Saturday , 20 April 2024

Kimataifa

Kimataifa

Kimataifa

Papa Francis ataka kuzikwa nje ya Vatican

Papa Francis ameamua kurahisisha taratibu za mazishi ya papa kwa kuwa wa kwanza kuzikwa nje ya Vatican katika zaidi ya karne moja. Inaripoti...

Kimataifa

Urusi marufuku vigogo wenye siri za Serikali kusafiri nje

SERIKALI ya Urusi, imeweka zuio la muda kwa maafisa wake wa usalama na wale wenye siri nzito za taifa hilo, kusafiri nje ya...

Kimataifa

UN kupiga kura ya dharura kusitisha vita Israel, Palestina

BARAZA Kuu la Umoja wa Mataifa (UN), leo tarehe 12 Disemba 2023, linatarajia kupiga kura ya dharura kuitaka Israel na kundi la wanamgambo...

Kimataifa

Sakata la uhamiaji Rwanda lamng’oa waziri Uingereza

Waziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Robert Jenrick amejiuzulu baada ya serikali ya nchi hiyo kuchapisha sheria kuhusu mkataba wenye utata na Rwanda wa...

Kimataifa

Muandamanaji ajichoma moto akipinga vita Palestina, Israel

MUANDAMANAJI moja ambaye hajafahamika jina, yuko mahututi hospitalini akitetea uhai wake, baada ya kujichoma moto kwa kutumia mafuta ya petroli, nje ya ubalozi...

Kimataifa

Urusi kuongeza wanajeshi ikijihami dhidi ya NATO

SERIKALI ya Urusi iko katika mpango wa kuongeza wanajeshi wake, ili kujihami na vitisho vya kiusalama, kufuatia kupanuka kwa Jumuiya ya Kujihami ya...

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

JESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada ya kundi la wanamgambo wa kiislamu la Hamas, kudaiwa kukiuka makubaliano ya kusitisha...

Kimataifa

Papa Francis kumfukuza Kardinali anayepinga mageuzi Kanisa Katoliki

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, anadaiwa kupanga kumfumkuza Kardinali wa Marekani, Raymond Burke anayedaiwa kuwa mkosoaji mkubwa na mpingaji wa mpango...

Kimataifa

Mateka wa Israel, Gaza kuanza kuachiwa leo

Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na vikosi vya Hamas yameanza leo Ijumaa saa moja asubuhi ikiwa ni mpango wa kusitisha mapigano...

Kimataifa

Israel, Hamas kusitisha mapigano kwa muda

NCHI ya Israel, pamoja na kikundi cha wanamgambo wa kiislamu, Hamas, wamekubaliana kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza, ili kuruhusu zoezi la kuacha...

Kimataifa

Ugonjwa usiojulikana wauwa 10 Uganda

WATU zaidi ya 10 katika Wilaya ya Kyotera, nchini Uganda, wameripotiwa kupoteza maisha kwa mlipuko wa ugonjwa usiojulikana. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa...

Kimataifa

Mambo mazito kwa mchungaji Mackenzie, makaburi mapya yagunduliwa, maiti zafikia 426

KUGUNDULIWA kwa makaburi mapya ya halaiki katika msitu Shakahola huko Kilifi nchini Kenya kumetajwa kuchangia uamuzi wa kurejesha mchakato mpya wa ufukuaji wa...

Kimataifa

Pazia kampeni za urais DRC lafunguliwa rasmi

JUMLA ya wagombea urais 26 wanatarajiwa kuanza kampeni leo Jumatatu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambazo zinatarajiwa kudumu kwa mwezi mmoja...

Habari za SiasaKimataifa

Weah rais wa kwanza kushindwa uchaguzi Liberia

KIONGOZI anayeondoka madarakani nchini Liberia, George Weah, anaweka historia nchini humo kwa kuwa rais wa kwanza kushindwa katika kinyang’anyiro cha kuwania muhula wa...

KimataifaTangulizi

Wanawake 104 waliodaiwa kubakwa walipwa 624,000 kila mmoja

Shirika la afya duniani WHO limewalipa limewalipa  fidia ya Dola 250 (Sh 624.3) wanawake 104 waathiriwa wa dhulma za kingono nchini Jamhuri ya Kidemokrasia...

KimataifaTangulizi

Majeshi Israel yatua nyumbani kwa kiongozi wa Hamas

Jeshi la Israel limesema limeyashambulia makazi ya kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas, Ismail Haniyeh katika Ukanda wa Gaza. Inaripoti Mitandao ya...

