Thursday , 25 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Uchaguzi wenyeviti wa CCM wilaya kuanza Oktoba mosi

KATIBU wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  Shaka Hamdu Shaka amewasisitiza wanachama wa chama hicho kujitokeza kwenye uchaguzi wa ngazi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yafuta chaguzi tano za UVCCM, tatu za UWT zasimamishwa

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefuta chaguzi tano za umoja wa vijana (UVCCM), pamoja na kusimamisha chaguzi tatu za Jumuiya ya Wanawake ya...

Tangulizi

Letshego yaja na akaunti ya wajasiriamali wadogo, wastaafu

  TAASISI inayotoa huduma za kifedha nchini Tanzania ya Letshego imezindua akaunti maalum kwa ajili ya wajasiriamali wadogo na wakati na akaunti ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Padri kizimbani tuhuma udhalilishaji watoto kingono

PADRI wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Mtakatifu Deonis Aropagita, Jimbo la Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Sostenes Bahati Soka amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bibi wa miaka 85, ahofiwa kudhulumiwa ardhi yake 

BIBI wa miaka 85 Tumu Haji Mbonde, anahofia kuporwa ardhi yake ya hekari tano iliyoko kijiji cha Mgomba Kaskazini, wilayani Ikwiriri mkoa wa...

ElimuHabari

Serikali yaipongeza St Anne Marie kwa kutochuja wanafunzi, Yaahidi kuendelea kuongoza Dar/kitaifa

  SERIKALI imepongeza shule ambazo hazina kawaida ya kuchuja wanafunzi unapofikia muda wa mitihani ya kitaifa iiwemo St Anne Marie Academy . Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Jinsi Mbatia alivyozuiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari

IKIWA ni siku moja tangu kupinduliwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, leo amekutana na zengwe jingine baada ya kuzuiwa kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia atimuliwa, Selasini Makamu Mwenyekiti mpya NCCR Mageuzi

MKUTANO Mkuu wa dharura wa Chama cha NCCR -Mageuzi uliofanyika leo tarehe 24 Septemba, 2022 umemtimua aliyekuwa mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia...

Habari za SiasaTangulizi

Othman, ujenzi wa Chama imara silaha kuu ya kushinda uchaguzi 2025

  MAKAMU Mwenyekiti Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Massoud Othman amewataka wanachama kuimarisha chama chao ili kuwa imara zaidi hatimae kuibuka na ushindi katika...

Habari za SiasaTangulizi

Selasini, wenzie wakaidi amri ya Mahakama, wafanya mkutano

  LICHA ya Mahakama Kuu Masjala ya Dar es Salaam kuweka amri ya zuio la muda la kutofanyika kwa mikutano ya Chama cha...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mkutano wa SCO ni suluhu la ubinafsi na kukidhi haja ya unganiko hilo?

  INAELEZWA kuwa kuna mzozo wa kwa nchi wanachama wa SCO unatokana na kuteteleka na kushindwa kufanya mkutano wa pamoja wa kujadili tishio...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yamwomba Rais Samia kuingilia kati mgogoro wao

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametakiwa kuingilia kati mgogoro wa kiongozi uliobuka ndani ya Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Tulia ataka kibano waajiri wasiopeleka michango mifuko hifadhi jamii

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameitaka Serikali iweke utaratibu mzuri wa kusimamia mifuko ya hifadhi ya jamii, ili iwabane waajiri wasiowasilisha michango...

Habari za Siasa

Majaliwa aahirisha Bunge, miswada minne na maazimio mawili yapitishwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameahirisha shughuli za Bunge hadi tarehe 1 Novemba 2022,zitakaporejea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Majaliwa ameahirisha...

Habari za Siasa

Tanzania yaijibu UN kuhusu mradi bomba la mafuta

SERIKALI ya Tanzania, imeendelea kusisitiza kuwa, ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), litakalosafirisha nishati hiyo kutoka Hoima nchini Uganda,...

Habari za Siasa

Miswada sheria bima afya kwa wote, ulinzi taarifa binafsi yatinga bungeni

SERIKALI ya Tanzania imewasilisha na kusoma mara ya kwanza miswada ya sheria mbalimbali, ikiwemo Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote na Sheria...

