Thursday , 28 March 2024

Afya

Afya

Afya

Mfumo kudhibiti vifo vya wajawazito waja

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inatarajia kuanzisha mfumo wa ufuatiliaji taarifa za wajawazito, ili kupunguza vifo vya...

Afya

Mbunge alia ukosefu X-Ray, Serikali yatoa agizo

  WIZARA ya Ofisi ya Rais-Tamisemi, imeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, itumie mapato yake ya ndani, kununua kipimo cha kuchunguza...

Afya

Serikali yatoa muongozo matibabu ya wazee

  SERIKALI ya Tanzania imeagiza hospitali, zahanati na vituo vya afya vya umma, viweke watu maalum kwa ajili ya kuwahudumia wazee. Anaripoti Danson...

Afya

Maadhimisho fistula 2021, CCBRT yatoa wito

  IKIWA zimebaki siku mbili kuelekea maadhimisho ya kutokomeza Fistula ya Uzazi, bado takwimu zinaonyesha, idadi ya wanawake wenye tatizo hilo imekuwa ikiongezeka....

Afya

Milioni 500 kuboresha hospitali wilaya Iringa

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh. 500 milioni kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya watoto, wanaume na wanawake ya magonjwa mchanganyiko hospitali...

AfyaHabari za Siasa

Mambo 19 yoliyopendekezwa kuhusu corona Tanzania

  LEO Jumatatu, tarehe 17 Mei 2021, Kamati iliyoundwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya tathimini ya ugonjwa wa corona (COVID-19),...

AfyaHabari Mchanganyiko

Kamati aliyounda Rais Samia yashauri chanjo corona itolewe, takwimu ziwe wazi

  KAMATI Maalum ya kufanya tahimini ya maambukizi ya ugonjwa wa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) nchini Tanzania, imependekeza Serikali ya nchi...

Afya

Serikali kuongeza watumishi Hospitali za Kanda, Rufaa

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, iko mbioni kuajiri wataalamu 473 wa kada mbalimbali za afya, ambao watapelekwa...

Afya

COVID-19: Askofu Gwajima aonya serikali

  ASKOFU Josephat Gwajima, Mbunge wa Kawe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametoa tahadhari kwa serikali juu ya chanjo ya virusi vya corona...

Afya

52% waugua kichocho, minyoo

  WAKATI Watanzania takribani milioni 22 (52%), wanaugua ugonjwa wa kichocho na minyoo ya tumbo nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

AfyaHabari Mchanganyiko

Bilioni 9.8 kujenga Hospitali ya Rufaa mkoa wa Katavi

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga kiasi cha Sh. 57 bilioni kwa ajili ya ukamilishaji wa miundombinu ya hospitali za rufaa za mikoa ukiwemo...

Afya

Dk. Gwajima: Marufuku kuwauzia kina mama kadi za kliniki

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amepiga marufuku utaratibu wa kuwauzia kadi za kliniki wajawazito....

Afya

Bilioni 57 kuboresha hospitali za rufaa Tanzania

  SERIKALI imetenga Sh.57 Bilioni kwa ajili ya ukamilishaji wa miundombinu ya Hospitali za Rufaa za Mikoa, ikiwemo ya Mawenzi, mkoani Kilimanjaro. Anaripoti...

AfyaHabari za Siasa

Bil 14 kujenga hospitali 28

  SERIKALI imetenga Sh. 14 Bilioni kwa ajili ya kuanza ujenzi wa hospitali mpya 28, ikiwepo Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga...

AfyaHabari za Siasa

Tamisemi: Hospitali Biharamulo ilitengewa Mil 500

  HALIMASHAURI ya Wilaya ya Biharamulo, Kagera ilipatiwa kiasi cha Sh. 500 Milioni katika mwaka wa fedha 2019\20 kwa ajili ya kuanza ujenzi...