Kimataifa

G7 wajifungia kujadili vita ya Israel, Palestina

KUNDI la nchi saba zenye nguvu za kiviwanda duniani (G7), limejifungia nchini Japan kwa ajili ya kujadili vita kati ya Israel na Hamas,...

Kimataifa

Marekani yaitaka Congo DR, Rwanda kuondoa majeshi mpakani

WAKATI mahusiano ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda, ukiripotiwa kudorora, Marekani imezitaka serikali za mataifa hayo kuondoa...

Kimataifa

Urusi yaingilia kati mgogoro wa Hamas, Israel yataka ikae pembeni

  NCHI ya Urusi, imeingilia kati mgogoro unaoendelea Palestina kwa kufanya mazungumzo na ujumbe wa kundi la wanamgambo wa kiislamu, Hamas, ili kutafuta...

Kimataifa

24 wajitosa urais DRC

Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kupokea orodha ya wagombea 24 wa urais ambao wamejisajili kuwania katika uchaguzi wa...

KimataifaTangulizi

Viongozi wa Hamas wauawa, vifo vyafikia 3,785.

TANGU vita baina ya taifa la Israel na wanamgambo wa Hamas kutoka Ukanda wa Gaza nchini Palestina viibuke tarehe 7 Okotoba 2023, kumeripotiwa...

Kimataifa

Uingereza yatahadharisha raia wake Uganda

Serikali ya Uingereza imetoa tahadhari kwa raia wake wajiepushe kuitembelea mbuga mashuhuri ya wanyama nchini Uganda ambako watalii wawili, akiwemo raia mmoja wa...

KimataifaTangulizi

500 wauawa katika shambulio la hospitali Gaza

ZAIDI ya watu 500 wameripotiwa kuuawa usiku wa leo Jumanne kwenye shambulizi ambalo limetokea hospitalini Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Makamanda 6 Hamasa wadaiwa kuuawa

Jeshi la Israel linadai kuwa hadi sasa limeshawaua viongozi sita wa juu wa kundi la Hamas tangu kuanza vita dhidi ya Ukanda wa...

Kimataifa

Wapalestina waanza kukimbia Gaza baada ya tishio la Israel

WAPALESTINA waishio katika Ukanda wa Gaza, wameanza kukimbia makazi yao baada ya Israel kuwapa saa 24 wakitaka wahamie sehemu nyingine ili kupisha mashambulizi...

Kimataifa

Gavana wa benki kuu Burundi akamatwa kwa ufisadi

DIEUDONNÉ Murengerantwari anatuhumiwa na wizara ya sheria ya Burundi kwa madai ya kuhujumu utendaji wa uchumi wa taifa, ufisadi na ufujaji wa mali...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mohammed Deif: Paka mwenye roho tisa anayeongoza kundi Hamas

WAKATI vita kati ya Israel na Palestina ikizidi kushika kasi na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 2000, asilimia kubwa ya wafuatiliaji wa...

KimataifaTangulizi

Hali mbaya Gaza, hospitali zaelemewa

  HALI za wapalestina waishio ukanda wa Gaza, imezidi kuwa mbaya kufuatia mashambulizi ya anga na mabomu yanayoendelea kufanywa na Israel, ambayo yamesababisha...

KimataifaTangulizi

Watu 1,000 wafariki vita Israel, Palestina

  MAPIGANO ya kijeshi kati ya Kundi la Hamas la Palestina na Jeshi la Israel, yaliyoanza Jumamosi iliyopita, yamepoteza maisha ya watu zaidi...

KimataifaTangulizi

Netanyahu: Israel imeingia kwenye vita virefu na vigumu, zaidi ya 900 wameuawa

  TAKRIBANI Waisraeli 900 wameripotiwa kuwawa na 100 wengine kutekwa nyara katika mashambulizi yaliyoendeshwa na vikosi vya wanamgambo wa Hamas ndani ya Israel....

Kimataifa

Watu 100 wafariki katika shambulio Syria

  WATU takribani 100 wamefariki dunia nchini Syria, kutokana shambulio la ndege zisizo na rubani liliopiga kwenye Chuo cha kijeshi cha taifa hilo....

Kimataifa

WHO yaonya mlipuko homa ya Dengue

  SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limewataka wanachama wake kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya Dengue, unaodaiwa kusababishwa na...

