Thursday , 28 March 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari

Ununuzi wa Meli: Bosi mpya bandari matatani

  MKURUGENZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Erick Hamissi, anatajwa kuwa mmoja wa watuhumiwa muhimu kwenye mradi wa kitapeli wa...

Habari

Jaji Mkuu awaonya mawakili wanaoshambulia mitandaoni

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewaonya mawakili wanaotumia mitandao ya kijamii, kushambulia utendaji wa mahakama na uamuzi unaotolewa na majaji....

HabariTangulizi

Tanzania kuiuzia gesi Kenya

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuanzisha mradi wa kuiuzia gesi Kenya. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamesemwa leo Ijumaa, tarehe 10...

Habari za Siasa

Jenerali Ulimwengu: Uhuru wetu umekamilika?

  MWANDISHI wa habari mkongwe nchini Tanzania, Jenerali Ulimwengu, anewataka Watanzania wajiulize kama wana uhuru wa kweli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Askofu Mwamakula awapa mbinu Chadema

  KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amewataka wanachama na wafuasi wa Chama cha Chadema, kuendelea kupasa sauti zao...

Habari za SiasaTangulizi

Miaka 60 ya Uhuru, Zitto Kabwe ataja mambo manne kurejesha umoja

  WAKATI Tanzania Bara ikiadhimisha miaka 60 ya Uhuru, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameishauri Serikali kutekeleza mambo manne muhimu ili kurudisha...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu adai misingi ya uhuru imesalitiwa

  MAKAMU Mwemyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amedai malengo ya wapigania uhuru Tanzania Bara, imesalitiwa katika kipindi cha miaka 60....

KitaifaTangulizi

Makada CCM wamvaa Polepole

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoani Shinyanga, Hamis Mgeja wakiwemo makada wengine, wazee wastaafu wa chama hicho na serikali, wamewataka...

Habari za Siasa

Viongozi, wafuasi 53 Chadema Kakonko mbaroni kisa sherehe za Uhuru

  VIONGOZI wa Chama cha Chadema wilayani Kakonko, Kigoma takribani 18 na wanachama wao 35, wanadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo,...

Kitaifa

Marais wanne, wastaafu watinga kushuhudia sherehe za Uhuru

JUMLA ya Marais wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara...

Habari za SiasaTangulizi

Madai katiba mpya: Bavicha watuma salamu kwa IGP Sirro

  BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) nchini Tanzania, limemuomba Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo (IGP), Simon Sirro...

Habari za Siasa

Marais wanne, wastaafu watinga kushuhudia sherehe za Uhuru

  JUMLA ya Marais wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania...

Tangulizi

Majaji washauri vishawishi dhidi yao viondolewe

  SERIKALI ya Tanzania, ameshauri kuwaondolea vishawishi majaji, ikiwemo kutowapa teuzi za nafasi za uongozi serikalini, ili watende majukumu yao kwa ufanisi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Samia: miaka 60 ya uhuru, tulipofika si haba

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema  mafanikio yaliyofikiwa na Taifa katika kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, si haba japo kilele...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Miaka 60 ya Uhuru, marais Afrika wajitokeza

  HAPPY Birth Tanganyika. Ndiyo Tanganyika ama kwa sasa Tanzania Bara, leo Alhamisi, tarehe 9 Desemba 2021, inaadhimisha miaka 60 ya Uhuru. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Watanzania wengi hawafahamu makucha ya wakoloni

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Watanzania wengi hawayajui makucha ya wakoloni kwa kuwa walizaliwa baada ya uhuru wa Tanzania Bara...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kuhutubia taifa leo

  LEO Jumatano tarehe 8 Desemba 2021, saa 3:00 usiku, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atalihutubia taifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari....

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia azidi kumpigania Mbowe

  MWENYEKITI wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameiomba Serikali imfutie mashtaka ya ugaidi kiongozi mwenzake wa kisiasa wa...

Habari za Siasa

CCM yajivunia mafanikio makubwa miaka 60 ya uhuru

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejinasibu katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanzania Bara, kimefanikiwa kuenzi mfumo...

Habari za SiasaTangulizi

Kauli ya Polepole yamponza, CCM yamjadili

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema, kauli iliyotolewa na mbunge wake, Humphrey Polepole inajadiliwa...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda: Wananchi hawana maamuzi ya kisiasa

KATIBU Mkuu wa Shuraa ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema tatizo la wananchi kutokuwa na uhuru wa kufanya maamuzi ya kisiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Ulimwengu: Anayezuia mjadala wa katiba mpya ni mfu kimawazo

  MWANDISHI wa habari mkongwe nchini Tanzania, Jenerali Ulimwengu, amesema, mtu anayedhani marekebisho ya katiba yaliyofanyika 1977, yanakidhi matakwa ya uendeshaji wa nchi...

Habari za Siasa

Tanzania yang’ang’aniwa utekelezaji mapendekezo ya UN

  MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yanayoshughulika na masuala ya utetezi wa haki za binadamu, yameiomba Tanzania, ibadilishe msimamo wake wa kutoyafanyia kazi...

Habari

Rais Dk. Mwinyi: Watanzania tusibaki watazamaji katika uwekezaji

  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Watanzania kushirikia kikamilifu katika harakati za uwekezaji nchini badala...

Habari

Askofu Shoo aomba wimbo wa Taifa ubadilishwe

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameomba neno haki, liongezwe katika wimbo wa taifa hilo, kwani...

