Categorizing posts based on type of post
HATIMAYE Bazara la Madiwani Manispaa ya Moshi Mjini Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania limemng’oa Meya wao, Juma Raibu kwa kumpigia kura ya...
By Mwandishi WetuApril 11, 2022MBUNGE wa Kawe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Askofu Joseph Gwajima ameshauri kuanzishwa kwa Dira ya Taifa ili kuwezesha kiongozi...
By Mwandishi WetuApril 11, 2022MBUNGE wa Mpanda Vijijini, Selemani Kakoso (CCM) amesema mradi wa wa ujnenzi wa Bandari ya Karema katika Ziwa Tanganyika hautakuwa na maana kama...
By Gabriel MushiApril 11, 2022MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Dk. Jasson Rweikiza ameishauri Serikali kuanzisha utaratibu wa kilimo cha makambi ili kuongeza uzalishaji mali na ajira kwa vijana....
By Gabriel MushiApril 11, 2022MAKAMU wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana ameonya viongozi wanaopata nafasi mbalimbali za kuteuliwa au kuchaguliwa kuacha tabia ya kutaka kutukuzwa kwani nafasi...
By Mwandishi WetuApril 10, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Abdulrahman Kinana ametangaza ziara ya kichama ya mikoa minne atakayoifanya hivi...
By Mwandishi WetuApril 10, 2022KATBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amewaonya wanachama wa chama hicho kuacha kupanga safu katika nafasi mbalimbali za uchaguzi wa chama hicho...
By Mwandishi WetuApril 10, 2022CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, leo Jumapili tarehe 10 Aprili 2022, wanampokea Makamu Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuApril 10, 2022KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameomba vitabu vilivyoandikwa na chama hicho kuelezea itikadi zake na matendo ya Baba...
By Mwandishi WetuApril 9, 2022MKUU wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere, amewataka wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wasiwe na wasiwasi kuhusu Makamu Mwenyekiti wa chama...
By Mwandishi WetuApril 9, 2022RAIS wa kwanza wa Bunge la Afrika, Mama Getrude Mongela amesema Hayati Mwl. Julius Nyerere alikuwa msikivu wa wanawake na alifanya mambo mengi...
By Mwandishi WetuApril 9, 2022MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Mzee Stephen Wasira, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ana kazi ya kufanya katika kukabiliana na mfumuko wa bei...
By Mwandishi WetuApril 9, 2022MWENYEKITI wa Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamed amesema miaka michache baada ya kutimuliwa ndani ya CCM na kwenda kumtembelea Mwalimu Julius...
By Mwandishi WetuApril 9, 2022KANALI Mstaafu, Joseph Simbakalia, ameshauri mashirika yaliyoanzishwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere, kwa ajili ya kuchagiza maendeleo, yaimarishwe ili kuenzi...
By Mwandishi WetuApril 9, 2022MBUNGE wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina, ameihoji Serikali itatekeleza lini amri za mahakama za zinazoielekeza kurudisha mifugo ya wananchi iliyokamatwa katika hifadhi za...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022MBUNGE wa Vunjo, Dk. Charles Kimei ameonya Serikali kuhusu ujenzi wa miundombinu ya kijamii bila kuangalia gharama za sasa za uendeshaji. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitiola Mkumbo amewasha moto bungeni kutokana na Serikali kutochukua hatua yeyote juu ya kupanda bei ya nishati ya...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022MWENYEKITI mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo amekiomba chama hicho kumchukulia hatua mbunge wake wa Kisesa,...
By Mwandishi WetuApril 7, 2022NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, imewaomba vijana wa vyama vya siasa vya upinzani, waunge mkono...
By Mwandishi WetuApril 7, 2022MBUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhaga Mpina amesema, atatumia mkutano huu wa Bunge la Bajeti unaoendelea kuelezea...
