Friday , 19 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Rais Samia, Mbatia wavutana ongezeko kodi ya mafuta

  WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan, akisema Serikali imeongeza kodi ya Sh. 100 kwa kila lita moja ya mafuta, ili ipate fedha za...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Hatutarudi nyuma kudai katiba mpya

  MWENYEKITI wa Chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania- NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema chama chake hakitarudi nyuma katika harakati za kudai Katiba...

Tangulizi

Rais Samia: Ni vibaya kutumia dini kufanya siasa

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewaomba viongozi wa dini nchini humo, kutokutumia nafasi zao kufanya siasa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro…(endelea). Rais...

Habari za Siasa

Chongolo awataka wabunge CCM kurudi majimboni

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewaagiza wabunge wote wa Bunge wa chama hicho, kurejea...

Habari za Siasa

Rais Samia: Vichokochoko vimeanza, msiingizwe mkenge

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewataka wananchi kudumisha amani na kuwaepuka walioanzisha “vichokochoko” kuwapuuza kwani hawawatakii mema. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro...

Tangulizi

Mwanakijiji Morogoro ajishindia gari la milioni 169 kutoka NMB

  MKAZI wa Kijiji cha Kinole, Mkoa wa Morogoro nchini Tanzania, Abdallah Mohammed, amejishindia gari jipya aina ya Toyota Fortuner yenye thamani ya...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Samia amwalika Rais wa Marekani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemwalika Rais wa Marekani, Joseph Biden kutembelea nchini humo ili kuzidi kuimarisha uhusino uliopo kati ya...

Habari za Siasa

Mbowe apigilia msumari wa mwisho sakata la Mdee na wenzake

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ) Taifa, Freeman Mbowe, amesema chama hicho hakitabadili msimamo wake wa kumfukuza Halima Mdee na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bil 600 tozo ya simu kutumika hivi

  SERIKALI ya Tanzania, imesema zaidi ya Sh. 600 bilioni, zitakazotokana na kodi mpya ya mitandao ya simu, zitatumika katika utekelezaji miradi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM alitishia gazeti la Raia Mwema, siri zaidi zafumuka

  TIMOTHEO Paul Mzava, mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), amelitishia gazeti la Raia Mwema, kuwa atalifikisha mahakamani kwa madai ya kuchapisha “habari za...

Habari za Siasa

Kiongozi Uamsho apata kigugumizi suala la katiba mpya

  KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ali Mselem amesema hatoweza kujitosa katika mjadala wa Katiba mpya,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia awapa milion 10 wafanyakazi Dawasa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa Sh.10 milioni kwa wafanyakazi bora wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) wa...

Habari za SiasaTangulizi

Hashim Rungwe: Rais Samia amewakosea Watanzania

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amewakosea Watanzania, kufuatia msimamo wake wa kuweka...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza aingilia kati mjadala Katiba mpya

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amewashauri watu wanaotaka au kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya: Dk. Kigwangalla ashambuliwa, ajitetea

  DAKTARI Hamis Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini kupitia chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameibua mjadala makali wa mchakato wa...

Makala & Uchambuzi

Malipo vipimo Covid-19 Tanzania, iwe huduma na siyo fursa

  NI takribani mwaka na nusu sasa, dunia inateseka kutokana na ugonjwa wa Covid-19, ambao historia inaonesha ulianzia katika mji wa Wuhan nchini...

Habari za Siasa

Chadema wamkalia kooni Rais Samia

  BAADA ya Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), kuanza harakati za kudai katiba mpya, Baraza la Wanawake la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mbunge CCM, mchumba ake kortini

  MBUNGE wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anatarajiwa kuburuzwa mahakamani kesho Jumanne, tarehe 6 Julai 2021, kufuatia kuibuka kwa mgogoro katika ndoa...

MichezoTangulizi

Manara: Tukifungwa na Yanga Kigoma naacha kazi

  KUFUATIA klabu yake ya Simba kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga, kwa bao 1-0, Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara ameahidi...

MichezoTangulizi

Mambo matano makubwa mchezo Simba na Yanga

  MARA baada ya kufanyika kwa mchezo mkubwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kati ya Simba ambao walikuwa wenyeji mbele ya Yanga na...

Habari za Siasa

Mdude Chadema aibua mjadala, UVCCM yamuonya

  KAULI ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali ya kutaka kumnyoa kwa wembe Rais Samia Suluhu Hassan, imezua...

Habari za Siasa

Muongozo Covid-19: Serikali yaagiza shule zenye mrundikano ziwe na ‘Shift’

  SERIKALI ya Tanzania,  imeagiza uongozi wa shule, vyuo na taasisi za elimu zenye wanafunzi wengi, ziweke utaratibu wa kuingia kwa awamu ‘Shifting’,...

