Thursday , 25 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Mrithi wa Ndugai: Balozi Kagasheki amtumia ujumbe Rais Samia

  WAZIRI wa zamani wa maliasili na utalii nchini Tanzania, Balozi Khamis Kagasheki amemwomba Mwenyekiti wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Serikali adai hakuona kina Mbowe wakipanga uhalifu

  SHAHIDI wa Jamhuri, Innocent Ndowo (37) ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania kuwa, uchunguzi alioufanya wa mawasiliano...

Habari za SiasaTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM yasogeza vikao mbele

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesogeza mbele vikao vyake kikiwamo cha kamati kuu kutoka jana Jumanne, tarehe 18 Januari...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa utetezi wamhoji shahidi kuhusu simu za akina-Mbowe

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wamemhoji Mchunguzi wa Kitengo cha Uchunguzi...

Habari za Siasa

Ripoti – Viongozi hawapo karibu na wananchi

  IMEELEZWA kuwa asilimia kubwa ya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini hawana utamaduni wa kuwa karibu na wananchi jambo linalowafanya washindwe kutambua mahitaji...

Habari

Ummy Mwalimu asisitiza utoaji huduma bora za afya

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amekutana na viongozi wa idara ya kinga na kufanya mapitio ya pamoja kuhusu mafanikio, changamoto na vipaumbele...

Habari za Siasa

Meseji za Mbowe akisaka makomandoo wa JWTZ zasomwa mahakamani

  JUMBE fupi za maneno (meseji), zinazodaiwa kuwa za Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya washtakiwa wenzake, katika kesi ya ugaidi...

Habari

Mke wa Sabaya apanda kizimbani kumtetea mme wake

  MKE wa mfungwa, Lengai ole Sabaya, aitwaye Jesca Nassari (28) ameieleza Mahakama kuwa namba ya simu 0758707171 inayodaiwa kuwa ya Sabaya, amekuwa...

HabariTangulizi

Adaiwa kujifanya polisi kwa miaka saba

  MKAZI wa Nyamanoro, Mkoa wa Tabora nchini Tanzania, Abdul Nassoro (49) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya mkoani humo kwa tuhuma za...

HabariTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM kufyeka wagombea 67

  KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakuwa na jukumu zito la kufyeka wagombea 67 kati ya 70...

Habari

Dk. Gwajima aitambulisha wizara yake, atamba itafanya vizuri

  WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetambulishwa rasmi kwa jamii huku Waziri mwenye dhamana Dk. Dorothy Gwajima akijinadi...

Habari za Siasa

Profesa Tibaijuka: Rais Samia iangalie Kagera kwa jicho la huruma

  MWAKA 1961 tulipopata Uhuru wa Tanganyika (sasa Tanzania Bara), Kagera ulikuwa mkoa wa pili kwa maendeleo baada ya Kilimanjaro. Hivi sasa wakati...

Habari

Rais Samia ateua viongozi 2

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili akiwemo Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Shahidi augua, ashindwa kutoa ushahidi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiki wa Chadema na...

Habari za Siasa

Ujenzi Ikulu ya Chamwino kukamilika Mei 2022

  UJENZI wa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma nchini Tanzania umefikia asilimia 91 na utakamilika Mei 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za Siasa

UVCCM yampa tuzo Rais Samia, mambo 3 yatakwa

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amemtaja mambo matatu turufu kwa Rais Samia...

Habari za Siasa

Taasisi ya Mwalimu Nyerere, wadau kujadili demokrasia

  TAASISI ya Mwalimu Nyerere inatarajia kukutana kesho tarehe 17 Januari jijini Dodoma kwa lengo la kufanya majumuisho ya maoni iliyokuwa ikiyakusanya kwa...

Habari za Siasa

Mgombea uspika ‘awananga’ wenziwe CCM

  MGOMBEA nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Hamisi Rajabu amewataka wanaCCM wenzake pamoja wabunge kutompitisha...

Habari

Kaya 3,800 kushiriki utafiti utalii wa ndani

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro amezindua rasmi utafiti wa utalii wa ndani na mchango wa sekta hiyo katika uchumi...

Habari za Siasa

CCM yafunga pazia fomu kuwania uspika, 69 warejesha

  DIRISHA la kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa katika nafasi ya uspika kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 15 Januari limefungwa rasmi...

Habari za Siasa

CCM yafunga pazia fomu kuwania uspika, 69 warejesha

DIRISHA la kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa katika nafasi ya uspika kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 15 Januari limefungwa rasmi saa...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo waanika mapendekezo 7 kupata Tume Huru ya Uchaguzi

  Chama Cha ACT Wazalendo kimeutangaza mwaka wa 2022 kuwa mwaka wa kupigania Tume Huru ya Uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea) Pia chama...

Habari

Waziri wa mambo ya ndani kushiriki maombi ya kitaifa

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni anatarajiwa kuongoza maombi maalumu ya kuliombea Taifa amani na utulivu yanayotarajiwa kufanyika kesho...

ElimuHabari

Somo la Hisabati pasua kichwa matokeo mtihani Kidato cha nne (2021

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku yakionesha somo la Basic Mathematics ndilo...

ElimuHabariTangulizi

Shule 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hizi hapa, Dar yachomoza

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku mkoa wa Dar es Salaam...

