Thursday , 25 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kutinga bungeni, wauliza maswali

  SIKU mbili kupita tangu Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuyaondoa maombi Halima Mdee na wenzake 18 ya kuomba...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yapongeza ufufuaji mchakato Katiba Mpya

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimepokea taarifa iliyotolewa na Chama Cha Mapinduzi CCM baada ya Kumalizika Kikao Cha Halmashauri Kuu kilichofanyika jana Dodoma,...

Habari za SiasaTangulizi

CHADEMA yamkumbusha Spika kuwaondoa bungeni wabunge 19

  CHAMA cha Chadema, kimemwandikia barua Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kumkumbusha kuhusu utekelezaji wa barua yake ya tarehe 12 Mei 2022,...

Habari za Siasa

Wabunge waijia juu Toyota Tanzania, Spika aomba majibu

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Akson, ameitaka Serikali kutoa majibu hoja ya suala la Serikali kushindwa kuagiza magari moja kwa...

Habari za Siasa

Majaliwa awatangazia neema wakazi Ngorongoro wanaohamia Msomera

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewahakikishia wakazi wanaohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha...

Makala & Uchambuzi

Sensa ya watu na makazi Tanzania ni zaidi ya kuhesabiwa

  NIKIWA kwa babu miaka fulani hivi nikienda kumjulia hali, tukiwa katikati ya mazungumzo yetu, babu alinishangaza kwa jinsi alivyokuwa anawajua na kuwatambua...

Habari za Siasa

Spika afuta maneno ya Waziri kwenye kumbukumbu za Bunge

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson ameagiza maneno ya Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee watinga bungeni, Spika awaruhusu kuuliza maswali

  LICHA ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuyaondoa maombi Halima Mdee na wenzake 18 ya kuomba kufungua kesi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yakubali kufufua mchakato Katiba mpya, kesi za kisiasa…

  KIKAO cha Halmashauri Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeishauri Serikali kuona namna bora ya kufufua, kukwamua na...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kina Mdee: Chadema yampa zigo AG, Spika Tulia

  BAADA ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu kuyatupilia mbali maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 ya kufungua kesi ya kupinga...

Habari

Kongamano uchumi wa bluu laibua fursa lukuki

  SERIKALI imesema inaweka mazingira mazuri kuhakikisha kipaumbele kwenye fursa zilizoko kwenye uchumi wa bluu kinakuwa kwa watanzania kabla ya wageni kunyakua fursa...

ElimuHabari

CoNAS yajivunia kutoa watafiti wengi wa sayansi asilia nchini

KATIKA kutimiza miaka 60 toka kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ndaki ya Sayansi Asilia na Tumizi inajivunia kutoa wataalum wengi...

HabariMichezo

Yanga kukabidhiwa kombe jijini Mbeya

  Mara baada ya tarehe 15 Juni 2022, kutangzwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu ya Yanga itakabidhiwa rasmi kombe...

HabariMichezo

Rasmi Mane amtikia Bayern

  MARA baada ya kuhudumu katika kipindi cha misimu sita, hatimaye klabu ya Liverpool ya nchini Uingereza immemruhusu rasmi kuondoka kwenye klabu hiyo,...

Habari za Siasa

Mbunge akataa taarifa ya Waziri kuhusu sakata la loliondo,

  MBUNGE wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, amekataa kupokea taarifa ya Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete, iliyoeleza kuwa...

Habari za Siasa

Mbunge CCM awatukana wenzake bungeni ‘pumbavu kabisa’

  MBUNGE wa Viti Maalum kupitia chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lucy Mayemba amechangia Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2022/23...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbatia wafikisha kilio chao kwa Rais Samia, Dk. Mwinyi

  MGOGORO wa kiuongozi unaoendelea ndani ya Chama cha NCCR-Mageuzi umeendelea kukitikisa na upande wa Mwenyekiti, James Mbatia umeibuka na kuzitaka mamlaka zote...

Habari za Siasa

Mbunge apinga watumishi waliotenguliwa kushushwa mishahara

  MBUNGE wa jimbo la Kilwa Kusini nchini Tanzania, Ally Kassinge, amepinga hatua ya Serikali kutaka kushusha mishahara ya watumishi wanaomaliza nafasi zao...

