada ya chanjo...

AfyaKimataifa

Kirusi kipya cha Corona chatikisa, chadaiwa kuishinda nguvu chanjo

  KIRUSI kipya cha Corona kilichopewa jina la ‘Mu’ au  B.1.621 kimeanza kutikisa nchi kadhaa za Bara la Amerika kusini na Ulaya huku...

ElimuTangulizi

Mkakati mpya wanafunzi wanaopata ujauzito kurejea shule

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mkakati mpya kwa wanafunzi waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito kuwawezesha kuwaendelea kimasomo. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo … (endelea)....

Elimu

Wanafunzi elimu ya juu wapewa wiki mbili kukamilisha maombi ya mkopo

  BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa muda wa wiki mbili kwa wanafunzi ambao hawajakamilisha maombi ya mkopo...

Elimu

Udahili waanza shule mbili zilizojengwa na GGML, Halmashauri Geita 

Wanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Bugando ambayo ni shule ya sekondari ya pili ya serikali katika Halmashauri ya Wilaya...

Burudika

Bilionea Grand P, Eudoxie Yao warudiana

Baada ya kutangaza kutengana wiki chache zilizopita, bilionea Moussa Sandiana Kaba almaarufu kama Grand P kutoka Guinea amerudiana tena na mpenzi wake msanii...

BurudikaTangulizi

Rais Samia ampagawisha Zuchu

  Malkia wa Bongofleva, Zuhura Kopa maarufu kama Zuchu ameeleza kupagawishwa na simu ya Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiperfome jana tarehe 21...

Elimu

Serikali yakwama kuzuia kesi ya kupinga malipo elimu juu

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imetupilia mbali mapingamizi ya Serikali, katika kesi Na. 16/2021, iliyofunguliwa na Alexandra Bakunguza, kupinga elimu ya juu kutolewa...

AfyaTangulizi

Baada ya chanjo ya Corona, sasa VVU

  Kampuni ya Bayoteknolojia Moderna leo Jumatano Agosti 18, 2021 inaanza kufanya majaribio ya chanjo za Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa binadamu. Anaripoti...

Burudika

Mrembo Mobetto atisha tena, apata dili nono

  MWANAMITINDO na msanii wa muziki wa bongo fleva Hamisa Mobetto, nyota yake imeendelea ku’ngaa baada ya kusaini mkataba mpya na kampuni ya...

Afya

Hizi hapa sababu za watoto kutoathirika na Korona

  MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Said, amesema watoto wadogo hawaathiriki sana na Ugonjwa...

Afya

Mbatia ataka vituo chanjo ya Korona viongezwe

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameiomba Serikali iongeze vituo vya kutolea huduma ya chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19). Anaripoti...

Elimu

Majaliwa atoa maagizo wanufaika mafunzo ya ufundi

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana waliopata ufadhili wa Serikali kupitia programu maalum ya kupata mafunzo ya ufundi stadi watumie...

Elimu

Vyuo vikuu Tanzania vyatakiwa kupitia mitaala

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, imevitaka vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu kufanya mapitio ya mitalaa ili iweze...

AfyaTangulizi

Chanjo ya Korona kuanza Agosti 3, vituo 550 kutumika

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imesema huduma ya chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), itaanza kutolewa kwa wananchi kuanzia Jumanne, tarehe 3...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia afungua dimba chanjo ya Korona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezindua zoezi la utoaji chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), kwa kuchanjwa aina ya Johnson &...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia awapa ujumbe wapinga chanjo ya Korona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watu wanaopinga chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), wakajifunze katika mikoa iliyoathirika na janga hilo....

error: Content is protected !!