Thursday , 25 April 2024

Habari

KimataifaTangulizi

Rais mteule William Ruto kuapishwa Jumanne ijayo

RAIS mteule wa Kenya, William Ruto anatarajiwa kuapishwa Jumanne, tarehe 13 Septemba, 2022. Hii ni baada ya Mahakama ya Juu Milimani kutupilia mbali...

Kimataifa

Odinga: Tunaheshimu uamuzi wa mahakama lakini hatukubaliani nao

ALIYEKUWA mgombea kiti cha Urais wa Kenya, Raila Odinga, pamoja na mgombea mwenza wake, Martha Karua, wamesema wanaheshimu maoni ya Mahakama ya Juu...

KimataifaTangulizi

Huu hapa uamuzi wa Mahakama juu ya masuala tisa ya kupinga ushindi wa Ruto

  MAJAJI saba wa Mahakama ya Juu nchini Kenya wametoa uamuzi wa pamoja wa kutupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Rais Mteule...

Kimataifa

Nini kitafuata baada ya Mahakama kuamua hatima matokeo uchaguzi mkuu Kenya?

  LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa...

KimataifaTangulizi

Nini kitafuata baada ya Mahakama kuamua hatima matokeo uchaguzi Urais Kenya?

LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa kuanzia...

Kimataifa

Ubalozi wa Marekani nchini Kenya watoa tahadhari kwa raia wake

  UBALOZI wa Marekani nchini Kenya umewataka raia wake kuchukua tahadhari kubwa nchini humo wakati huu ambapo , mahakama ya juu inatarajiwa kutoa...

KimataifaTangulizi

Haya hapa maswali magumu ya Majaji kwa mawakili wa Ruto na IEBC

  KESI ya kupinga uchaguzi wa rais mteule William Ruto katika mahakama ya Juu nchini Kenya leo Ijumaa tarehe 2 Septemba, 2022, imeingia...

Kimataifa

Mahakama yaiamuru IEBC imruhusu Odinga kuona matokeo ya uchaguzi

MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022, imeamuru Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kumpa mgombea urais wa Muungano...

KimataifaTangulizi

Masuala tisa yatakayoamuliwa na Mahakama ya Juu kuhusu kesi ya uchaguzi Kenya

  MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022 imeanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika...

Kimataifa

Mabishano yaibuka Mahakama Kuu IEBC kuchelewa kuwasilisha kiapo

  JAJI Mkuu wa Kenya, Martha Koome leo mchana ameahirisha kesi ya kupinga matokeo ya urais nchini humo baada ya kuibuka mabishano ya...

Kimataifa

Jengo la chama cha Kenyatta kupigwa mnada

  JENGO la makao makuu ya chama cha Jubilee lililopo katika mtaa wa Pangani, kaunti ya Nairobi nchini Kenya linatarajiwa kupigwa mnada Septemba...

Kimataifa

Waziri Mkuu akutwa na Uviko-19, awekwa karantini

  WAZIRI Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amepimwa na kukutwa na maambukizi Covid-19 wakati akiwasili nchini Tunisia kushiriki mkutano wa nane wa Kimataifa...

Kimataifa

FATF kuipima tena Pakistani kwenye ugaidi, utakatishaji fedha

  SHIRIKISHO la Kimataifa la kufuatilia utakatishaji fedha haramu na Ugaidi (FATF) linarajia kufika nchini Pakistani Mwezi ujao ili kuhakikisha kuwa nchi hiyo...

Kimataifa

Magavana 45 waapishwa Kenya

MAHAKAMA nchini Kenya imeanza kuwaapisha magavana 45 katika kaunti zao walikochaguliwa kwa mujibu wa masharti ya Sheria ya kukabidhiwa Ofisi ya Ugavana. Sheria...

Kimataifa

Volodymyr Zelenskiy: Ukraine imezaliwa upya baada ya uvamizi wa Urusi

  RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy, ameeleza kuwa taifa lake limezaliwa upya wakati Urusi ilipoamua kuivamia kijeshi, Februari mwaka huu na kamwe haliwezi...

Kimataifa

Mwili wa Dos Santos wawasili Angola wakati wa kampeni za uchaguzi

  MWILI wa Rais wa zamani wa Angola Jose Eduardo Dos Santos, aliyefariki nchini Uhispania mwezi Julai, umewasili katika mji mkuu wa Angola,...

