Friday , 29 March 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Kiswahili kutumika usaili kazi Serikalini

  SERIKALI ya Tanzania imetangaza kusudio la kutumia Kiswahili katika kufanya usaili wa watumishi umma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea) Mwigulu ametangaza...

Habari za Siasa

Serikali yaanika mkakati kubana matumizi “tutapimiana mafuta ya magari”

  SERIKALI ya Tanzania, imetangaza mkakati wa kubana matumizi kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, ili yaakisi ugumu wa maisha wanayopitia wananchi kufuatia...

Habari za Siasa

Wakuu wa mashirika, bodi kufanyiwa usaili badala ya teuzi

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amependekeza wakuu wa mashirika kupatikana kwa ushindani kwa kufanyiwa usaili ili kupata watu wenye sifa....

ElimuHabari za SiasaTangulizi

Serikali kufuta ada kidato cha tano, sita

  SERIKALI ya Tanzania imetangaza kusudio la kufuta ada kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita, katika mwaka wa fedha ujao wa...

Habari za SiasaTangulizi

Spika ampa onyo Waitara, ampiga dongo

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amemuonya Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) baada ya kubeza na kupinga maelekezo aliyoyatoa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Benki Kuu kupunguza fedha kwenye mzunguko kudhibiti mfumuko wa bei

  SERIKALI ya Tanzania imesema Benki Kuu nchini humo imelazimika kuanza kupunguza kiasi cha ukwasi inachoongeza kwenye uchumi ili kudhibiti hatari ya kuanza...

Habari za Siasa

Polisi wakimbia kituo kilichojengwa kwa mabati

  MBUNGE Viti Maalum, Esther Matiko, amedai Kituo cha Polisi cha Kigonga, kilichopo wilayani Tarime, katika mpaka wa Tanzania na Kenya, kimekimbiwa na...

Habari za Siasa

‘Panya kalowa’ watinga bungeni

  BAADA ya kikundi cha vijana wahalifu katika jiji la Dar es Salaam kutikisa kwa jina la ‘Panya Road’, Mbunge wa Viti Maalum,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Hakuna tena biashara Serikalini

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameweka wazi kuwa sera ya utawala wake ni kuicha sekta binafsi kufanya biashara na Serikali kubakia...

Habari za SiasaTangulizi

Naibu Skipa aonya wabunge nidhamu uchangiaji bajeti kuu

  NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azan Zungu, ameonya wabunge wanaokiuka kanuni za utoaji taarifa bungeni na...

Tangulizi

Wanafunzi HKMU watia fora kwa tafiti za afya

  WANAFUNZI  wa udaktari wa Chuo cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), wamepongezwa na kuzawadiwa kutokana na kufanikiwa kufanya tafiti mbalimbali kwenye masuala ya...

HabariTangulizi

LHRC yalaani mauaji Ngorongoro, yataka zoezi la mipaka kusitishwa

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu kuishi na kutoa wito kwa serikali...

Tangulizi

Fahamu mambo yaliyopo kwenye mkataba LNG uliosaniwa

  MWENYEKITI wa Timu ya majadiliano ya Serikali ya Tanzania katika mkataba hodhi wa mradi wa kusindika Gesi Asilia (LNG), Charles Sangwene, ameweka...

Habari za Siasa

Sh trilioni 70 kujenga mradi wa gesi, ajira 10,000 kuzalishwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa sekta binafsi, taasisi za Serikali na wakuu wa mikoa ya Mtwara na Lindi kujiandaa kutumia...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoboa siri machungu aliyopitia kufufua mradi wa gesi Mtwara

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema alipokuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alijaribu kutia mkono kwa lengo la kusukuma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata Ngorongoro, askari auawa kwa mshale Loliondo

  MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongela leo tarehe 11 Juni, 2022 amethibisha kutokea kwa mapigano katika wilayani Ngorongoro tarafa ya Loliondo...

