Categorizing posts based on type of post
WATU 15 wamefariki dunia kuanzia tarehe 1 hadi 7 Aprili 2024, kwa kusombwa na maji ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini...
By Mwandishi WetuApril 8, 2024Mbunge wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo (CCM) ameitaka wizara ya afya kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na kamati mbalimbali za Bunge kwamba iliyokuwa Mamlaka ya...
By Gabriel MushiApril 8, 2024Serikali kupitia wakala ya barabara za vijijini na mijini (TARURA) mwaka wa fedha 2023/2024 imetenga kiasi cha Sh 61 milioni kwa kazi za...
By Gabriel MushiApril 8, 2024SERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii, kwa kuanza kutoa mafunzo ya wahudumu wa afya ngazi ya...
By Regina MkondeApril 8, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali itahakikisha inakuja na suluhisho la migogoro baina ya wachimbaji inayojitokeza katika eneo la machimbo ya madini...
By Gabriel MushiApril 7, 2024MKUU wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele ametoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi karibu na maeneo yalliyokumbwa na mafuriko ya maji yaliyofunguliwa kutoka...
By Faki SosiApril 7, 2024Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaaa amemuelekezw Katibu Mkuu wa wizara yake kuhakikisha Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi na...
By Gabriel MushiApril 7, 2024Serikali ya Awamu ya Sita imedhamiria kuboresha na kuimarisha mazingira ya biashara nchini ili kuendana na azma ya kufanya mageuzi ya kiuchumi na...
By Mwandishi WetuApril 6, 2024MKUU wa Mkoa Kusini Pemba, Amour Hamad Salehe, amekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa sadaka ya...
By Mwandishi WetuApril 6, 2024KATIBU MKuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, anatarajiwa kushiki mafunzo kuhusu masuala ya uwazi na uwajibikaji, yaliyoandaliwa na Serikali ya Marekani kupitia...
By Mwandishi WetuApril 6, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga licha ya kutolewa na Mamelodi Sundowns katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya ligi...
By Gabriel MushiApril 6, 2024BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limelaani uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kusaini miswada ya sheria za...
By Mwandishi WetuApril 5, 2024MBUNGE wa Singida Mjini, Mussa Sima ameitaka Serikali kuweka mipango imara itakayohakikisha shughuli za wafanyabiashara wanaotumia Soko Kuu la Ipembe haziathiri wakati ujenzi...
By Gabriel MushiApril 5, 2024Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo (CCM), ameitaka Serikali kutoa elimu kwa jamii kuhusu udhibiti wa mamba pamoja na kuendelea kujenga uzio katika sehemu...
By Gabriel MushiApril 5, 2024CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza mikakati ya kupata ushindi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa mwakani, huku...
By Mwandishi WetuApril 5, 2024Waziri wa nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Seleman Jafo amesema kina cha maji ya Bahari ya hindi hapa Tanzania...
By Mwandishi WetuApril 5, 2024KATIBU mpya wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amesema chama hicho kitaendelea kumpa ushirikiano mtangulizi wake, Paul Makonda,...
By Regina MkondeApril 5, 2024Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi uteuzi wa Catherine Michael Mashalla, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ambaye pia ni Mbunge wa Rufiji mkoani Pwani, Mohamed Mchengerwa,...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amekutana na kufanya kikao kifupi na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI Rt. Helen Clark katika Ofisi Ndogo za...
By Gabriel MushiApril 4, 2024VIGOGO wawili waandamizi katika chama cha NCCR- Mageuzi na mwanasheria mmoja, wamepandishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni na kusomewa mashtaka 17 ya...
By Kelvin MwaipunguApril 4, 2024TAREHE 2 Aprili 2024, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alizindua mbio za Mwenge wa Uhuru mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Kutokana na umuhimu wa historia...