Kimataifa

Raila Odinga afungua rasmi kesi ya kupinga uchaguzi wa urais

  MGOMBEA wa urais nchini Kenya, kupitia Muungano wa Azimio, Raila Odinga, hatimaye amewasilisha rasmi ombi la kupinga uchaguzi wa William Ruto kuwa...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Juliana Cherera; kigogo tume ya uchaguzi anayetia mchanga ushindi wa Ruto

Jina la Juliana Cherera ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka kutoka nchini Kenya (IEBC), limepata umaarufu mkubwa baada...

Kimataifa

Mwili wa Rais Angola waendelee kusota mochwari, mwanaye akata rufaa

  BINTI wa Rais wa zamani wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Uhispania ulioamuru mjane...

Kimataifa

Biashara ya usafirishaji binadamu yawaibua wanaharakati Pakistan

WAKATI vitendo vya biashara haramu ya kusafirisha binadamu nchini Pakistani vikizidi kushika kasi huku wahanga wakuu wakiwa wanawake, Tume ya Haki za Binadamu...

Kimataifa

Ukraine yahofia Urusi kuzima kinu cha kufua umeme cha nyuklia

KAMPUNI ya nyuklia ya serikali ya Energoatom ya Ukrein imesema vikosi vya Urusi vilipanga kuzima mtambo wa kuendesha umeme kwenye mtambo wa nyuklia...

HabariKimataifa

Kenyatta awahakikishia viongozi wa dini amani makabidhiano ya madaraka

  RAIS wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta amewahakikishia viongozi wa dini nchini humo kuwa makabidhiano ya madaraka baina yake na atakayemrithi yatakuwa...

HabariKimataifa

Seneta Mmarekani ayewapatanisha Uhuru, Raila atua Kenya

SENETA wa Marekani ambaye aliwataka Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga kuwa na mazungumzo baada ya mzozo wa uchaguzi wa...

KimataifaTangulizi

Ruto: Machifu, watumishi ‘waliotekwa’ upinzani warejee kazini

RAIS mteule w Kenya, Dk. William Ruto amewataka machifu na watumishi wa umma waliokuwa wanatumiwa na wanasiasa kuwafanyia kampeni, warejee kazini ili watekeleza...

Kimataifa

Odinga akataa matokeo uchaguzi mkuu Kenya, kukimbilia mahakamani

  ALIYEKUWA Mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya kupitia muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga leo Jumanne amekataa kuyatambua matokeo ya...

Kimataifa

Makamishna wa IEBC waliopinga matokeo watoa sababu nne

  MAKAMISHNA wanne wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi ya Kenya (IEBC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Juliana Cherera, wametaja sababu za kutokukubaliana...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Namna Ruto alivyomshinda Odinga uchaguzi mkuu Kenya

  KAMPENI za wafuasi wengi zilizoegemezwa katika simulizi kali za ma-hustlers (watafutaji) sambamba na uungwaji mkono kutoka kwa maeneo yenye utajiri wa kura...

Kimataifa

Msimamizi Uchaguzi aliyetoweka, auawa na wasiojulikana

  OFISA wa uchaguzi wa Embakasi Mashariki kutoka nchini Kenya, Daniel Mbolu Musyoka (53) aliyetoweka tarehe 11 Agosti, 2022 amepatikana akiwa amefariki. Inaripoti Mitandao...

KimataifaTangulizi

Ruto: Nitaongoza Serikali kwa uwazi na demokrasia

  RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto amewahakikishia wananchi kuwa ataongoza Serikali kwa uwazi na demokrasia ya hali ya juu huku...

KimataifaTangulizi

Ruto aibuka mshindi Urais Kenya kwa asilimia 50.49

  MGOMBEA Urais wa Muungano wa Kenya Kwanza na Chama cha UDA, William Ruto ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu kwa kura 7,176,141...

Kimataifa

Wajackoyah: Nitashinda urais Kenya

  WAKATI matokeo ya kura za urais zilizothibishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) zikionesha mchuano mkali katika kinyang’anyiro...

KimataifaTangulizi

Uchaguzi Mkuu Kenya- mbivu, mbichi leo

WAKENYA watajua rais wao mpya wakati wowote kuanzia leo wakati Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati akiwa amebakisha...

Kimataifa

Mwaure asalimu amri kinyang’anyiro urais Kenya

MGOMBEA urais nchini Kenya kupitia tiketi ya Chama cha Agano, Waihiga Mwaure amekuwa mgombea wa kwanza wa urais kukubali kushindwa. Anaripoti Mwandishi Wetu...

