Friday , 29 March 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

HabariHabari za Siasa

Rais Samia kuunguruma katika mkutano wa vyama vya siasa

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini Tanzania,...

HabariTangulizi

Rais Samia ateua DC, ahamisha 2

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dadi Horace Kolimba kuwa Mkuu wa Wilaya (DC) ya Karatu mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi...

HabariTangulizi

Rais Samia: Machinga tuendelee kuvumiliana

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wafanya biashara wadogo wadogo ‘machinga’ kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kwa kuwa kazi ya kuwaondoa barabarani...

Habari za Siasa

CUF yamtega Rais Samia kuhusu Mbowe, yaanza mikakati uchaguzi 2025

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifute kesi zinazowakabili wanasiasa, ikiwemo ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Sitakubali gari bovu liangushiwe awamu ya sita

  RAIS Samia amesema kuna makundi yaliyopo ndani ya serikali ambayo yanaendekeza ubadhirifu na kugeuka kusema kwamba ufisadi na mambo ya hovyo yamerudi...

Tangulizi

Rais Samia awa mbogo, atumbua vigogo bandari, shirika la meli

  MOTO umewaka ndani ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) pamoja na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), baada ya Rais Samia...

Habari za Siasa

Msajili ailima CUF barua, yatimua wengine

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, amekiandikia barua Chama cha Wananchi (CUF), akikitaka kijieleze dhidi malalamiko ya wanachama...

Habari

Zaidi ya wawekezaji 140 wa Italia wawekeza Tanzania

  Wawekezaji zaidi ya 140 kutoka Italia wamewekeza katika miradi mbalimbali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Takwimu hizo zimetolewa na Naibu Waziri Wizara...

Habari

Rais Samia aonya wawekezaji kuzungushwa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wasaidizi wake, kutowabudhudhi wawekezaji hususan wazawa kwani kufanya hivyo kunachelewesha fursa za ajira....

Tangulizi

Kilichojiri kesi ya Makonda, hati ya mashtaka yabadilishwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam, nchini Tanzania, imekubali ombi la mwandishi mwandamizi wa habari nchiniwanahabari mkongwe, Saed Kubenea, kuondoa...

Habari za SiasaTangulizi

Ndani ya saa 24 Makonda, kutinga mahakamani

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kutinga mahakamani, kesho Ijumaa, tarehe 3 Desemba 2021, ili kujibu...

Habari za Siasa

Rais Samia awatembelea Jaji Warioba, Msuya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatembelea mawaziri wakuu wastaafu, Cleopa Msuya na Jaji Joseph Warioba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa azindua sherehe za uhuru, atoa maagizo mazito

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezindua rasmi maadhimisho ya sherehe za uhuru wa miaka 60 Tanzania Bara na kuwataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia aonyesha njia sakata la sukari

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema ili nchi iondokane na upungufu wa sukari, inahitajika uongozi madhubuti katika kusimamia uzalishaji wake....

Habari za Siasa

Mbatia ahimiza ushirikiano vita dhidi ya UVIKO-19

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amewaomba Watanzania washirikiane katika mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19). Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wafunga ushahidi, uamuzi Desemba 14

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo ya kupinga...

Habari

Majaliwa: Hatua kali zichukuliwe wanaowanyanyapaa wanoishi na VVU

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza mamlaka husika kuchukua hatua kali za kisheria kwa watakaobainika kuwanyanyapaa na kuwabagua Watu Wanaoishi na Virusi vya...

MichezoTangulizi

Rais Samia aipongeza Tembo Warriors kufuzu kombe la dunia, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitumia salamu za pongeza timu ya taifa ya soka la wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ kwa kufuzu...

Habari

Prof Mkumbo awatangazia neema wanafunzi DIT, awapa somo

  WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema, kila mwaka kuanzia 2022, wizara hiyo itakuwa ikitoa zawadi kwa wanafunzi...

Habari za Siasa

Komandoo wa JWTZ aeleza alivyohojiwa kuhusu Mbowe

  ALIYEKUWA Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gabriel Samheta Mhina, akitoa ushahidi wake katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya...

Habari za Siasa

Waziri wa zamani Zanzibar ajitosa kumrithi Maalim Seif ACT-Wazalendo, ataja ahadi 10

  MJUMBE wa Kamati Kuu, ya Chama cha ACT-Wazalendo, Hamad Masoud Hamad, ametangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama hicho, iliyoachwa wazi na...

Habari za Siasa

CCM yateta na viongozi wafanyabiashara Kariakoo

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM ) kimesema, iwapo kila Mtanzania atawajibika na kufanya kazi kama yalivyo malengo, mipango na...

Habari

Wakulima watakiwa kuchangamkia Kampeni ya ‘Vuna Zaidi Na NBC Shambani’

  Serikali mkoani Mtwara imesema ipo tayari kuonesha ushirikiano zaidi na taasisi pamoja na wadau mbalimbali wenye nia thabiti na mipango inayolenga kuwasaidia...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe; Jamhuri yapinga nyaraka za utetezi zisipokelewe na mahakama

  MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi imayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wamepinga upokeaji wa nyaraka za upande wa...

