Categorizing posts based on type of post
TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2024RIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) ni kwa akili ya wajuzi tu wa mahesabu, wasio na...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2024RIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, imebaini Mfuko wa Taifa...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2024VIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19 nchini, vinadaiwa kuingia mitini na fedha za mikopo kiasi cha Sh. 2.6 bilioni....
By Mwandishi WetuMarch 28, 2024MASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni ya fedha katika mwaka wa fedha ulioisha wa 2022/23. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeMarch 28, 2024RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, imeibua madudu katika halmashauri...
By Regina MkondeMarch 28, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake itafanyia kazi mambo yaliyoibuliwa katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...
By Regina MkondeMarch 28, 2024Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi usambazaji wa mitungi ya gesi takribani 10,000 iliyotolewa na Kampuni ya Taifa Gas...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2024Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umewasimamisha kazi watumishi wawili ambao ni Shabani Kajiru – Msimamizi wa Kituo cha Kivukoni na Brown Mlawa...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2024DENI la Serikali imeongezeka kwa takribani Sh. 11 trilioni sawa na asilimia 15, kutoka Sh. 71.31 trilioni (2021/22) hadi kufikia Sh. 82.25 trilioni...
By Regina MkondeMarch 28, 2024Mwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela na mahakama ya Marekani kwa kuongoza mtandao wa kimataifa wa ulanguzi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2024MAPYA yameibuka kuhusu zoezi la Serikali kuwahamisha kwa hiari wamasai waliokuwa wanaishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kwenda maeneo ya Msomera mkoani Tanga,...
By Regina MkondeMarch 27, 2024WAKATI Mamlaka nchini Kenya, ikiendelea kukabidhi miili ya watu waliofariki kutokana na njaa baada ya kupokea maelekezo ya mchungaji mwenye utata Paul McKenzie,...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2024RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza mwanasiasa wa upinzani, Bassirou Diomaye Faye, kwa kufanikiwa kushinda kiti cha urais wa Senegal, katika...
By Regina MkondeMarch 27, 2024USHINDI wa aliyekuwa mgombea urais wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ambaye amevunja rekodi ya kuwa Rais mwenye umri mdogo zaidi barani...
By Regina MkondeMarch 26, 2024KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amewataka viongozi wa chama hicho na watu wanaojaribu kumtenganisha Rais Dk....
By Regina MkondeMarch 26, 2024Mgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais baada ya mpinzani wake mkuu kutoka chama tawala kukubali kushindwa, kufuatia uchaguzi uliofanyika...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2024GEORGE Francis anasikitika; anatembea akiwa na mawazo mengi, hajui la kufanya. Kinachomfanya awe katika hali hiyo ni baada ya kujikuta miaka 18 aliyotumika...
By Regina MkondeMarch 25, 2024WAKATI naandaa makala ya safu hii wiki hii, nimejikuta nakumbuka kuwa leo (19 Machi 2023), ni miaka mitatu kamili tangu Rais Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2024NANI aliyetaka kupindisha Katiba, ili aliyekuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, asiapishwe kurithi kiti cha urais baada ya John Magufuli, kufariki dunia,...
By Saed KubeneaMarch 25, 2024KUNA mambo machache mazuri ya kujifunza kutoka kwa Margaret Thatcher, waziri mkuu wa Uingereza kuanzia mwaka 1979 hadi 1990. Baada ya kusumbuliwa na...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2024HATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea na kibarua chake nchini itajulikana hivi karibuni, wakati Shirikisho la Mpira wa Miguu...
By Masalu ErastoMarch 25, 2024MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan, utalii ndio sekta inayoongoza...
By Gabriel MushiMarch 25, 2024Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro kuhusu ukaguzi wa pasipoti...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amepiga marufuku kubadili matumizi ya eneo kwa kutumia mabango ya vitambaa na badala...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema Tanzania imeendelea kuwa katika kundi la nchi zenye uchumi...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo Abdul Nondo na wenzake wanne huenda wakafikishwa mahakamani tarehe 25 Machi kwa tuhuma za...
By Faki SosiMarch 23, 2024CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kupata ushindi katika uchaguzi wa marudio uliofanyika tarehe 20 Machi mwaka huu, kwenye kata zote 23 za Tanzania...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Serikali ya Awamu Sita, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza ombi la siku nyingi la wachimbaji wadogo wilayani Songwe kwa...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimetakiwa kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa nchi zao zinakuwa na amani, Umoja na...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekanusha madai ya taarifa kwamba mwaka jana wabunge wamejiongezea mishahara kutoka Sh 13 milioni hadi Sh...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amemuelekeza Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, kufuta jumla ya maombi na leseni za utafiti 2,648 ili kupisha...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2024MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango ametishia kujiuzulu endapo Wizara ya Maji, itashindwa kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wilayani Same, Mkoa wa...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2024MTANZANIA aliyefahamika kwa jina Michael (Mike), anadaiwa kuuawa na rafiki yake aliyemfuata Afrika Kusini, kumdai pesa zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel Nchimbi, amesema Rais Samia ana dhamira ya dhati katika kuimarisha na kuboresha uhusiano wa...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetangaza baraza lake kivuli la mawaziri litakalobeba majukumu ya kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Baraza...
By Regina MkondeMarch 20, 2024TIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini Uholanzi imesema imefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa chembechembe seli zilizoambukizwa...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024MJADALA kuhusu safari ya mwisho ya maisha ya Hayati Rais John Magufuli umeendelea kupamba moto baada ya Askofu Dk. Benson Bagonza wa Kanisa...
By Gabriel MushiMarch 19, 2024Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Kikosi kazi cha madini Taifa linawashikilia watuhumiwa 10 wote wakazi wa Ilomba Jijini Mbeya...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa kura katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara unaotarajiwa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024SERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baharini ambapo imeanza kutangaza utoaji wa leseni za uchimbaji na vitalu...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024WIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliyeingia madarakani Machi 2021,...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024HALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake ya kuomba kupandishwa hadhi kuwa manispaa pamoja na kupatikana majimbo matatu, kwamba ni...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Maendeleo ya petrol nchini (TPDC), kuongeza kasi ya kuunganisha wateja...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024ALIYEKUWA Mkuu wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, amesema Hayati Dk. John Magufuli, alijua kama siku zake za kuishi duniani zimekisha....
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika (AUC) imepata nguvu...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali ikiwamo utenguzi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Maftaha Nachuma amesema kuwa Serikali ya umoja wa Kitaifa (SUK)-imetokana na maridhiano ya chama chao (CUF)...
By Faki SosiMarch 15, 2024