Friday , 19 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

RIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) ni kwa akili ya wajuzi tu wa mahesabu, wasio na...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

RIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, imebaini Mfuko wa Taifa...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

VIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19 nchini, vinadaiwa kuingia mitini na fedha za mikopo kiasi cha Sh. 2.6 bilioni....

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

MASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni ya fedha katika mwaka wa fedha ulioisha wa 2022/23. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, imeibua madudu katika halmashauri...

Habari za Siasa

Alichokisema Rais Samia baada ya kupokea ripoti ya CAG, TAKUKURU

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake itafanyia kazi mambo yaliyoibuliwa katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi usambazaji wa mitungi ya gesi takribani 10,000 iliyotolewa na Kampuni ya Taifa Gas...

Habari za SiasaTangulizi

2 wasimamishwa DART kwa kugoma kusafirisha abiria

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umewasimamisha kazi watumishi wawili ambao ni Shabani Kajiru – Msimamizi wa Kituo cha Kivukoni na Brown Mlawa...

Habari za SiasaTangulizi

Deni la Serikali laongezeka kwa trilioni 11

DENI la Serikali imeongezeka kwa takribani Sh. 11 trilioni sawa na asilimia 15, kutoka Sh. 71.31 trilioni (2021/22) hadi kufikia Sh. 82.25 trilioni...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Mwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela na mahakama ya Marekani kwa kuongoza mtandao wa kimataifa wa ulanguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Mapya yaibuka wamasai waliohamishwa Ngorongoro kwenda Msomera

MAPYA yameibuka kuhusu zoezi la Serikali kuwahamisha kwa hiari wamasai waliokuwa wanaishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kwenda maeneo ya Msomera mkoani Tanga,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba aomba msaada kuzika miili ya familia yake iliyofunga bila kula kuonana na Mungu

WAKATI Mamlaka nchini Kenya, ikiendelea kukabidhi miili ya watu waliofariki kutokana na njaa baada ya kupokea maelekezo ya mchungaji mwenye utata Paul McKenzie,...

Habari za Siasa

Rais Samia ampongeza mpinzani aliyeshinda urais Senegal

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza mwanasiasa wa upinzani, Bassirou Diomaye Faye, kwa kufanikiwa kushinda kiti cha urais wa Senegal, katika...

Habari za Siasa

Ushindi wa mpinzani Senegal wakoleza moto kwa wapinzani Tanzania

USHINDI wa aliyekuwa mgombea  urais wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ambaye amevunja rekodi ya kuwa Rais mwenye umri mdogo zaidi barani...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda awapopoa wanaomtofautisha Magufuli na Samia

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amewataka viongozi wa chama hicho na watu wanaojaribu kumtenganisha Rais Dk....

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Mgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais baada ya mpinzani wake mkuu kutoka chama tawala kukubali kushindwa, kufuatia uchaguzi uliofanyika...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Miaka 28 watumishi UDSM yaliwa na nzige, madumadu

GEORGE Francis anasikitika; anatembea akiwa na mawazo mengi, hajui la kufanya. Kinachomfanya awe katika hali hiyo ni baada ya kujikuta miaka 18 aliyotumika...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nimekumbuka Samia wa miaka 3 iliyopita

WAKATI naandaa makala ya safu hii wiki hii, nimejikuta nakumbuka kuwa leo (19 Machi 2023), ni miaka mitatu kamili tangu Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Kifo cha Magufuli: Mabeyo ‘akaanga’ wenzake

NANI aliyetaka kupindisha Katiba, ili aliyekuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, asiapishwe kurithi kiti cha urais baada ya John Magufuli, kufariki dunia,...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Hakuna fedha za Rais

KUNA mambo machache mazuri ya kujifunza kutoka kwa Margaret Thatcher, waziri mkuu wa Uingereza kuanzia mwaka 1979 hadi 1990. Baada ya kusumbuliwa na...

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

HATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea na kibarua chake nchini itajulikana hivi karibuni, wakati Shirikisho la Mpira wa Miguu...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Matinyi aanika mafanikio sekta ya utalii miaka mitatu ya Samia, Tz kinara Afrika

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan, utalii ndio sekta inayoongoza...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro kuhusu ukaguzi wa pasipoti...

Habari za Siasa

Silaa atoa maagizo 3 matumizi ya ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amepiga marufuku kubadili matumizi ya eneo kwa kutumia mabango ya vitambaa na badala...

Habari za SiasaTangulizi

Pato la kila Mtz dola 1,200, TRA yavunja rekodi

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema Tanzania imeendelea kuwa katika kundi la nchi zenye uchumi...