HabariHabari Mchanganyiko

DC Tandahimba aonya vijana wasitumike kuvuruga amani

MKUU wa wilaya Tandahimba mkoani Mtwara, Kanali Patrick Sawala ametoa wito kwa vijana wakazi wa mikoa na wilaya za mpakani mwa nchi kutokubali...

Habari za Siasa

Sabaya, wenzake washinda tena

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania leo Ijumaa tarehe 10 Juni 2022, imemwachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa...

HabariMichezo

GSM waiteka Yanga, Kutawala nafasi za juu za uongozi

  HARAKATI za uchaguzi mkuu wa klabu ya Yanga zimeanza kushika kasi, mara baada ya wanachama mbalimbali kujitokeza katika zoezi hilo, huku upande...

HabariMichezo

Mchakato wa kocha mpya Simba wafikia patamu, Mmorocco apewa nafasi

  NI kama mchakato wa kumtafuta kocha mpya wa klabu ya Simba umeendelea kupamba moto, kufuatia mpaka sasa uongozi wa klabu hiyo kupokea...

Habari

Baada ya siku 127, Profesa Jay atoka Hospitali

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Joseph Haule maarufu Prof. Jay ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam alipokuwa...

Habari

Ajali yaua 19 Iringa, Rais Samia awalilia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salama za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Qeen Sendiga kufuatia ajali ya barabara...

Habari

Serikali yapongeza uwekezaji KHEN sekta elimu ya afya

  SERIKALI nchini Tanzania imepongeza uwekezaji uliofanywa na Mtandao wa Elimu ya Afya Kairuki (KHEN), kwenye sekta ya elimu ya afya kwani unachangia...

HabariTangulizi

Serikali yaonya watu, NGO’s zinazochochea mgogoro Ngorongoro

  SERIKALI ya Tanzania, imetangaza kusudio la kuwachukulia hatua watu pamoja na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yanayochochea mgogoro wa ardhi katika Hifadhi...

HabariTangulizi

Sabaya kusuka ama kunyoa leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania leo Ijumaa tarehe 10 Juni 2022 Itatoa hukumu ya kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya...

Habari

Wabunge watoa kilio hamahama watumishi wa X-Ray, Spika atoa maagizo

  WABUNGE Francis Ndulane (Kilwa Kaskazini) na Minza Mjika (Viti Maalum) wamefikisha bungeni kilio cha hama hama ya watumishi wa kipimo cha uchunguzi...

HabariTangulizi

Waziri Makamba: Bei ya umeme Tanzania haijapanda

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, January Makamba amesema, Serikali haijapandisha bei ya umeme huku akiagiza mamlaka kuwachukulia hatua wale wote wanaoneza uvumi...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge Waitara, Mulugo wakwama, Spika Tulia atoa siku 90

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametoa siku 90 kwa Serikali kuchunguza malalamiko yaliyotolewa na wabunge dhidi ya mauaji, majeruhi...

Habari

Algeria yampa somo Kim Poulsen, alia na uzoefu

  BAADA ya kupoteza kwa mabao 2-0, dhidi ya Timu ya Taifa ya Algeria, kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)...

HabariMichezo

FIFA yaipongeza Serengeti Girls

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA), limeipongeza Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kwa kufanikiwa kufuzu kwenye michuano ya kombe la dunia...

Habari za Siasa

Ziwa Victoria kutumika kilimo cha umwagiliaji

  SERIKALI ya Tanzania imesema inafanya tathimini katika mikoa yote inayolizunguka Ziwa Victoria ili kuanza ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Tutatoa ruzuku hadi bei mafuta ikae sawa duniani-Samia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kukata matumizi yake kila mwezi na kutoa ruzuku ya mafuta hadi pale bei...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri: Hakuna sababu ya Lema, Lissu kutorejea nchini

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ametengeneza mazingira mazuri ya kisiasa na kuifanya...

Habari za Siasa

Bunge: Serikali ifanye tathimini maombi ahirisho la madeni

  SERIKALI imeshauriwa kufanya tathimini ya kina kabla ya kuomba ahirisho la kulipa madeni ya Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Serikali...