KimataifaTangulizi

Odinga aibuka, ahubiri amani, maridhiano

MGOMBEA urais nchini Kenya kupitia muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga jana Agosti 14, 2022 ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu...

KimataifaTangulizi

Salman Rushdie apumulia mashine baada ya kuchomwa visu Marekani

MWANDISHI wa habari mzaliwa wa Mumbai nchini India, Salman Rushdie, anapumulia mashine hospitalini baada ya jana tarehe 12 Agosti, 2022 kushambuliwa na visu....

KimataifaTangulizi

Mawakala Odinga, Ruto wachelewesha matokeo, Chebukati atishia kuwatimua

KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya urais kumezidi kuzua wasiwasi nchini Kenya huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ikilaumu mawakala wa Naibu...

Kimataifa

Mawakala Ruto, Odinga wazozania kifaa cha majumuisho ya kura

WAANDISHI wa habari wamelazimika kutolewa katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura za urais cha Bomas kupisha majadilino ya maafisa wa Tume Huru...

Kimataifa

Vita nyingine Ruto, Odinga kwenye viti vya Bunge

WAKATI matokeo ya uchaguzi wa urais yakiendelea kutolewa jana na Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi (IEBC), mwelekeo umehamia kwenye vita vya Bunge,...

Kimataifa

Mawakala wa Ruto wazozana na maafisa wa Tume ya uchaguzi

  GHADHABU zilipanda katika kituo cha kitaifa cha kuhesabia kura cha Bomas of Kenya usiku wa Alhamisi wakati tume ya uchaguzi ilipoanza kuhakiki...

Kimataifa

Tume Huru ya Uchaguzi Kenya yaanza kutiririsha matokeo ya Urais

  TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) hatimaye ilianza kutiririsha matokeo ya urais yaliyothibitishwa mwishoni mwa siku Alhamisi kwa ajili ya kutangaza...

KimataifaTangulizi

Kikwete: Asiyekubali matokeo Uchaguzi Kenya aende mahakamani

KIONGOZI wa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete ametoa wito kwa wagombea...

Kimataifa

Prof. Wajackoyah afanikiwa kupiga kura baada ya kusubirishwa kwa saa tatu

  HATIMAYE Mgombea Urais wa chama cha Roots Party of Kenya, Prof. George Wajackoyah,amefanikiwa kupiga kura baada ya kuchelewa kwa saa tatu kutokana...

Kimataifa

Kenyatta aisifu IEBC: Uchaguzi unaenda vizuri

  RAIS Uhuru Kenyatta wa nchini Kenya ameisifu taasisi inayosimamia uchaguzi ya IEBC kwa kuweka taratibu nzuri za uchaguzi huku akiwasihi wananchi kujitokeza...

Kimataifa

Trump alia polisi kuzingira, ‘kusachi’ nyumba yake

  RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza kwamba makazi yake maarufu ya Florida, ‘Mar-a-Lago’, yamekaguliwa na polisi wa shirikisho la upelezi...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Pakistan kinara wa unyanyasaji, utekaji na ubakaji wanawake

  WAKATI Dunia ikihubiri haki na usawa wa kijinsia huko nchini Pakistani wanawake wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kijinsia , kubakwa na kutekwa nyara....

Kimataifa

Wapiga kura wampokea kishuja Odinga, wasukuma gari

  MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga mapema leo saa 4:00 asubuhi amewasili katika Shule ya msingi ya Old...

Kimataifa

Ruto, Odinga kurusha karata ya mwisho leo

  IKIWA zimesalia siku tatu kabla ya Uchaguzi Mkuu nchini Kenya kufanyika, kampeni za urais nchini humo zinafikia tamati leo Jumamosi huku wagombea...

Kimataifa

Mgombea Kenya asafisha vyoo kushawishi wapiga kura

  KUELEKEA Uchaguzi wa Kenya unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, 2022 imezuka mishangao kwa wananchi mara baada ya baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali...

Kimataifa

Kongo wamtimua msemaji wa MONUSCO

SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemtaka msemaji wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo (MONUSCO), Mathias Gilman...

Kimataifa

Marekani yamuua kiongozi wa Al-qaeda kwa ndege zisizo na rubani

  RAIS wa Marekani, Joe Biden, amesema kiongozi wa Al-qaeda, Aymam Al-zawahiri, ameuawa katika shambulio lililofanywa na Marekani nchini Afghanistan. Anaripoti Erick Mbawala...

error: Content is protected !!