RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa Ukraine wamepoteza maisha hadi sasa katika vita kati ya...
By Mwandishi WetuApril 16, 2022DAKTARI Krisna Singh kutoka North Lanarkhire mwenye umri wa miaka 72 , amepatikama na hatia ya makosa ya unyanyasaji wa kingono dhidi...
By Masalu ErastoApril 15, 2022MAREKANI imewahusisha wadukuzi wanaoungwa mkono na Korea Kaskazini, na wizi mkubwa wa fedha za mtandaoni dola milioni 615 kutoka kwa wachezaji maarufu...
By Masalu ErastoApril 15, 2022NCHI ya Urusi, imeonya uwezekano wa dunia kukumbwa na baa la njaa, endapo vikwazo vya kiuchumi dhidi yake havitaondolewa haraka iwezekanavyo. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 15, 2022RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, anatarajiwa kuhutubia wakuu wa nchi za Afrika, ili kueleza msimamo wake juu ya kinachoendelea kwenye mgogoro wa...
By Regina MkondeApril 15, 2022RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameshindwa kutokea kwenye kesi yake iliyounguruma leo katika Mahakama ya Pietermaritzburg katika jimbo la KwaZulu-nchini...
By Gabriel MushiApril 11, 2022RAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kiongozi wa mrengo wa kulia Marine Le Pen wanatarajiwa kuingia katika duru ya pili ya uchaguzi mkuu...
By Gabriel MushiApril 11, 2022JUMLA ya nchi 93 zimepiga kura kuunga mkono pendekezo la kusimamisha uanachama wa Urusi katika Baraza la haki za Binadamu la Umnoja wa...
By Gabriel MushiApril 9, 2022IMEELEZWA kuwa Serikali ya Urusi imepanga upya uongozi wa operesheni zake za kivita nchini Ukraine na kumteua Jenerali mpya mwenye uzoefu wa...
By Mwandishi WetuApril 9, 2022SERIKALI ya Uingereza imewawekea vikwazo mabinti wa Rais Putin wa Urusi wanaofahamika kwa majina Katerina Vladimirovna Tikhonova na Maria Vladimirovna Vorontsova ,Pamoja...
By Masalu ErastoApril 8, 2022TAKRIBANI watu sita wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye baa katika kambi ya kijeshi ya Katindo huko...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022MAMLAKA ya udhibiti wa viwango nchini Kenya, imetipoti kuchunguza Usalama wa kiafya wa chokoleti maarufu inayofahamika kwa jina la Kinder Joy ambayo...
By Masalu ErastoApril 7, 2022WAKAZI wa Jimbo la Gujarat nchini India , wamepigwa na mshangao mkubwa , baada ya wanafunzi watatu kufariki dunia ghafla, kutokana na...
By Masalu ErastoApril 7, 2022NCHI ya Urusi iko hatarini kuondolewa ujumbe katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), kufuatia hatua yake ya kuivamia...
By Gabriel MushiApril 7, 2022RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Blaise Compaoré, amehukumiwa leo Jumatano tarehe 6 Aprili, 2022 kifungo cha maisha jela kwa kushiriki katika mauaji...
By Gabriel MushiApril 6, 2022WATOTO wawili waliozaliwa nchini Ukraine katika siku za hivi karibuni wamepewa majina ya makombora ya kutoka ardhini hadi angani yaliyotengenezwa nchini Uingereza. Watoto...
By Gabriel MushiApril 5, 2022WABUNGE wawili kutoka nchini Kenya wanatarajiwa kuhojiwa na Ofisi ya Mlelezi wa Makosa ya Jinai kutokana na tuhuma za kuipiga mawe helkopta...
By Mwandishi WetuApril 3, 2022RAIS wa Shirikisho la Soka nchini Algeria (FAF) Charafeddine Amara pamoja na bodi nzima ya shirikisho hilo, amejiuzulu baada ya timu ya...
By Mwandishi WetuApril 3, 2022WAKATI mazungumzo ya kusitisha vita kati ya Urusi na Ukraine yakiendelea kwa kusuasua, Serikali ya Ukraine imesema imechukua udhibiti wa eneo zima...
By Mwandishi WetuApril 3, 2022WAKATI mchakato wa Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ukizidi kupamba moto, imebainika kuwa wafu 250,000 wameandikishwa katika orodha ya wapiga kura katika vitabu...
By Mwandishi WetuApril 2, 2022MSAFARA mdogo wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu , International Geneve Comitee [ICRC] wa magari matatu, umeondoka kutoka Zaporiahzhia , kuelekea...
By Masalu ErastoApril 1, 2022KIJANA mmoja Kaskazini mwa Msumbiji aliyesemekana kufariki Dunia anayefahamika kwa jina la Eurella Manuel Benjamin ameonekana kijijini kwao akiwa mzima Baada ya...
By Masalu ErastoApril 1, 2022Mahakama ya upeo nchini Kenya imesema kwamba mchakato mzima wa marekebisho ya katiba ulikiuka sheria na kwa hivyo si halali. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2022BUNGE la Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo , limepiga kura kumuondoa Waziri wa Uchumi Jean Marie Kalumba , katika wadhifa wake Jumatano...