Tangulizi

Nondo, wenzie 4 kuburuzwa mahakamani

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo Abdul Nondo na wenzake wanne huenda wakafikishwa mahakamani tarehe 25 Machi kwa tuhuma za...

Habari za Siasa

CCM yazoa kata zote 23 uchaguzi mdogo wa udiwani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kupata ushindi katika uchaguzi wa marudio uliofanyika tarehe 20 Machi mwaka huu, kwenye kata  zote 23 za Tanzania...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Samia asikia kilio cha wachimbaji wadogo Songwe, leseni 37 zagawiwa

Serikali ya Awamu Sita, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza ombi la siku nyingi la wachimbaji wadogo wilayani Songwe kwa...

Habari za Siasa

“Bila ya amani, hakuna mtangamano na maendeleo”

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimetakiwa kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa nchi zao zinakuwa na amani, Umoja na...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lamkana Mbowe nyongeza ya mishahara

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekanusha madai ya taarifa kwamba mwaka jana wabunge wamejiongezea mishahara kutoka Sh 13 milioni hadi Sh...

Habari za Siasa

Mavunde aagiza kufutwa leseni 2,648 za utafiti wa madini

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amemuelekeza Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, kufuta jumla ya maombi na leseni za utafiti 2,648 ili kupisha...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango atishia kujiuzulu

MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango ametishia kujiuzulu endapo Wizara ya Maji, itashindwa kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wilayani Same, Mkoa wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtanzania adaiwa kuuawa Sauz akidai pesa, Balozi afunguka

MTANZANIA aliyefahamika kwa jina Michael (Mike), anadaiwa kuuawa na rafiki yake aliyemfuata Afrika Kusini, kumdai pesa zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Dk. Mpango kumwakilisha Samia katika mkutano wa dharura wa SADC, Zambia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa...

Habari za Siasa

Dk. Nchimbi ampigia chapuo Samia kwa vyama vya ukombozi Afrika

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel Nchimbi, amesema Rais Samia ana dhamira ya dhati katika kuimarisha na kuboresha uhusiano wa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yatangaza baraza mawaziri kivuli

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetangaza baraza lake kivuli la mawaziri litakalobeba majukumu ya kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Baraza...

AfyaTangulizi

Wanasayansi wagundua teknolojia ya kunyofoa VVU kutoka kwenye seli

TIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini Uholanzi imesema imefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa chembechembe seli zilizoambukizwa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: CDF Mabeyo amepasua masikio yetu

MJADALA kuhusu safari ya mwisho ya maisha ya Hayati Rais John Magufuli umeendelea kupamba moto baada ya Askofu Dk. Benson Bagonza wa Kanisa...

Habari za Siasa

10 matatani kwa kutorosha madini ya bil 1.5

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Kikosi kazi cha madini Taifa linawashikilia watuhumiwa 10 wote wakazi wa Ilomba Jijini Mbeya...

Habari za Siasa

Wagombea 127 wa udiwani kutoka vyama 18 kuchaguliwa kesho

Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa kura katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara unaotarajiwa...

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

SERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baharini ambapo imeanza kutangaza utoaji wa leseni za uchimbaji na vitalu...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

WIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliyeingia madarakani Machi 2021,...

Habari za Siasa

Mbozi walilia kuwa manispaa, majimbo 3

HALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake ya kuomba kupandishwa hadhi kuwa manispaa pamoja na kupatikana majimbo matatu, kwamba ni...

Habari za Siasa

Wabunge waitaka TPDC kuongeza kasi ya kuunganisha wateja gesi asilia

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Maendeleo ya petrol nchini (TPDC), kuongeza kasi ya kuunganisha wateja...

Habari za SiasaTangulizi

CDF Mabeyo: Magufuli alijua anakufa

  ALIYEKUWA Mkuu wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, amesema Hayati Dk. John Magufuli, alijua kama siku zake za kuishi duniani zimekisha....

AfyaTangulizi

Serikali yafafanua kuondolewa dawa 178 kitita cha NHIF

SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...

Habari za SiasaKimataifa

Odinga avuka kihunzi cha kwanza uenyekiti AUC

AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika (AUC) imepata nguvu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua, amtumbua Kamishna Ngorongoro

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali ikiwamo utenguzi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo...

Habari za Siasa

CUF: ACT inakurupuka kujitoa SUK

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Maftaha Nachuma amesema kuwa Serikali ya umoja wa Kitaifa (SUK)-imetokana na maridhiano ya chama chao (CUF)...

error: Content is protected !!