Habari za SiasaTangulizi

Ni kina Mdee au Chadema leo

  HATIMA ya Halima James Mdee na wenzake 18, kuendelea kuupigania ama kuutema, ubunge wao wa Viti Maalum, wanaodaiwa kuupata kinyemela, utajulikana leo...

Habari za Siasa

Mbunge Chikota aonesha njia zao la Korosho

  MBUNGE wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota ameshauri Serikali ichukue maamuzi magumu wa kufufua viwanda 12 vya kubangua korosho kwa kuwa waliopewa wamegeuza...

HabariHabari Mchanganyiko

Serikali kuiwezesha DMI vifaa vya kisasa na majengo

  SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari (DMI), cha jijini Dar es Salaam kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa vya kufundishia ili...

Habari za Siasa

Waziri, Mbunge waparuana kisa Dodoma kuongoza kwa dhulma

  WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amesema mkoa wa Dodoma sasa ndio mkoa unaoongoza kitaifa kwa migogoro ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bulaya alia na kikokotoo kipya ataka kirudishwe asilimia 50

  MBUNGE wa Bunge la Tanzania, Esther Bulaya ameitaka Serikali kuachana na kikokotoo kipya cha mafao kinachompa mstaafu asilimia 33 ya mafao yake...

Habari za Siasa

Sanga amwomba Rais kuingilia kati uagizaji mbolea

  MBUNGE wa jimbo la Makete nchini Tanzania, Festo Sanga, amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia katika suala la uagizaji mbolea kutokana na...

Habari za Siasa

Mbunge ataka nyongeza bajeti ya mazingira

  MBUNGE Viti Maalum, Mariam Omary amesema bajeti inayotengwa kwa ajili ya sekta ya mazingira ni ndogo, hivyo Serikali ianzishe sheria itakayoelekeza viwanda...

AfyaHabari za Siasa

Wabunge waibana Serikali gharama matibabu figo, Spika atoa maagizo

  WABUNGE wa viti maalum, wamehoji mkakati wa Serikali kupunguza gharama za matibabu ya ugonjwa wa figo ili kunusuru wagonjwa wasiokuwa na uwezo...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya aivaa Takukuru akisema ‘gerezani si pikiniki’

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania,Lengai Ole Sabaya amecharuka mahakamani na kudai mashtaka dhidi yake ni ya...

Habari za Siasa

Kamati Kuu CCM kukutana Dodoma

  KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumanne, tarehe 21 Juni 2022 inakutana jijini...

Habari

Prof. Mbarawa kufungua kongamano la uchumi wa bluu

  CHUO cha Bahari (DMI), kimewataka Watanzania kuchangamkia fursa ya mafunzo ya fani ya ubaharia kwa kuwa ina soko kubwa la ajira ndani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Marekebisho ya sheria: Wanahabari walilia uhuru, maslahi

  IKIWA vuguvugu la marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari likizidi kuongezeka nchini Tanzania, wanahabari wamepaza sauti zao kuhusu uboreshwaji wa uhuru...

Habari za Siasa

Bunge lacharuka mikopo makundi maalumu isipunguzwe

  WABUNGE wameiomba Serikali isipunguze kiwango cha mikopo inayotolewa na halmashauri kupitia mapato ya ndani kwa watu wa makundi maalum. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

VIDEO: Loliondo yamuibua Ole Sendeka bungeni, Spika na waziri wamtuliza

  MBUNGE wa Simanjiro (CCM) nchini Tanzania, Christopher Ole Sendeka ameibua sakata la wilaya nne za mikoa ya Arusha na Manyara ambazo zinaweza...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina alilia kamati ya Bunge kuchunguza Bwawa la Nyerere

  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpinga, ameliomba Bunge liunde tume kwa ajili ya kuchunguza masuala mbalimbali yenye tija kwa taifa, ikiwemo Mradi wa...

Habari za Siasa

Mbunge ashauri mabadiliko Sheria kuruhusu mifumo ya fedha ya Kiislamu

  MBUNGE wa jimbo la Wawi nchini Tanzania, Bakari Hamad Bakari, ameitaka Serikali kufanya marekebisho ya Sheria ili kuruhusu mfumo wa fedha wa...