Habari za Siasa

Sheria ya Uwekezaji ya 1997 kufutwa

SERIKALI ya Tanzania imewasilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji, uliosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni wenye malengo mbalimbali ikiwemo kufuta Sheria ya Uwekezaji...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu:Mashauri ya kodi ya Trilioni 360/- yalifutwa

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema mashauri ya kikodi ya Sh 360 trilioni yalifutwa kufuatia makubaliano ya Serikali na kampuni...

HabariMichezo

Michezo mwezi Oktoba, Simba ni jasho na damu

  IKIWA kawa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara, imesimama kwa baadhi ya timu ili kupisha michezo ya kimataifa kwenye kalenda ya Shirikisho la...

Habari za Siasa

Bunge lapitisha muswada sheria za fedha

BUNGE la Tanzania limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali za fedha wa 2022, wenye lengo la kurekebisha sheria zinazosimamia kodi na mrabaha,...

Habari za SiasaTangulizi

Hawa hapa wabunge Afrika Mashariki, Spika Tulia awapa maagizo

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wabunge tisa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), kusimamia maslahi ya Tanzania pamoja na...

Habari za SiasaTangulizi

Msukuma awavunja mbavu wabunge akiuliza swali kwa kimombo

MBUNGE wa Geita Mjini, Joseph Kasheku ‘Msukuma’, ameibua vicheko bungeni, huku baadhi ya wabunge wakimtunza fedha, kufuatia hatua yake ya kumuuliza swali Mhandisi...

Habari za Siasa

Ado Shaibu ‘ateka’ Bunge uchaguzi EALA

KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, ‘ameteka’ uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, kufuatia hotuba yake na...

Habari za Siasa

Dk. Mkumbo aibana Serikali kulipa fidia wanaopisha mradi wa mwendokasi

MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, ameitaka Serikali iwaruhusu wananchi 90 wa Ubungo Kiswani, waendelee na shughuli zao kama kawaida, baada ya kuchelewa...

Habari za Siasa

Mbunge: Polisi Liwale hawana jengo kwa miaka 47

MBUNGE wa Liwale, Zubeir Kuchauka (CCM), amesema Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, haina jengo la Kituo cha Polisi kwa muda miaka 47, badala...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina aibana Serikali bungeni fedha za makinikia, Spika atoa agizo

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, ameibana Serikali bungeni, kuhusu hatma ya kesi 1,097 za malimbikizo ya kodi yenye thamani ya Sh. 360 trilioni...

Habari za Siasa

Shaka: Muungano ni ngao ya Taifa

CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesema chama chochote cha cha siasa chenye shauku ya kuvunja Muungano au viongozi wake wakipania kuligawa Taifa huo si ushujaa...

Makala & Uchambuzi

Madiwani Moshi wadaiwa kuunda mtandao wa kula rushwa, kuruhusu ujenzi holela

NI KASHFA! Ndivyo unavyoweza kuelezea kile kilichojiri mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi mjini ambapo madiwani wa Kata nne za manispaa hiyo, wamedaiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi CCM Rukwa watwangana makonde

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa, Rainer Lukala, anadaiwa kumtwanga ngumi Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM)...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wailipua LATRA kwa kushindwa kusimamia Ubber, Bolt

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Sheria ndogo, Jasson Rweikiza amesema baadhi ya kanuni za sheria ndogo zilizotungwa na kutumiwa Mamlaka ya Udhibiti...

Habari za SiasaTangulizi

Zungu; Baada ya kupendekeza tozo miamala, ageukia intaneti

BAADA ya kufanikiwa kuishawishi Serikali kwa hoja yake ya kutaka kuwepo kwa tozo za miamala ili kuongeza mapato, Naibu Spika na Mbunge wa...

ElimuHabariTangulizi

Waziri Mkuu kuzindua kampasi ya CBE Mbeya Oktoba 8

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mwitikio wa wadau mbalimbali kuchangia ujenzi wa mabweni ya wasichana katika kampasi yake mkoani Mbeya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yafuta tozo za miamala ya kielektroniki

BAADA ya kilio cha zaidi ya mwaka mmoja kutoka kwa Watanzania na wadau mbalimbali, hatimaye Serikali imefuta tozo kwenye miamala ya kielektroniki uamuazi...

