Wednesday , 24 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari MchanganyikoTangulizi

Watetezi haki za binadamu wafungua kesi ya dhamana kwa Madeleka

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), wamefungua kesi ya kuomba...

Habari za Siasa

Majaliwa: Hakuna wakupinga Tanzania ilikuwa kinara ukombozi Afrika

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema hakuna wa kupinga kluwa Tanzania chini ya uongozi wa Hayati Mwl. Julius Nyerere, ilikuwa kinara wa ukombozi wa...

Habari za Siasa

Kinana awaachia maswali Watanzania kuhusu Mwalimu Nyerere

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania wajiulize kwa nini Tanzania inaendelea kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius...

Habari MchanganyikoTangulizi

MGOGORO KKKT: Siri zaidi zafichuka, Askofu Shoo, Malasula …

  KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde, limemtaka Msajili wa Jumuiya za Kiraia nchini, kuacha “kuingilia mambo ya ndani...

Habari

Lissu amshauri Rais Samia ang’oe vigogo wa awamu ya tano

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu, amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan, awaondoe madarakani viongozi wa umma hasa wa vyombo vya ulinzi...

HabariMichezo

Simba yawasili Afrika kusini, walia kunyimwa Askari

  KLABU ya Simba imewasili salama nchini Afrika Kusini kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates, huku wakilalamika kuwa wenyeji...

HabariTangulizi

Kina Mdee wabakiza siku 20 bungeni

  HATIMA ya Halima Mdee na wenzake 18 kuendelea kuwa wabunge wa viti maalumu itajulikana tarehe 11 Mei 2022, wajumbe wa Baraza Kuu...

Habari

Vigogo NMB watembelea Bunge Dodoma

  VIONGOZI mbalimbali wa Benki ya NMB nchini Tanzania wakiongozwa na Afisa Mkuu wa wateja binafsi na Biashara wa benki ya NMB, Filbert Mponzi...

Habari za Siasa

Matamko ya mali viongozi 46 yakutwa na dosari

  KATI ya matamko 425 ya mali na madeni ya viongozi wa umma yaliohakikiwa, asilimia 11 (sawa na matamko 46) yalibainika kuwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchina ahukumiwa miaka 20 jela kwa kuwachapa wafanyakazi viboko

MAHAKAMA nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wa China kwa mashtaka ya mateso aliyowafanyia wanaume wanne aliokuwa akiwachapa huku wakiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Ruwa’ichi: Uchunguzi unaendelea kifo cha Padri Dar

ASKOFU Mkuu Yuda Thaddeus Ruwa’ichi, wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, amesema uchunguzi dhidi ya chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bashungwa amuagiza Makala kusitisha zuio la bajaji, bodaboda Dar

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG abaini ‘madudu’ kwenye majeshi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) nchini Tanzania katika ukaguzi wake kwa mwaka 2020/21 amebaini udhaifu wa usimamizi, ufuatiliaji na ukiukwaji...

Habari za Siasa

Bashungwa amsimamisha kazi DED Mvomero kwa kupuuza maagizo yake

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya...

Makala & UchambuziTangulizi

Ushauri mzito kwa Makonda, atakiwa kuomba radhi

  ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda, ameshauriwa kuwaomba radhi hadharani viongozi wa Serikali, vyama vya siasa,...

Habari za Siasa

Serikali yazinyooshea kidole halmashauri

  SERIKALI ya Tanzania imeziagiza halmashauri zote nchini humo ambazo zimepokea kiasi cha sh.50 milioni kwa ajili ya umaliziaji wa ujenzi wa vituo...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji uhaba watumishi na vifaa tiba, Serikali yamjibu

  MBUNGE wa viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Josephine Ngezabuke (CCM) ameihoji Serikali na kutaka kujua ni lini itamaliza...

HabariMichezo

Stars mdomoni mwa Algeria na Uganda

  TIMU ya Taifa ya Tanzania imepangwa kundi F, sambamba na timu za Taifa za Uganda na Algeria katika kuwania tiketi ya kufuzu...

Habari

Simba yaomba kupewa ulinzi Afrika Kusini

  KLABU ya Soka ya Simba imeziomba mamlaka husika kuwapatia ulinzi wa kutosha wakati wa safari yao kuelekea nchini Afrika Kusini kwenye mchezo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha Padri Dar; Polisi wasema kuna dalili amejiua

SAKATA la kifo cha Padri Francis Kangwa (49) raia wa Zambia aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano...

Habari

Spika atoa pongeza kwa Rais Samia uzinduzi wa Royal Tour Marekani

  Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Akson, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuzindua makala maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii nchini...

HabariTangulizi

Chama ‘Magufuli’ moto, mawaziri nawabunge wahusishwa kujiunga

  CHAMA kipya cha siasa nchini Tanzania kinachojinasibisha na ‘Rais wa Wanyonge’, John Magufuli, kimeanza kuleta sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Tangulizi

Mbunge atishia kukwamisha bajeti TAMISEMI kisa walemavu

  MBUNGE Viti Maalumu, Stella Ikupa, ametishia kushika shilingi katika makadirio ya bajeti ya Wizara Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa mwaka wa fedha wa...