By Gabriel MushiApril 4, 2024WIZARA ya Maji, imeagizwa kukamilisha zoezi la kubadilisha mita za maji kutoka zile zinazotumika sasa za malipo baada ya matumizi na kuziweka mpya...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan, ameipa maagizo Wizara ya Katiba na Sheria, ikafanyie kazi madai ya upatikanaji katiba mpya. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024RAIS Daktari Samia Suluhu Hassan, amesema aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, alikiamsha chama hicho kutoka...
By Regina MkondeApril 4, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri wake wakafanyie kazi ripoti ya ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa...
By Regina MkondeApril 4, 2024MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amepanga kushiriki maandamano ya amani yaliyoandaliwa na waumini wa kiislam dhehebu la Shia, kwa...
By Regina MkondeApril 4, 2024Spika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huku kukiwa na uchunguzi wa tuhuma za rushwa wakati akiwa waziri...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024BERTHA Mabula Kinungu, mama mjasiriamali mkoani Shinyanga, ameiangukia Serikali akiiomba iingilie kati ili alipwe fedha zake kiasi cha Sh. 295 milioni, anazodai amedhulumiliwa...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Sylvester Joseph Kainda kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri hiyo Taifa kwa kuwachagua wajumbe akiwemo Amos Gabriel Makalla...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024Rais mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko kama Waziri Mkuu saa chache baada ya kuapishwa kuwa mkuu wa nchi hiyo...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024SHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika kabla ya mwisho wa mwezi Aprili 2024, baada ya vifungu muhimu kuwasilishwa katika...
By Regina MkondeApril 3, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, yenye jukumu la kudhibiti uvujaji wa taarifa za faragha za watu....
By Mwandishi WetuApril 3, 2024Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amesema katika mwaka huu wa fedha unaoishia 2023/2024, Serikali imepanga...
By Gabriel MushiApril 3, 2024MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema wamejipanga kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa...
By Regina MkondeApril 3, 2024Mahakama ya katiba ya Uganda leo Jumatano inatarajiwa kutoa uamuzi juu ya ombi la kutaka kubatilisha Sheria kali ya Kupambana na Ushoga nchini...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024BEI za mafuta zimeongezeka kwa mwezi Aprili 2024, ikilinganishwa na bei elekezi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji...
By Regina MkondeApril 3, 2024WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameonya uwepo wa aina nyingine ya bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi inayofahamika kwa jina la ‘Cha Arusha’ pamoja...
By Mwandishi WetuApril 2, 2024ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Yusuph Makamba, amesema chama hicho chini ya uongozi wa mwenyekiti wake taifa, Dk. Samia...
By Regina MkondeApril 2, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesaini miswada ya sheria za uchaguzi kwa ajili ya kuwa sheria kamili na kuanza kutumika, licha ya kelele...
By Regina MkondeApril 2, 2024JESHI la Polisi visiwani Zanzibar, limesema halijawakamata watu 12 kwa sababu ya kula hadharani wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, bali...
By Mwandishi WetuApril 2, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemtea Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha....
By Mwandishi WetuMarch 31, 2024Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali wakiwamo wakuu wa wilaya, mikoa,...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2024SERIKALI ya Zanzibar, imelaani vitendo vya baadhi ya raia kunyanyaswa kwa madai ya kukiuka taratibu za imani ya dini ya kiislam wakati wa...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2024ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Jimbo la Chaani, visiwani Zanzibar, Ali Bakari Ali (62), amefariki dunia akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mnazi...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2024MBUNGE wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka, ameelezea namna watu wasiojulikana walivyoshambulia kwa risasi gari lake akiwa njiani kurudi jimboni kwake, akisema kabla...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2024JESHI la Polisi nchini, limesema limeanza uchunguzi wa tukio la gari la Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka, kushambuliwa na risasi na...
By Regina MkondeMarch 30, 2024GARI la mbunge wa Simanjiro (CCM) mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, limeshambuliwa kwa risasi eneo la Ndaleta, wilayani Kiteto wakati akiwa na dereva...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa ajili ya kuchunguza mauaji ya raia yanayodaiwa kufanywa na baadhi ya askari polisi...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2024