Afya

Dk. Gwajima ahimiza lishe bora, mazoezi

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amewahimiza Watanzania kula lishe bora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Katavi…(endelea)....

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Chadema: Serikali itoe taarifa sahihi za corona, chanjo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Tanzania, kupima na kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Afya

Dk. Gwajima abaini hasara bilioni 1 hospitali ya Tumbi

  UCHUNGUZI wa tathmini ya uwepo wa thamani ya fedha katika utekelezaji wa mradi wa upanuzi na uboreshaji wa Hospitali ya Rufaa ya...

Afya

Kujifukiza elfu 5 Muhimbili

  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam (MNH), imefunga mashine nne za kutoa dawa kwa njia ya mvuke ili kusaidia wagonjwa...

Afya

Gharama kipimo cha corona Z’bar yapaa

  KUPIMA virusi vya corona (COVID-19), visiwani Zanzibar sasa ni Dola za Marekani 80 (zaidi ya Sh.180,00), badala ya Sh.30,000 za awali. Anaripoti...

Afya

COVID-19: Waziri Gwajima ‘matamko yametosha’

  DAKTARI Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania amesema, matamko kuhusu magonjwa ya kuambukiza ikiwemo...

AfyaTangulizi

COVID-19: Serikali yaja na mambo manane

  WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza mambo manane yanayoweza kumsaidia Mtanzania kujilinda na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo...

Afya

Tanzania yang’ang’aniwa kutoa takwimu za Corona

  SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limeitaka serikali ya Tanzania kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya Covid 19, ili kuwezesha kujulikana idadi...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Jitahadharini na corona

  RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kujihadhari na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Ametoa wito...

AfyaTangulizi

Madaktari: Kuna ongezeko la wagonjwa, watahadharisha

  CHAMA cha Madaktari nchini (MAT), kimewataka wananchi kuwa makini kutokana na ongezeko la wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

AfyaHabari za Siasa

Ndugai ashtushwa gharama mashine za upumuaji

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshtushwa na gharama kubwa za mashine za kusaidia upumuaji kwa watu wenye tatizo hilo, zinazotolewa...

Afya

Chanjo ya corona: WHO yaitenga Tanzania, Burundi

  SHIRIKA la Afya duniani (WHO), limeiondoa Tanzania na Burundi katika orodha ya nchi za Afrika Mashariki zikazopewa chanjo ya virusi vya corona...

Afya

COVID-19: Ureno yaelemewa, yaomba msaada Ujeruman  

KASI ya kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19) nchini Ureno, inatikisa taifa hilo. Inaripoti mitandao ya kimataifa… (endelea). Serikali ya Ureno baada ya kuona...

Afya

Jafo atangaza siku 7 kupiga nyungu

  WAZIRI Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Seleman Jaffo ametangaza msimu wa tatu wa kujifukiza nyungu, ili kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu...

AfyaHabari za Siasa

Magufuli aagiza madaktari waliokimbia kazini watafutwe

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza madaktari wanaopangiwa ajira katika hospitali za umma kisha wanakimbilia kwenye hospitali binafsi kwa kigezo cha masilahi...

Afya

Waziri Gwajima aanza safari kuukabili ukatili

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imetaka wananchi wanaokabiliwa na vitendo vya kikatili kwenye familia/nyumba zao, kuwasiliana na maofisa wa wizara hiyo moja...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Maambukizi ya corona: Taifa njia panda

  MKANG’ANYIKO wa taarifa juu ya virusi hatari vya corona (Covid-19), nchini Tanzania, unazidi kuwaweka wananchi njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Afya

Rais Magufuli aahidi makubwa sekta ya Afya

  RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli amesema serikali yake itaendelea kuboresha sekta ya afya ili wananchi wapate huduma bora za afya. Anaripoti...

AfyaHabari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki watahadharisha maambukizi ya corona

  BARAZA la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), limetoa tahadhari kwa wananchi kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona na ugonjwa wa...