By Mwandishi WetuApril 7, 2022MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022WAZIRI wa Nishati, January Makamba, amesema wizara yake imeandaa waraka wa uanzishwaji kanuni zitakazowezesha uundwaji wa hifadhi ya kimkakati ya kitaifa ya...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Habari na Teknolojia ya Mawasiliano ya Habari kuhakikisha inakamilsha Sheria ya kulinda taarifa binafsi za...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022SIKU za Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) zinahesabika. Ndivyo unavyoweza kusema, baada ya Rais Samia Suluhu leo Jumatano tarehe...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasilisha Bajeti ya Ofisi yake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka wa fedha 2022/23 zote zikiwa...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika kuboresha huduma za afya nchini Serikali imeagiza magari ya wagonjwa 258 yakiwemo 233 ya kawaida na...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022KOCHA wa klabu ya Simba Pablo Franco amechaguliwa kuwa kocha bora wa LigI Kuu Tanzania Bara mwezi Machi mara baada ya kumshinda...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuunda jopo la wataalamu ili kufuatilia upandaji wa bei...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo kimetoa mapendekezo manne kwa Serikali ili kuimarisha sekta ya kilimo nchini na kuwakomboa wakulima katika wingu la umasikini....
By Mwandishi WetuApril 6, 2022BAADHI ya wabunge wameomba uchunguzi huru ufanyike dhidi ya sakata la uchafuzi wa maji ya Mto Mara, baada ya kutoridhishwa na ripoti...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, hadi kufikia Februari 2022 Serikali imekwisha kulipa malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mpya...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022SERIKALI ya Tanzania imesema, itaendelea kutoa kipaumbele katika kusimamia na kuendeleza rasilimali za maji na usafi wa mazingira vijijini na mijini unakwenda kwa...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imeendelea kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa korona (UVIKO- 19) kwa kuanzisha rasmi utekelezaji wa...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022Serikali imesema wiki ijayo itatangaza nafasi za ajira 32,000 katika sekta ambazo zina upungufu mkubwa wa watumishi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)...
By Mwandishi WetuApril 6, 2022KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwezi Machi kufuatia kuonesha kiwango bora akiwa...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Kassim Majaliwa, ameipongeza klabu ya soka ya Simba kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022MTENDAJI mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez amekili kuwa, huwenda winga wao Bernad Morisson atakosekana kwenye mchezo wa marudiano wa kombe...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amevitaka vyama vya siasa kuimarisha kwanza demokrasia ya ndani, kabla ya kutoka nje. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiApril 6, 2022Klabu ya soka ya Simba Tanzania imepangiwa kukutana na Orlando Pirates ya nchini Afrika kusini katika robo fainali ya kombe la shirikisho...
By Masalu ErastoApril 5, 2022MKURUGENZI wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Wilson Mahera, amesema dosari zinazojitokeza katika chaguzi, zinasababishwa na watumishi wanaoajiriwa kwa...
By Gabriel MushiApril 5, 2022WANASIASA wakongwe nchini Tanzania, wamejadili sababu za kukwama kwa mchakato wa upatikanaji Katiba mpya na namna ya kuukwamua. Anaripoti Mwandishi Dodoma, Dodoma...
By Mwandishi WetuApril 5, 2022VIUNGO wa klabu ya Yanga Feisal Salum ‘Fei Toto’ sambamba na Khalid Aucho hawatakuwa sehemu ya kikosi cha klabu hiyo kitakachoshuka dimbani...
By Kelvin MwaipunguApril 5, 2022WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, amekosoa mapendekezo ya kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia, kuhusu mchakato wa upatikanaji...
By Gabriel MushiApril 5, 2022WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameonya vitendo vya viongozi wa kisiasa kukaribishwa katika madhabahu ya nyumba za ibada, kutoa salamu za...
By Mwandishi WetuApril 5, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amevitaka vyama vya siasa vikubali kushiriki mikutano inayoitishwa kwa ajili ya kujadili masuala ya demokrasia,...
By Mwandishi WetuApril 5, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Abdulrahman Kinana, anatarajiwa kupokea kijiti cha uongozi wa kituo cha demokrasia Tanzania (TCD). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuApril 5, 2022MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe ameiomba Serikali kuhakikisha mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa yanafanyika kufikia Julai...
By Mwandishi WetuApril 5, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amekitaka kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kujadili na kutoa kwa Serikali mapendekezo yanayotekelezeka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuApril 5, 2022MAOFISA Ughani nchini watamilikishwa pikipiki zinazotolewa na Serikali baada ya kuzitumia kwa miaka miwili katika kutoa huduma kwa wakulima. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Hatua...
By Mwandishi WetuApril 4, 2022