MichezoTangulizi

Messi awabwaga, Lewandowski, Salah tuzo Ballon d’Or

  MSHAMBULIAJI wa Psg na timu ya Taifa ya Argentina Lionel Messi, ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ya  mchezaji bora...

Habari za Siasa

Wizara ya ulinzi yajipanga kumaliza migogoro ya ardhi, kulipa fidia

  WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa amesema ipo katika mchakato wa kupima maeneo 96 ili kutatua migogoro ya ardhi iliyopo...

Tangulizi

Wazee wa kichaga wamtaka Mbunge kufuta kauli

BAADHI ya wazee wa kabila la Wachagga wamelaani kauli ya Mbunge wa jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei aliyoitoa hivi karibuni Bungeni ya...

Habari za Siasa

Kada wa Chadema aibua mapya kesi ya Mbowe wenzake

  LEMBRUS Mchome, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) mkoani Kilimanjaro, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za Siasa

Shule ya Museveni kusajili wanafunzi 630, Serikali kujenga mabweni, barabara

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika kutimiza malengo ya Hayati Rais Dk. John Magufuli, Serikali itajenga mabweni, kuongeza nyumba za walimu, barabara na...

Tangulizi

Kesi ya Makonda: Serikali, Mahakama mtegoni

  HATUA ya kufunguliwa kesi mahakamani, kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda na mtu binafsi, kumeelezwa...

Tangulizi

Kina Mbowe wakwaa kisiki tena

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea barua ya utetezi katika kesi ndogo...

Tangulizi

Rais Samia atua Chato, kumpokea Mseven

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amewasili saa 3 asubuhi ya leo...

MichezoTangulizi

Simba yaipiga 3-0 Red Arrows, Morrison usipime

  TIMU ya Simba ya Tanzania imeibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katikap Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini...

Habari za Siasa

Rais Samia akumbushia kuku walivyochomwa mipakani, awaweka mtegoni mawaziri

  Rais Samia Suluhu Hassani amesema amekubaliana na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwamba mawaziri wa kisekta kutoka pande zote mbili wakutane haraka...

Habari za Siasa

Tanzania kupeleka gesi Uganda

  WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amesema Serikali ya Tanzania ameanza mazungumzo ya awali na Serikali ya Uganda kutekeleza mpango wa kupeleka gesi...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uganda zakubaliana mambo saba, ‘Bomba la mafuta chakula kipo mezani’

  SERIKALI za Tanzania na Uganda zimekubaliana mambo saba katika nyanja mbalimbali kwa lengo la kuimarisha uhusiano pamoja na ushirikiano wa nchi hizo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jenerali Mabeyo:Vita ya ugaidi ngumu

  MKUU wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, amewaomba wananchi watoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama katika kukabiliana na...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda aburuzwa mahakamani, kesi Desemba 3

  HATIMAYE Paulo Christian Makonda,  ameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, kujibu mashitaka ya jinai yanayomkabili.  Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Hatima pingamizi la Serikali J3

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa pingamizi la Jamhuri...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wamtega Jaji Tiganga

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ba wenzake, wameiomba Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu wa KKKT Shoo, Malasusa wafikishwa kortini

  VIONGOZI wawili wa madhehebu ya Kikristo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Fredrick Shoo na Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yazidi kuikomalia barua ya kina Mbowe

  MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umemaliza kuwasilisha hoja zao za kupinga...

Habari za Siasa

Kicheko riba mikopo, BoT wajipanga kushusha, Rais Samia akomaa

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amebaini kuwa ukuaji wa sekta binafsi umedorora kwa sababu mikopo haiendi sana kwenye sekta hiyo licha ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mshtakiwa aeleza alivyokamatwa, kuteswa na kubadilishwa jina

  MOHAMED Abdillah Ling’wenya, ambaye ni mshtakiwa wa tatu katika kesi ya ugaidi inayomkabili yeye na wenzake watatu akiwemo, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri waweka pingamizi barua ya kina Mbowe isipokelewa

  UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umeweka pingamizi dhidi ya kupokelewa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri wafunga ushahidi, kina Mbowe waanza kujitetea

  UPANDE wa Jamhuri katika kesi ndogo ndani ya kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umefunga ushahidi...

Tangulizi

Washiriki Miss EA kuanza kambi wiki hii

  Dar es Salaam. Joto la mashindano ya kimataifa ya urembo ya Miss East Africa 2021 limeanza kupanda ambapo washiriki wa mashindano hayo...

ElimuTangulizi

Waliofaulu darasa la saba 2021 wachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2022

  JUMLA ya wanafunzi 907,802 waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka huu wamechaguliwa kujiunga na kidato cha mwaka mwaka 2022. Anaripoti Mwandishi...

ElimuHabari za Siasa

Wanafunzi wapya Chuo cha Mwalimu Nyerere wakaribishwa kwa ujumbe

  MKUU wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, Prof Shadrack Mwakalila amewataka wanafunzi wa chuo hicho kujiepusha na...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe watumia kalenda kumhoji shahidi

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na...

error: Content is protected !!