By Kelvin MwaipunguMarch 31, 2022RAIA wanne wameuwawa Ukraine na wengine kadhaa , kujeruhiwa baada ya shambulio la Urusi kupiga kituo cha matibabu huko Khirkiv, Polisi wa...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022SHIRIKA la Afya Duniani limetoa wito wa tahadhari , juu ya kuongezeka kwa idadi kubwa ya nchi za Kiafrika zinazolegeza uchunguzi wa...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022KIONGOZI nchini Afrika Kusini wa kundi linalopinga wahamiaji, amekamatwa siku ya Alhamisi tarehe 24 machi 2022 vyombo vya Habari nchini humo vinaripoti....
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022SERIKALI nchini Ethiopia imetangaza maafikiano ya kibinadamu , katika mzozo wake uliodumu takribani miezi 16 na Wanajeshi kutoka eneo la Kaskazini mwa...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa watu duniani kote kuandamana barabarani kama hatua ya kupinga uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Aidha,...
By Gabriel MushiMarch 24, 2022CHAMA kikuu cha Upinzani nchini Sudani Kusini , kimejiondoa kwenye Baraza la ufuatiliaji wa amani nchini humo , kikishutumu vikosi vinavyohasimiana kwa...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2022MCHEZAJI namba moja Duniani katika mchezo wa tenisi, anayefahamika kwa jina la Asheleigh Barty, ameshangaza ulimwengu wa mchezo huo, kwa kutangaza kuwa...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2022RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kesho Jumatano tarehe 23 Machi, 2022 anatarajiwa kuhutubia Bunge la Japan kwa njia ya mtandao. Hotuba yake inatarajiwa...
By Gabriel MushiMarch 22, 2022WAZIRI MKUU mstaafu wa Mali, Soumeylou Boubèye Maïga amefariki dunia jana tarehe 21 Machi, 2022 katika hospitali moja iliyopo jijini Bamako. Kwa mujibu...
By Gabriel MushiMarch 22, 2022ZAIDI ya Wanajeshi 10 wameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi katika eneo la mashariki mwa Burkina Faso. Inaripoti BBC… (endelea). Shambulio hilo...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2022Rais wa Uganda, Yoweri Museveni jana tarehe 20 Machi, 2022 ametangaza kifo cha Spika wa Bunge la 11 la Uganda, Jacob Oulanyah. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 21, 2022BALOZI wa China nchini Marekani amesema kuwa China haitatuma silaha na risasi kusaidia Vita vya Urusi nchini Ukraine, bali Beijing itafanya kila...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2022KATIKA siku 24 pekee za vita kati ya Urusi na Ukraine, jumla ya waandishi sita wameuawa, nane wamejeruhiwa na wawili wametekwa na...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2022NCHINI Ufilipino Rais Rodrigo Duterte amesema kuwa hatapeleka Wanajeshi wake kupigana nchini Ukraine iwapo Marekani itahusika katika mzozo huo. Inaripoti BBC (endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022NCHINI Burundi Mkulima mdogo wa zao la Mahindi ametoa mchango wa kilo 100 za mahindi kwa wale waliokimbia ghasia nchi Ukraine. Kijana...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022BALOZI wa Marekani katika Umoja wa Mataifa , amesema kuwa mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita ya...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022MAELFU ya Watu Wamenyanyaswa , kutishwa na kufunguliwa mashitaka kwa kuwa na maoni muhimu kuhusu Serikali ya Rwanda , Humani Raght Watch [HRW]...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022NCHINI Marekani kumeongezeka idadi kubwa ya maafisa wa Somalia , waliowekewa vikwazo vya usafiri kwa kuhujumu mchakato wa kidemokrasia nchini humo ....
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022RAIS wa Urusi, Vladimir Putin ameyapiga mkwara mzito mataifa ya Magharibi sambamba na Marekani kutokana na kile anachokiita ni malengo ya kutaka kuwagawa...
By Gabriel MushiMarch 17, 2022ZAIDI ya wanajeshi 10 wadaiwa kuuwawa na wengine watano kujeruhiwa katika shambulio la kilipuzi kilichotegwa kando ya barabara kusini mwa Somalia. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022NCHI ya Urusi imemuwekea vikwazo vya kuingia nchini humo Rais wa Marekani, Joe Biden na maofisa wengine 12 wa Taifa hilo, ikiwa...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022POLISI nchini Uganda imemkamata mshitukiwa Kiongozi Mkuu na Mratibu wa Kubdi la Waasi la Allied Democratic Forces (ADF) leo tarehe 15 machi...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022MAJASUSI kutoka nchi tano za barani Ulaya, Australia na Amerika Kaskazini, wamedai Rais wa Urusi, Vladimir Putin anapatiwa matibabu ya saratani hali...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022GABRIEL Boric mwenye umri wa miaka 36 ameapishwa jana tarehe 12 Machi, 2022 kuwa Rais mpya wa Chile na kuweka rekodi ya kuwa...
By Gabriel MushiMarch 13, 2022WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikitimiza siku 18 sasa, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amedai kuwa kati ya wanajeshi 500 hadi...
By Gabriel MushiMarch 13, 2022BAADHI ya wanawake wanaofanya biashara haramu ya ngono katika Mji wa Mombasa nchini Kenya, wametangaza kusitisha kutoa huduma zao kwa waendesha bodaboda baada...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2022