Kimataifa

Spika wa Marekani ang’olewa kwa madai ya usaliti

SPIKA wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy, ameondolewa madarakani kwa tuhuma za kukiasi chama chake cha Republican, akituhumiwa kushirikiana na Serikali ya Rais...

Kimataifa

Urusi yafungua milango kwa nchi za Afrika

SERIKALI ya Urusi imefungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi, kijamii na teknolojia, kwa mataifa ya Afrika, huku ikiahidi kutoingilia masuala yake ya ndani....

Kimataifa

Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani

WADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani mwezi Mei mwaka huu. CNN inaripoti …(endelea). Msemaji wa idara ya Serikali ya...

Kimataifa

Putin aita vikundi vya kujitolea vita ya Ukraine

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, amefungua milango ya ushirikiano kwa vikundi vya kijeshi vya kujitolea ,ili kuongeza nguvu katika vita kati yake na...

Kimataifa

Mlipuko wa bomu waua 50 katika sherehe za Maulidi ya Mtume

WATU takribani 50 wamefariki dunia huku wengine 50 wakijeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea karibu na msikiti nchini Pakistan, wakati wakisherehekea sikukuu ya...

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia ya ulaghai kwenye shughuli zake za biashara katika muongo mmoja uliopita. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki dunia kwa ajali ya moto iliyotokea usiku wa jana Jumanne, katika ukumbi waliokuwa...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni ya Mali ya China ya Oceanwide Holdings Imeripotiwa na South China Morning Post...

Kimataifa

Uvamizi wa kijeshi Milango ya bahari ya Taiwan G7 yapinga China

MKUTANO wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa nchi za G7 zimepinga kitendo cha uvamizi wa Jeshi la China katika ukanda wa Bahari...

Kimataifa

Rais Kagame kuwania muhula wa nne

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa nne katika uchaguzi wa rais mwaka ujao. Anaripoti Matilda Peter kwa msaada wa Mitandao...

Kimataifa

Ukraine kufungua kituo cha nafaka Kenya

Rais wa Kenya, William Ruto amesema serikali ya Ukraine inapanga kuweka kituo cha nafaka mjini Mombasa kama sehemu ya hatua kubwa ya kukabiliana...

Kimataifa

Kufungwa kwa mpaka wa Tibet kulivyoathiri maisha ya Wanepali katika vijiji vya milimani

  KALU Dhami kutoka Dhalain moja ya kata ya Manispaa ya Vijijini ya Saipali ni mfugaji wa kondoo. Hadi miaka minne iliyopita, Dhami...

Kimataifa

Rais Madagascar ajiuzulu ili agombee muhula mwingine

RAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina amejiuzulu baada ya kuthibitishwa rasmi kuwa mgombea katika uchaguzi wa urais utakaofanyika tarehe 9 Novemba 2023. Anaripoti Mlelwa...

Kimataifa

India kuizidi kete China kuiongoza G20

  USHAWISHI ya Taifa la India imezidi kuongezeka katika anga ya kimataifa hasa pale ilipoungwa mkono kuogoza G20. Imeandikwa na The Interpreter …...

Kimataifa

2000 wahofiwa kufariki kwa kimbunga Daniel

ZAIDI ya watu 2000 wahofiwa kupoteza maisha huku maelfu wakiwa hawajulikani walipo baada ya kimbunga Daniel kuikumba nchi ya Libya. Anaripoti isaya Temu,...

Kimataifa

Waliofariki kwa tetemeko Morocco wafikia 2,500

IDADI vifo katika tetemeko la ardhi lilitokea usiku wa tarehe 8 Septemba 2023 katika miji kadhaa nchini Morocco, vimeongezeka kutoka 2,122 hadi 2,500....

Kimataifa

Mrithi wa Ali Bongo aapishwa, aahidi kurejesha madaraka kwa raia

JENERALI Brice Nguema, aliyemng’oa madarakani Rais wa Gabon, Ali Bongo katika mapinduzi ya kijeshi  yaliyofanyika wiki iliyopita, ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa...

KimataifaTangulizi

Mwanaye rais aliyepinduliwa Gabon, afumwa na mabegi ya pesa

Mabegi, mifuko pamoja na masanduku yaliyojazwa fedha za nchi mbalimbali yamekutwa ndani ya nyumba ya Yann Ngulu mtoto mkubwa wa Rais Ali Bongo...

error: Content is protected !!