HabariHabari Mchanganyiko

Mgogoro KKKT: Askofu Munga acharuka, amtuhumu Askofu Mbilu kumchafua

  ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Steven Munga, amewakingia kifua wachungaji sita....

Habari

Viongozi wa dini wahimiza haki

  VIONGOZI wa dini kutoka madhehebu mbalimbali nchini Tanzania, wamehimiza Watanzania kuwa walinzi wa haki za binadamu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea). Wito huo...

Habari

Dk. Amani Karume: Maendeleo ya wananchi si majengo tu!

  RAIS mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume ameeleza kufarijika kuona namna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari

Kakoko tena TPA, Takukuru…

  MADAI mapya ya ufisadi yaliyoibuliwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), hayawezi kumwacha salama,...

MichezoTangulizi

Rekodi ya kipee kwa mwamuzi Herry Sasii mchezo wa Simba na Yanga

  BODI ya Ligi kupitia kamati ya waamuzi, imemchagua Herry Sasii kuwa refa kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania...

Habari

Mgombea urais aahidi kutoa mkopo kwa wanandoa wapya

  Mgombea urais nchini Kenya ameahidi mikopo ya kati ya Dola za Marekani 4,400 (Sh milioni 10.1) na 8,800 (Sh milioni 20.20) kwa...

Habari

Wakazi Ukerewe, Mbinga waibuka washindi NMB Bonge la Mpango

  DROO ya nane ya Kampeni ya ‘NMB Bonge la Mpango – 2merudi Tena,’ imefanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha, ambako Theofrida Masudi...

Habari

Mkurugenzi wa zamani wa gereza Rwanda afungwa kwa wizi

  Mahakama ya Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela aliyekuwa mkurugenzi wa gereza kuu la Kigali, Innocent Kayumba kwa kosa la kuiba...

Habari

DC Gondwe awafunda wanawake wajasiriamali

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni (DC), jijini Dar es Salaam, Godwin Gondwe amewataka wanawake wajasiriamali, kusimamia malengo yao, kuboresha bidhaa wanazozalisha na...

Habari

Wanahabari Arusha wapata chanjo ya Uviko-19 , wapewa ujumbe

  WAANDISHI wa habari na watangazaji wamepata chanjo ya ugonjwa wa maambukizi ya korona (UVIKO-19), huku wakitakiwa kujali afya zao kwanza katika utendaji...

Habari

Kiwanda cha transfoma, nyaya kuzalisha ajira 1,000

  Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Elsewedy Electric East Africa Ltd kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Mhandisi Ibrahim Qamar amesema katika awamu ya...

Habari

Rais Samia awapa kibarua watendaji wake “muwaoneshe tumebadilika”

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza watendaji wake wawaoneshe wawekezaji kuwa nchi imebadilika, kwa kuwa imeboresha mazingira ya uwekezaji. Anaripoti Regina...

Habari

Rais Samia: Kuna mambo sitayatimiza kwa kukaa ‘Ikulu’

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuna mambo yaliyoanishwa katika Ilani ya Uchaguzi wa 2020 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), hataweza...

Habari za Siasa

Balozi Mndolwa: Msiwachukie wapinzani

  BALOZI Fransic Mndolwa, ameshauri wanasiasa wa vyama vya upinzani wasichukiwe bali wapendwe, akisema wana msaada katika Taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

HabariTangulizi

Mgogoro mwingine waibuka KKKT

  MGOGORO mwingine umelikumba Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), baada ya wachungaji watatu wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kumtuhumu Askofu wao,...

HabariTangulizi

‘Rais Samia azungukwa,’ urais 2025 watajwa

  KAULI ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa kuna makundi ndani ya Serikali yanaendekeza ubadhirifu na kuishutumu Serikali yake, imeibua wadau...

Tangulizi

AG wa zamani aapishwa kuwa Balozi, Nchimbi…

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Profesa Adelardus Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Tangulizi

Kigamboni kupata kivuko kipya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na uchakavu wa vivuko vya sasa vinavyotoa huduma kati ya Kigamboni na Kivukoni (Ferry), Serikali imepanga...

Tangulizi

Simba wapigwa, wasonga mbele

  Klabu ya Soka Simba imefuzu kwenda hatua ya makundi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kuambulia kipigo cha bao...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya wanaofungulia chemba za vyoo barabarani, ataka Dar wabadilike

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Watanzania na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kuacha tabia kufungulia chemba za vyoo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kwa sekta binafsi Tanzania

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka sekta binafsi iweke kipaumbele na kuzingatia usawa wa kijinsia katika utoaji wa ajira hasa wanawake...

HabariHabari za Siasa

Baraza Vyama vya Siasa: Tanzania ina katiba nzuri, bunge huru

  BARAZA la Vyama vya Siasa, limezungumzia miaka 60 ya uhuru wa Tanzania Bara, likisema nchi ina Katiba nzuri, pamoja na mihimili iliyo...

Habari

Upigaji wa kutisha ujenzi wa meli 5, mkandarasi ni dalali

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameanika ubadhirifu wa kutisha katika mikataba ya ujenzi wa meli tano za Kampuni za kuhudumia Meli Tanzania (MSCL)...

HabariHabari za Siasa

Rais Samia kuunguruma katika mkutano wa vyama vya siasa

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini Tanzania,...

HabariTangulizi

Rais Samia ateua DC, ahamisha 2

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dadi Horace Kolimba kuwa Mkuu wa Wilaya (DC) ya Karatu mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi...

error: Content is protected !!