Habari za Siasa

Sijawahi kupata heshima kama hii: Prof. Kabudi amshukuru Samia

  MBUNGE wa jimbo la Kilosa nchini Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumteua kuwa Mwenyekiti wa Timu Maalumu...

Habari za Siasa

Mbunge asema malengo na mipango haviendani ukarabati viwanja

  MBUNGE wa jimbo la ziwani nchini Tanzania, Ahmed Juma Ngwali, amesema mpango wa Serikali wa kuweka nyasi bandia katika viwanja vitano, hauendani...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Wabunge Tanzania wakiijadili Bajeti ya Serikali 2022/23

  MKUTANO wa saba, Kikao cha 47 cha Bunge la Tanzania kinaendelea leo Jumatatu tarehe 20 Juni 2022 jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

HabariTangulizi

CUF, CHADEMA walia Katiba Mpya kutotengewa fungu bajeti 2022/203

VYAMA vya CUF na Chadema vimesema Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2022/2023 iliyowasilishwa bungeni wiki iliyopita na Waziri wa Fedha na Mipango,...

HabariTangulizi

Prof. Lipumba: Waziri fedha anarejesha kodi ya kichwa kinyemela

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi- CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2022/2023 iliyowasilishwa bungeni wiki iliyopita...

HabariHabari Mchanganyiko

“Tume huru kwanza” yampeleka ACT-Wazalendo kigogo Chadema

KATIBU wa Chadema mkoani Ruvuma, Tasilo Bathlomew Milinga, leo Jumamosi, ametangaza kujiunga rasmi na Chama cha ACT-Wazalendo, huku akitaja sababu zilizopelekea kuchukua uamuzi...

HabariHabari Mchanganyiko

Mgombea Urais azomewa nyumbani kwake

KIONGOZI wa chama cha Wiper nchini Kenya, Kalonzo Musyoka, amekutana na udhalilishaji akiwa jukwaani baada ya kundi kubwa la wananchi wanaomsikiliza kumzomea akifanya...

HabariTangulizi

Mbatia, wenzie wakimbilia polisi

BODI ya Wadhamini ya Chama cha NCCR-Mageuzi, imefungua jalada la uchunguzi wa tuhuma za kuvunjwa kwa ofisi ya chama hicho, zinazodaiwa kufanywa na...

HabariTangulizi

Mzee akataliwa kijijini kwa ubabe, kupora mashamba

WANANCHI wa Kijiji cha Yakobi, Halmashauri ya Mji wa Njombe wamemkataa mwananchi mwenzao aliyefahamika kwa jina la mzee Gerhad Makinda kuishi kijijini hapo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zumaridi ahofia uhai wake gerezani

MAWAKILI wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mchungaji Diana Bundala, maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yatangaza sekretarieti mpya, baada ya kuing’oa ile ya Mbatia

  CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetangaza baadhi ya wajumbe wapya wa Sekretarieti ya chama hicho, baada ya kuvunja iliyokuwa inaongozwa na Mwenyekiti wake, James...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Sh66.86 Bil. zakusanywa tozo daraja la Kigamboni

  SERIKALI imesema jumla ya Sh66.86 bilioni zimekusanywa tangu kuanza kutoza tozo za kuvuka daraja la Kigamboni mwaka 2016. Anaripti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Mbunge alia ukata balozi za Tanzania

  MBUNGE wa Bunge la Tanzania, Felister Njau, ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Serikali kushindwa kutoa fedha zinazopangwa kupelekwa kwenye balozi za Tanzania...

Tangulizi

LHRC yataja tamu, chungu mapendekezo bajeti 2022/23

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeipongeza Serikali kwa kuja na bajeti inayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja, huku...

Habari za Siasa

Mbunge ashauri matumizi vigae kuezekea kupunguza gharama

  MBUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Leornad Chamriho ameshauri matumizi ya bidhaa zinazotumia malighafi zinazozalishwa hapa nchini ikiwemo...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yamtaka CAG afanye ukaguzi maalum fedha za muungano

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), afanye ukaguzi maalum kwenye mapato na matumizi...

error: Content is protected !!