Afya

Serikali yalaani askari aliyemtwanga makofi raia hospitali

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza kuumizwa na hatua ya askari wa ulinzi (SUMA – JKT)...

AfyaHabari za Siasa

Waziri Gwajima asimamisha watano Ukerewe

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Dk. Dorothy Gwajima, amewasimamisha watumishi watano wa Hospitali ya Wilaya ya Nansio Ukerewe jijini Mwanza, kupisha uchunguzi wa...

Afya

Kupima corona sasa Sh. 275,000

HOSPITALI ya Aga Khan imepewa jukumu la kupima virusi vya corona (COVID-19) kwa gharama ya Sh. 275,000 kwa Mtanzania. Anaandika Hamis Mguta, Dar...

Afya

Corona yaitesa Afrika: Congo, Rwanda, Zimbabwe hakutoshi

GONJWA hatari la Corona, sasa limerejea kwa kasi katika Bara la Afrika, ambako mamilioni ya watu tayari wameambukizwa ugonjwa huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Afya

Milioni 18 wapona corona dunia

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani yamefikia milioni 26.18, waliopona milioni 18.44 na waliofariki kutokana na ugonjwa huo ni 867,370. Inaripoti Mitandao...

Afya

Milioni 16 wapona corona duniani

WAGONJWA milioni 16.08 wamepoma virusi vya corona (COVID-19) duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Mtandao wa worldometer umeripoti leo Jumatatu tarehe 24 Agosti 2020, kuwa...

Afya

Waziri Ummy atoa darasa la unyonyeshaji watoto

ULISHAJI wa mtoto usio sahihi unaochangiwa na mama kuelemewa na majukumu mengi ya kazi hivyo kukosa muda wa kutosha wa kumtunza mtoto ni...

Afya

Serikali ya Tanzania yajivunia maboresho sekta ya afya

SERIKALI ya Tanzania imesema imefanikiwa kutimiza dhamira ya kuhakikisha upatikanaji wa uwiano wa kutosha katika utoaji huduma za afya za uhakika na wakati....

Afya

Naibu Waziri aimwagia sifa CCBRT

NAIBU Waziri wa Afya Dk. Godwin Mollel ameipongeza hospitali ya CCBRT kwa utendaji kazi mzuri licha ya kuwepo changamoto zinawaikabili hospitali hiyo. Anaripoti...

Afya

Mwongozo uvaaji barakoa wanafunzi Tanzania watolewa

SERIKALI ya Tanzania imetoa mwongozo wa namna wanafunzi na walimu wa shule za msingi na sekondari, watakavyokabiliana na ugonjwa wa homa kali ya...

Afya

Milioni 780 kupambana na dawa za kulevya Tanga 

SERIKALI ya Tanzania imepata Sh. 780 milioni  kwa ajili ya kujenga kliniki ya huduma za methadone kwa waathirika wa dawa za kulevya mkoani...

Afya

Huduma zarejea Hospitali ya Amana, bila barakoa…

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema, Serikali imerudisha huduma za kawaida katika Hospitali ya Rufaa ya...

Afya

Majaliwa: Wagonjwa wa corona Tanzania wabaki 66

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) kwa sasa yamepungua na...

AfyaHabari za Siasa

Mapambano ya corona Tanzania, IMF yatoa msamaha wa mabilioni

DK. John Magufuli, Rais wa Tanzania amesema, atamwandikia barua Kristalina Georgieva, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha za Kimatiafa (IMF ), kwa ajili...

AfyaHabari za Siasa

Mbunge CCM awapigania wagonjwa wa saratani, figo bungeni

RITTA Kabati, Mbunge Viti Maalumu mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ameiomba Serikali kuwapunguzia gharama za matibabu wagonjwa wa saratani na figo....

Afya

Waziri Ummy: Mikoa 15 Tanzania haina corona

SERIKALI ya Tanzania imetoa mwenendo juu ya hali ya maambukizi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19)....

error: Content is protected !!