Habari za Siasa

IGP Sirro awapa kibarua wenyeviti, watendaji Serikali za Mitaa

  INSPEKTA Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka wenyeviti na watendaji wa Serikali za Mitaa, kuibua vitendo vya uhalifu...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga Simba mbele ya Rais Samia

  TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam, imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya watani zao Simba, katika mchezo wa Ligi Kuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mapya yaibuka sakata la ndoa ya mbunge CCM

  MWANAMKE anayedai kuwa ni mchumba, aliyezaa na kuishi na mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anamtuhumu Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili...

Habari za Siasa

Spika Ndugai ampa somo CAG

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, imetaka Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali, kujikita katika kuandaa ripoti...

MichezoTangulizi

Jaji atoa uamuzi kupinga uchguzi TFF

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, imetoa mwongozo wa kesi ya zuio la uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), isikilizwe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tuishi kwa kuacha alama

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewataka wananchi kila mmoja kwenye nafasi yake, kuhakikisha anatumia muda alionao kufanya mambo yatakayoacha alama pindi...

MichezoTangulizi

Mahakama kuamua hatima uchaguzi TFF leo

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam nchini Tanzania, leo Ijumaa saa 6:00 mchana, itatoa hukumu ndogo ya ama kuzuia uchaguzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aeleza kitakachomrejesha Tanzania

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema chama hicho kikitengeneza utaratibu wa kufanya mikutano ya hadhara kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mdude ajitosa madai katiba mpya, atoa ahadi nzito

  KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali amekula kiapo cha kusaka katiba mpya, kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2025....

Habari za Siasa

Askofu Mwamakula aitahadharisha CCM

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Emmaus Mwamakula, amekishauri Chama Cha Mapinduzi (CCM), kisikatae marekebisho ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamgomea Rais Samia, wamtaka aunde tume kusaka katiba mpya

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekataa ombi la Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan la kutaka...

MichezoTangulizi

TFF yafikishwa Mahakamani

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepokea kesi ya kupinga uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), iliyofunguliwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia akabidhiwa ripoti BoT, CAG aweka wazi ‘madudu’

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amemkabidhi Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ripoti ya matumizi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa siasa, dini, wanasheria wakataa subira ya Rais Samia

  KAULI ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuweka kiporo suala la Katiba Mpya na kuendeleza zuio la mikutano ya hadhara ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yalia na changamoto za kodi, TRA yajibu

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali iondoe changamoto za kikodi zinazokabili Asasi za Kiraia nchini (Azaki). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi: Rais Samia atafakari upya uamuzi wake

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, NCCR-Mageuzi, kimemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan, kuufikilia upya uamuzi wake kuhusu suala...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi AfCFTA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Sekretarieti ya Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA)...

Habari za Siasa

Bunge laahirishwa, maswali 1,468 yaulizwa

  KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania ameahirisha shughuli za Bunge la 12 la Tanzania leo Jumatano, tarehe 30 Juni 2021, jijini Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai ‘aota’ Katiba Mpya

  WAKATI wanasiasa, wanaharakati na wasomi wa kada mbalimbali nchini Tanzania, wakitaka mchakato wa Katiba Mpya uendelee, Job Ndugai, Spika wa Bunge la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia amlilia Mhandisi Mfugale

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru: Unafiki unakwamisha kufikia malengo

MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM), Dk Bashiru Ally amesema, unafiki na kukosekana uzalendo kwa baadhi ya watu ni sababu ya mambo yanayokwamisha kufikia malengo....

MichezoTangulizi

Kundi la kifo lapoteana Euro

  HATUA ya 16 ya michuano ya Euro imemalizika jana, kwa kigogo mwengine wa soka barani humo, timu ya Taifa ya Ujerumani kutupwa...

MichezoTangulizi

Karia asalia peke yake uchaguzi TFF

  KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, (TFF), imepitisha jina la Wallace Karia kuwa mgombea peke kwenye uchaguzi mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo wamkunjulia makucha Rais Samia

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania-ACT Wazalendo, kimesikitishwa na kauli ya Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kuwa mikutano ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mfugale wa Tanroads afariki dunia

  MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale amefariki dunia leo Jumanne, tarehe 29 Juni 2021, jijini Dodoma. Anaripoti...

Tangulizi

Mpango wa tatu wa maendeleo wazinduliwa, kutumia Trilioni 114.8

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amezindua Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 hadi 2025/26, utakaogharimu Sh....

Tangulizi

Majaliwa aeleza siri yake na Kikwete “kanitoa darasani”

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, ana mchango mkubwa katika safari ya maisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Msigwa: Tutatoa leseni kwa magazeti yaliyofungiwa, Kubenea atoa neno

  MKURUGENZI wa Idara ya Habari-Maelezo nchini Tanzania, Gerson Msigwa amesema, wako tayari kutoa leseni kwa magazeti yote yaliyofungiwa ili yaanze kufanya kazi....

error: Content is protected !!