HabariTangulizi

Wanafunzi 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hawa hapa, wasichana waongoza

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku wasichana wakiongoza katika kundi la...

ElimuTangulizi

Matokeo kidato cha nne 2021 haya hapa

  Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kidato cha nne 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Tangulizi

Matokeo kidato cha pili 2021 haya hapa

  Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kidato cha pili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

HabariTangulizi

Matokeo darasa la nne 2021 haya hapa

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kujipima ya darasa la nne 2021. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Kashililah naye ajitosa uspika

  ALIYEWAHI kuwa Katibu wa Bunge la Tanzania, Dk. Thomas Kashililah ni miongoni mwa wanachama 66 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliojitokeza kuchukua...

Habari

Kesi ya Mbowe: Airtel yabanwa kuhusu ulinzi taarifa za wateja

ULINZI juu ya taarifa za wateja umeteka mahojiano kati ya Meneja wa Kitengo cha Sheria cha Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania PLC,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Airtel yauza Sh.500 laini ya simu ya mshtakiwa

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamemhoji shahidi wa Jamhuri, Gladys Fimbari...

MichezoTangulizi

Chama arejea Simba, atangazwa rasmi

  KLABU ya soka ya Simba imetangaza rasmi kumrejesha kiungo wake raia wa Zambia Clatous Chama, mara baada ya kufanikiwa kumsajili tena akitokea...

Habari

Misri yaipa Tanzania msaada wa dawa, vifaa tiba vya milioni 860

  TANZANIA imepokea msaada wa dawa pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh.864 milioni vitavyosaidia kupambana dhidi ya magonjwa mbalimbali kutoka katika...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Kigogo kujitosa kumrithi Ndugai

  KIGOGO mwandamizi nchini Tanzania, kati ya leo Ijumaa na kesho, anatarajiwa kujitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge. Anaripoti...

Habari za Siasa

Warithi wa Ndugai wafikia 49, wamwaga ahadi lukuki

NAFASI iliyoachwa wazi ya Uspika wa Bunge la Tanzania na Job Ndugai, imeendelea kushindaniwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wamefikia...

Habari

Kesi ya Mbowe: Miamala inayodaiwa ya Rais Mwinyi yaibuliwa

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umehoji kwa nini Meneja wa Kitengo...

Habari za Siasa

Mgombea uenyekiti ACT-Wazalendo aweka masharti kukubali matokeo

  HAMAD Masoud Hamad, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo amesema, iwapo uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hicho utakuwa huru...

HabariKitaifa

Airtel yaeleza miamala ya Mbowe mahakamani

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imepokea taarifa za miamala na usajili wa simu, kutoka...

Habari za Siasa

Kina Mbowe wakataa taarifa za tigo

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamekataa shahidi wa Jamhuri, Meneja wa...

HabariMichezo

JANNY SIKAZWE: Huyu ndiye mwamuzi wa ‘mauzauza’ AFCON 2021

  Janny Sikazwe ni mwamuzi ambaye ameyatia doa mashinadano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2021) yanayoendelea huko nchini Cameroon baada ya kuitibua timu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Kama humpendi Samia mheshimu Mungu aliyempa urais

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema wafunda na kuwaonya mawaziri kutambua kuwa urais ni taasisi na sio mtu, hivyo kama hawampendi Samia aliyepo madarakani...

Tangulizi

Rais Samia amwapisha Balozi wa Kuwait, katibu mkuu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wawili akiwemo, Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Said Shaibu Mussa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mwingine...

HabariHabari za Siasa

Profesa Mkenda kuwatumia wastaafu kuboresha elimu Tanzania

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, ProfesaAdolf Mkenda amesema atatenga muda wa wiki tatu kuzungumza na watumishi wa wizara hiyo na kupitia...

Habari za SiasaTangulizi

30 wajitosa kumrithi Ndugai, vigogo wapishana

  WANACHAMA 30 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitosa kumrithi Job Ndugai katika nafasi ya uspika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za Siasa

Rajabu: Ni wakati wa vijana kuongoza Bunge Tanzania

  MJUMBE wa Halmashauri Kuu CCM Wilaya ya Mkinga na Mjumbe wa kamati ya utekelezaji Baraza la vijana wa chama hicho UVCCM Mkoa...

Habari za Siasa

Chenge ajitosa kuwania uspika

  MBUNGE wa zamani wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) leo tarehe 12 Januari, 2022 amechukua fomu za kuomba uteuzi wa kukiwakilisha Chama...

Habari

Nape: Nimerudi kusimamia sheria ya habari

  WAZIRI wa Habari, Nape Nnauye, amesema amerudi katika wizara hiyo, ili kusimamia Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya 2016, aliyosimamia...

Habari

Chenge ajitosa kuwania uspika

  MBUNGE wa zamani wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) leo tarehe 12 Januari, 2022 amechukua fomu za kuomba uteuzi wa kukiwakilisha Chama...

Habari

Mawaziri kuzifuta machozi familia za wanahabari waliofariki ajalini

  MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania, wameahidi kutoa mchango wa fedha, kwa ajili ya kuzisaidia familia za wanahabari waliopoteza maisha ajalini, wakiwa katika...

error: Content is protected !!