Saturday , 20 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaua 15 ndani ya wiki moja

WATU 15 wamefariki dunia kuanzia tarehe 1 hadi 7 Aprili 2024, kwa kusombwa na maji ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini...

Habari za Siasa

Mbunge Tarimo ataka TFDA irejeshwe

Mbunge wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo (CCM) ameitaka wizara ya afya kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na kamati mbalimbali za Bunge kwamba iliyokuwa Mamlaka ya...

Habari za Siasa

Kabati aikaba koo Serikali ubovu wa barabara Kilolo

Serikali kupitia wakala ya barabara za vijijini na mijini (TARURA) mwaka wa fedha 2023/2024 imetenga kiasi cha Sh 61 milioni kwa kazi za...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

SERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii, kwa kuanza kutoa mafunzo ya wahudumu wa afya ngazi ya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aainisha mikakati kumaliza migogoro Mirerani

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali itahakikisha inakuja na suluhisho la migogoro baina ya wachimbaji inayojitokeza katika eneo la machimbo ya madini...

Habari za SiasaTangulizi

DC Rufiji atahadharisha mafuriko kuongezeka, ACT wataka wananchi wafidiwe

MKUU wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele ametoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi karibu na maeneo yalliyokumbwa na mafuriko ya maji yaliyofunguliwa kutoka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Silaa atoa siku 90 kwa Katibu mkuu ardhi kupima eneo la Olmoti

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaaa amemuelekezw Katibu Mkuu wa wizara yake kuhakikisha Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi na...

BiasharaHabari za Siasa

Kijaji: Serikali imedhamiria kuboresha mazingira ya biashara

Serikali ya Awamu ya Sita imedhamiria kuboresha na kuimarisha mazingira ya biashara nchini ili kuendana na azma ya kufanya mageuzi ya kiuchumi na...

Habari za SiasaTangulizi

RC Pemba akanusha Samia kugawa sadaka ya Sh 5,000

MKUU wa Mkoa Kusini Pemba, Amour Hamad Salehe, amekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa sadaka ya...

Habari za Siasa

Marekani kuwafunda wanasiasa uwajibikaji na uwazi, ACT-Wazalendo kunufaika

KATIBU MKuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, anatarajiwa kushiki mafunzo kuhusu masuala ya uwazi na uwajibikaji, yaliyoandaliwa na Serikali ya Marekani kupitia...

MichezoTangulizi

Samia aipa tano Yanga

RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga licha ya kutolewa na Mamelodi Sundowns katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya ligi...

Habari za Siasa

BAVICHA: Samia amezima maoni ya Watz kwa kusaini sheria uchaguzi

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA),  limelaani uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kusaini miswada ya sheria za...

Habari za Siasa

Sima ataka ujenzi soko la kisasa Singida kutoathiri wafanyabiashara

MBUNGE wa Singida Mjini, Mussa Sima ameitaka Serikali kuweka mipango imara itakayohakikisha shughuli za wafanyabiashara wanaotumia Soko Kuu la Ipembe haziathiri wakati ujenzi...

Habari za Siasa

Shigongo ataka udhibiti wa mamba sehemu za kuchota maji

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo (CCM), ameitaka Serikali kutoa elimu kwa jamii kuhusu udhibiti wa mamba pamoja na kuendelea kujenga uzio katika sehemu...

Habari za Siasa

CCM ya Dk. Nchimbi yaanika mikakati ya kuwaangamiza wapinzani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza mikakati ya kupata ushindi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa mwakani, huku...

Habari za Siasa

Prof. Ndakidemi aibana Serikali kuongezeka kina Bahari ya Hindi

Waziri wa nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Seleman Jafo amesema kina cha maji ya Bahari ya hindi hapa Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

Makalla: CCM tutaendelea kushirikiana na Makonda

KATIBU mpya wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amesema chama hicho kitaendelea kumpa ushirikiano mtangulizi wake, Paul Makonda,...

Habari za Siasa

Samia amtumbua Mkurugenzi Sumbawanga

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi uteuzi wa Catherine Michael Mashalla, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Mchengerwa atoa mil 40 kusaidia waliokumbwa na mafuriko Rufiji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ambaye pia ni Mbunge wa Rufiji mkoani Pwani, Mohamed Mchengerwa,...

Habari za Siasa

Mavunde ateta na Mwenyekiti wa bodi EITI

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amekutana na kufanya kikao kifupi na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI Rt. Helen Clark katika Ofisi Ndogo za...

Habari za Siasa

Vigogo NCCR -Mageuzi, wakili kizimbani kwa kugushi nyaraka za mahakama

VIGOGO wawili waandamizi katika chama cha NCCR- Mageuzi na mwanasheria mmoja, wamepandishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni na kusomewa mashtaka 17 ya...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rai ya Majaliwa kwa Watanzania

TAREHE 2 Aprili 2024, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alizindua mbio za Mwenge wa Uhuru mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Kutokana na umuhimu wa historia...

Habari za Siasa

Samia aagiza mita za maji ziwe kama za luku

WIZARA ya Maji, imeagizwa kukamilisha zoezi la kubadilisha mita za maji kutoka zile zinazotumika sasa za malipo baada ya matumizi na kuziweka mpya...