Tangulizi

Mbunge: Dk. Mwigulu unafeli wapi? futa leseni hizi

MBUNGE wa Mbogwe, Nicodemas Maganga (CCM) leo Jumanne amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kutumia mamlaka aliyonayo kuzifutia leseni benki...

Habari za Siasa

Wizara ya fedha waomba bajeti Sh trilioni 14

  WIZARA ya Fedha na Mipango, imeliomba Bunge lipitishe bajeti ya Sh. 14.94 trilioni, kwa ajili ya matumizi yake katika mwaka wa fedha...

Makala & Uchambuzi

Mambo yanayombeba Rais Samia kimataifa

  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres aliwahi kusema; “Ushirikiano wa kimataifa na diplomasia vimethibitisha kuwa na faida na huduma...

Habari za Siasa

Kamati yashauri akaunti jumuifu kuanzishwa haraka

  SERIKALI imeshauriwa kuanzisha “mara moja” akaunti jumuifu kwaajili ya ukusanyaji wa mapato ya muungano ili kuondokana na kero za Muungano katika suala...

Habari za Siasa

Trilioni nane zahudumia deni la Taifa

  SERIKALI ya Tanzania, imesema hadi kufikia Aprili 2022, imetumia kiasi cha Sh. 8.0 trilioni, kati ya Sh. 10.6 trilioni, ilizopanga kugharamia deni...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Waziri Mkuu Uingereza aponea kung’olewa

  WAZIRI mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aponea chupu chupu kuondoka madarakani, kufuatia kura ya kutokuwa na imani naye kushindwa kufaulu. Anaandika Mwandishi...

Habari za Siasa

Bunge lataka Ofisi Msajili wa Hazina kuongezewa fedha

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeishauri Serikali kuiongezea fedha fungu maalumu Ofisi ya Msajili wa Hazina ili iweze kulipa madeni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkuu wa Majeshi Tanzania kustaafu

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo, anatarajia kumaliza utumishi wake ndani ya jeshi hilo, mwishoni mwa Juni, 2022. Anaripoti Mwandishi...

Tangulizi

COSOTA kukusanya, kugawa mirabaha ya Bil. 1.3/- mwaka 2022/23

  TAASISI ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) inatarajia kukusanya mirabaha yenye thamani ya Sh.1.3 bilioni na kuigawa kwa wabunifu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za Siasa

CCM yakabidhi miradi ya maji kwa viongozi wa dini

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeikabidhi miradi ya maji ya miji 28, kwa viongozi wa dini, ikitaka iwaombee watu watakaohusika katika utekelezaji wake...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Adhabu mbadala, utaratibu watuhumiwa kujidhamini waja

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro, amesema wizara yake inakwenda kuufumua mfumo wa jinai, ili kuangalia namna ya kupunguza msongamano wa...

HabariMichezo

Rais Samia awamwagia pongezi Serengeti Girls

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Timu ya Taifa hilo ya soka la Wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kwa...

HabariHabari za Siasa

Wabunge wakumbushia ahadi za JPM bungeni

WABUNGE wameikumbusha Serikali kuhusu utekelezaji wa ahadi za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, ya kutoa fedha kwa ajili ya...

Tangulizi

Kauli ya Nape yamuibua Membe

WIKI moja baada ya mwanasiasa nguli nchini, Benard Membe kurejea rasmi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu alipofukuzwa mwaka 2020, hatimaye ameeleza...

HabariMichezo

Tanzania yatinga kombe la Dunia kwa mara ya kwanza

  TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya umri wa miaka 17, (Serengeti Gilrs), imefanikiwa kutinga kwa mara ya kwanza kwenye fainali za...

Habari za Siasa

Majaliwa akemea utiririshaji maji machafu, atoa maagizo 15

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekemea tabia ya utiririshaji wa maji machafu na majitaka kutoka viwandani na kwenye migodi kwani inachangia...

error: Content is protected !!