Habari za SiasaTangulizi

Panya road watikisa Bunge

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameiagiza serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti uhalifu unaoendelea kufanywa na vijana katika mikoa ya Dar...

Tangulizi

Mpina apinga uanzishwaji mahabusu za watuhumiwa dawa za kulevya

  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amepinga uanzishwaji wa mahabusu za watuhumiwa wa dawa za kulevya pamoja na masharti ya kumuweka mtu...

Habari za Siasa

Spika Tulia ataka mauaji wivu wa mapenzi yasiripotiwe

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ameshauri mauaji yanayosababishwa na watu wanaojichukulia sheria mkononi kutokana na sababu sambalimbali ikiwemo imani...

Makala & UchambuziTangulizi

Kosa la Mwigulu ni nini?

  KWA wanaofahamu jinsi serikali inavyofanya kazi, wanaofahamu kutungwa kwa muswada, kufikishwa kwa mswada huo bungeni na hadi kuwa sheria, hakuna shaka kuwa...

Habari za Siasa

Askofu Mwamalanga: Mawaziri wanatumia kamba vibaya

KAMATI ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe ya Maadili Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu Dini nchini imemshauri Rais Samia...

KimataifaTangulizi

Rais Ruto aanza na bandari Mombasa, mbolea, majaji

  SAA chache baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Kenya, Dk. William Ruto ameonekana kuanza kazi kwa kasi ya ajabu, baada...

Habari za SiasaTangulizi

Samia amuahidi Ruto ushirikiano, awapongeza Wakenya kwa ukomavu kidemokrasia

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemuahidi Rais mpya wa Tano wa Kenya, Dk. William Ruto kufanya kazi kwa kushirikiana kwa karibu katika...

Habari za SiasaTangulizi

Haya hapa mambo matatu waliyoteta Rais Samia, Dk. Ruto

SAA chache kabla ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Kenya, Dk. William Ruto ameteta na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambaye...

Tangulizi

LIVE: Ruto aapishwa rasmi kuwa Rais wa Tano Kenya

NI rasmi sasa Dk. William Samoei Ruto ndiye Rais wa Tano wa Jamhuri ya Kenya, baada ya kuapishwa leo Jumanne tarehe 13 Septemba,...

Habari za Siasa

Mbunge viti maalumu CCM aapishwa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson leo tarehe 13 Septemba, 2022 amemuapisha Tamima Haji Abass kuwa mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aungana na viongozi 20 kuapishwa kwa Dk. Ruto

MACHO yote leo tarehe 13 Septemba, 2022 yanaelekezwa katika uwanja wa Kimataifa wa Moi, Kasarani Nairobi ambapo ndipo Dk. William Ruto ataapishwa kuwa...

KimataifaTangulizi

Mfalme Charles III ahutubia bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza

Mfalme wa Uingereza Charles amelihutubia bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza kama kiongozi wa ufalme. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Alitoa hotuba...

KimataifaTangulizi

Ruto, Kenyatta wakutana mara ya kwanza baada ya uchaguzi

RAIS mteule William Ruto leo Jumatatu tarehe 12 Septemba, 2022, amekutana na rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Rais Jijini Nairobi....

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yataka CAG kufanya ukaguzi maalumu fedha za tozo

CHAMA cha ACT Wazalendo, kimeitaka Serikali kupitia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kufanya ukaguzi maalumu wa matumizi ya fedha za tozo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea CUF bunge la EALA wachezeana rafu

WAGOMBEA Ubunge wa Afrika Mashariki kupitia Chama cha Wananchi CUF wamedaiwa kuchezeana rafu baada ya baadhi yao kujipenyeza kwenye makundi ya wabunge na...

Habari za Siasa

Lipumba ateua viongozi wapya CUF

MWENYEKITI wa Chama Cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba  amemteua Rashid Sudi Khamis, kuwa Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tanzania inajitosheleza kwa chakula

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wananchi uwepo wa chakula cha kutosha licha ya mavuno hafifu katika msimu uliopita. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

error: Content is protected !!