Habari za Siasa

Rais Samia atoa maagizo upatikanaji katiba mpya

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameipa maagizo Wizara ya Katiba na Sheria, ikafanyie kazi madai ya upatikanaji katiba mpya. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Makonda aliichemsha CCM

RAIS Daktari Samia Suluhu Hassan, amesema aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, alikiamsha chama hicho kutoka...

Habari za Siasa

Rais Samia awakabidhi mawaziri zigo la ripoti ya CAG

RAIS Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri wake wakafanyie kazi ripoti ya ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba ajitosa sakata la mauaji Palestina

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amepanga kushiriki maandamano ya amani yaliyoandaliwa na waumini wa kiislam dhehebu la Shia, kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huku kukiwa na uchunguzi wa tuhuma za rushwa wakati akiwa waziri...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mama aingukia Serikali akidai kutishiwa maisha kisa kupigania haki yake

BERTHA Mabula Kinungu, mama mjasiriamali mkoani Shinyanga, ameiangukia Serikali akiiomba iingilie kati ili  alipwe fedha zake kiasi cha Sh. 295 milioni, anazodai amedhulumiliwa...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mabosi wa mahakama

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Sylvester Joseph Kainda kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Makalla amrithi Makonda, Hapi arejea

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri hiyo Taifa kwa kuwachagua wajumbe akiwemo Amos Gabriel Makalla...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Faye amteua aliyekuwa mfungwa mwenzie kuwa waziri mkuu

Rais mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko kama Waziri Mkuu saa chache baada ya kuapishwa kuwa mkuu wa nchi hiyo...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

SHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika kabla ya mwisho wa mwezi Aprili 2024, baada ya vifungu muhimu kuwasilishwa katika...

Habari za Siasa

Tume kudhibiti vigogo kuchafuliwa mitandaoni yazinduliwa

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, yenye jukumu la kudhibiti uvujaji wa taarifa za faragha za watu....

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amesema katika mwaka huu wa fedha unaoishia 2023/2024, Serikali imepanga...

Habari za Siasa

Chalamila: Tumejipanga kuzuia vurugu za uchaguzi Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema wamejipanga kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za SiasaKimataifa

Mahakama ya katiba Uganda kuamua hatima ya mashoga

Mahakama ya katiba ya Uganda leo Jumatano inatarajiwa kutoa uamuzi juu ya ombi la kutaka kubatilisha Sheria kali ya Kupambana na Ushoga nchini...

BiasharaTangulizi

Bei ya mafuta yapaa kwa mwezi Aprili

BEI za mafuta zimeongezeka kwa mwezi Aprili 2024, ikilinganishwa na bei elekezi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Bangi mpya yatua nchini, Majaliwa aonya watumiaji wanakuwa vichaa

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameonya uwepo wa aina nyingine ya bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi inayofahamika kwa jina la ‘Cha Arusha’ pamoja...

Habari za Siasa

Mzee Makamba aichambua CCM ya Samia

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Yusuph Makamba, amesema chama hicho chini ya uongozi wa mwenyekiti wake taifa, Dk. Samia...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia asaini miswada sheria za uchaguzi licha ya kelele za wapinzani

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesaini miswada ya sheria za uchaguzi kwa ajili ya kuwa sheria kamili na kuanza kutumika, licha ya kelele...

Habari MchanganyikoTangulizi

12 Z’bar walidakwa kwa bangi sio kula hadharani

JESHI la Polisi visiwani Zanzibar, limesema halijawakamata watu 12 kwa sababu ya kula hadharani wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, bali...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda ang’oka CCM

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemtea Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha....

Habari za SiasaTangulizi

Mkeka wa Samia: Ndalichako, Makala nje, Migiro, Ndejembi waula

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali wakiwamo wakuu wa wilaya, mikoa,...

Habari za Siasa

Serikali Z’bar yalaani ukamataji, unyanyasaji kwa wanaokula hadharani wakati wa mfungo

SERIKALI ya Zanzibar, imelaani vitendo vya baadhi ya raia kunyanyaswa kwa madai ya kukiuka taratibu za imani ya dini ya kiislam wakati wa...

Habari za Siasa

Kigogo ACT-Wazalendo auawa Zanzibar, Polisi wataja chanzo

ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Jimbo la Chaani, visiwani Zanzibar, Ali Bakari Ali (62), amefariki dunia akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mnazi...

Habari za SiasaTangulizi

Ole Sendeka aeleza wasiojulikana walivyommiminia risasi

MBUNGE wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka, ameelezea namna watu wasiojulikana walivyoshambulia kwa risasi gari lake akiwa njiani kurudi jimboni kwake, akisema kabla...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi waanza uchunguzi tukio la Olesendeka kushambuliwa

JESHI la Polisi nchini, limesema limeanza uchunguzi wa tukio la gari la Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka, kushambuliwa na risasi na...

Habari za SiasaTangulizi

Gari la Mbunge Ole Sendeka lashambuliwa kwa risasi

GARI la mbunge wa Simanjiro (CCM) mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, limeshambuliwa kwa risasi eneo la Ndaleta, wilayani Kiteto wakati akiwa na dereva...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa ajili ya kuchunguza mauaji ya raia yanayodaiwa kufanywa na baadhi ya askari polisi...

error: Content is protected !!