Habari

Wanajeshi walevi waua 15 mashariki mwa DRC

  Wanajeshi wawili wamewaua raia 15 kwa kuwapiga risasi katika mashambulio tofauti mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

Habari za Siasa

Mbunge ataka watu binafsi wapewe mikopo, vikundi vinakwama kurejesha

MBUNGE wa Lupembe, Edwin Swale (CCM), ameishauri Serikali ifanye mabadiliko ya sheria yatakayowezesha asilimia 10 za mapato ya halmashauri zinazotolewa kwa ajili ya...

HabariTangulizi

Kifo cha Paroko chaibua utata Dar

  UTATA umeibuka juu ya kifo cha Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano, Dar es Salaam, Padri Francis...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yashindwa kulipa deni Mil. 38.3- CAG

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amesema, ukaguzi alioufanya kwa mwaka 2020/21 amebaini chama kikuu...

Habari za SiasaTangulizi

CAG ahofia CCM kupoteza bilioni 3, kesi 108 kortini

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere ameonesha hofu kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: CCM yakosa gawio milioni 480

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/21 nchini Tanzania, amebaini kampuni zinazomilikiwa na Chama Cha...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo yaliyotawala mazungumzo ya Rais Samia, Kamala Harris

  MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris ameeleza mambo mahususi watakayogusia katika mazungumzo yake na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye yupo nchini...

HabariTangulizi

Rais Samia aeleza sababu ya kuzindulia Royal Tour Marekani

  RAIS Samia haikuwa bahati mbaya kuzindulia filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania duniani, Royal Tour nchini Marekani bali ni kutokana na nchi...

Habari za Siasa

CAG abaini kasoro michezo ya kubahatisha

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amebaini ufanisi duni kwenye mchakato wa utoaji leseni kwa...

Habari za Siasa

Mashirika 12 yakwepa kulipa kodi TRA bilioni 90

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/21 imebaini mashirika ya umma 12 kati 200 yaliyokaguliwa...

Habari za Siasa

Miradi ya Afya H’shauri 20 yakamilika lakini haitumiki

  MIRADI ya majengo ya afya katika mamlaka 20 za serikali za mitaa, haitumiki licha ya kukamilika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

HabariTangulizi

Zitto alitega Bunge, CAG na Takukuru

  KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ametaja mambo mawili yanayoweza kufanyika ili kupunguza wizi ama...

Habari

CAG abaini kasoro michezo ya kubahatisha

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amebaini ufanisi duni kwenye mchakato wa utoaji leseni kwa waendeshaji...

Habari za Siasa

Rais Samia aipangua MSD, ateua viongozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi watatu akiwemo Mavere Tukai kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD)....

Habari za Siasa

Bunge lataka ripoti fedha mikopo halmashauri kuanzia 2018

  BUNGE la Tanzania, limeitaka Serikali litoe taarifa za matumizi ya asilimia 10 za mapato ya ndani ya halmashauri, zilizotolewa kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Bunge laonesha wasiwasi ukusanyaji maduhuli Serikali za Mitaa

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, imesema mwenendo wa makusanyo ya maduhuli ya mamlaka za Mikoa na Serikali...

HabariMichezo

Orlando Pirates yaikaushia Simba

  KLABU ya Orlando Pirates ya nchi Afrika Kusini, mpaka sasa haijatoa taarifa kuwa ni lini inatarajia kuingia nchini, kwa ajili ya mchezo...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Hali mbaya ya kifedha PSSSF na NSSF

  HALI ya kifedha ya Mfuko ya Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na Mfuko wa Hifadhi za Kijamii (NSSF) ya...

Habari za Siasa

Ripoti ya CAG: ACT-Wazalendo yaibana Serikali matumizi ‘holela’

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kufuata Katiba kwa kufanya matumizi ya fedha mara baada ya kuwa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo wataka Serikali kulipa madai ya wafanyakazi

  CHAMA cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali iwalipe watumishi wote malimbikizo ya madai yao mara moja kwa mkupuo...

Makala & Uchambuzi

Benki ya Kilimo: Ni mkopeshaji au dalali?

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, Kassim Majaliwa, amewasilisha bajeti ya wizara yake, bungeni mjini Dodoma na kumwagia sifa Benki ya Kilimo....

HabariTangulizi

Mabadiliko tabianchi yabadili mvua za masika, TMA yatoa mapendekezo 5

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, mvua za masika Machi- Mei mwaka 2022 zinatarajiwa kuwa chini ya wastani hadi wastani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkandarasi aliyepewa kazi TPA ‘apiga cha juu’ bilioni 64

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini mkandarasi aliyepewa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya...

Habari

Mbunge aibua tuhuma nzito: “Serikali inawawekea vikwazo wananchi Ngorongoro”

MBUNGE wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai ameituhumu Serikali “inawawekea vikwazo vya kimaendeleo” wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha kwa kuhamisha fedha za...

Habari

CAG aanika mabilioni yalivyochotwa TPA na kutafunwa Mwanza, ataka yarejeshwe

  OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini kiasi cha Sh bilioni 22.64 kilichohamishwa kutoka makao makuu ya Mamlaka...

Habari za Siasa

Mbunge: Serikali inawawekea vikwazo wananchi Ngorongoro

MBUNGE wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai ameituhumu Serikali “inawawekea vikwazo vya kimaendeleo” wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha kwa kuhamisha fedha za...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG aanika mabilioni yalivyochotwa TPA na kutafunwa Mwanza, ataka yarejeshwe

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini kiasi cha Sh bilioni 22.64 kilichohamishwa kutoka makao makuu ya Mamlaka ya...

error: Content is protected !!