Thursday , 28 March 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

JIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi wa Barabara ya Musoma-Makojo-Busekera, unaanza baraka baada ya mwaka mpya wa fedha (2023/24),...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa Serikali na mjadala unaondelea Bunge kuhusu ushirikishwaji wa sekta binafsi kwenye ujenzi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

6 wadakwa tuhuma za mauaji ya daktari Tarime, mfanyakazi GGML

HATIMAYE Jeshi la Polisi nchini limewadaka watuhumiwa watatu wa mauaji ya Dk. Isack Daniel Athumani aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za simu kubuni teknolojia ya gharama nafuu itakayowezesha kila Mtanzania kupata huduma ya mawasiliano...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aibana Halmashauri ya Musoma

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, kutumia mapato yake ya ndani kukamilisha miradi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mwenyekiti, wajumbe bodi ya ushauri wa mapato ya mafuta na gesi

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa amemteua Mussa Mohamed Makame, Mkurugenzi Mtendaji, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwa Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Daktari: Membe hajapewa sumu

  DAKTARI wa aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje nchini Bernard Membe, ameondoa utata kuhusu ya kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe na...

Habari za Siasa

Wanakijiji Kinyang’erere waepukana na adha ya usafiri

  WANAKIJIJI zaidi ya 4,000 wa Kinyang’erere, Musoma Vijijini mkoani Mara, wameepukana na adha ya usafiri baada ya Serikali kujenga barabara inayowaunganisha katika...

Habari za Siasa

Membe kuzikwa Jumanne ijayo

  JAJI Mustapha Ismail Kambona, msemaji wa familia ya marehemu Bernard Kamilius Membe, aliyeaga dunia mapema leo asubuhi, ametangaza kuwa mazishi ya mwanasiasa...

Habari za Siasa

Tanzania, Uingereza zadhamiria kuimarisha biashara na uwekezaji

TANZANIA imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha ushirikiano wake na Serikali ya Uingereza katika sekta za biashara pamoja na uwekezaji. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Pigo jingine: Bernard Membe afariki dunia

  ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, katika utawala wa Rais Jakaya Kikwete, Bernard Kamilius Membe, amefariki dunia, asubuhi...

Habari za Siasa

Rais Samia amlilia Membe

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemlilia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, aliyefariki Dunia ghafla jijini Dar es Salaam. Anaripoti...

Habari za Siasa

Balozi Shelukindo ateta na mabalozi China, Italia, Denmark…

KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Samwel Shelukindo amekutana na kuzungumza na mabalozi wa China,...

Habari za Siasa

BAWACHA waandamana, polisi wawapa ulinzi mzito

  HATIMAYE Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) leo Alhamisi wamekusanyika kwenye viwanja vya posta ya zamani jijini Dar es salaam na kuandamana...

Habari za Siasa

Lissu ashuhudia gari lake polisi, akanusha uvumi wa kuzuiwa kuliona, ataka waliompiga risasi watafutwe

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameliomba jeshi la polisi nchini kuendelea kumsaka aliyehusika na shambulio dhidi...

Habari za Siasa

Waitara alia tena, wabunge wamcheka… atoka bungeni

  MBUNGE wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) leo Jumanne ameangua tena kilio bungeni na kutoka nje ya ukumbi wa mhimili huo kwa...

Habari za Siasa

Mabadiliko sheria ya uchaguzi, vyama vya siasa kutua bungeni mwaka huu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama amesema kabla ya mwaka huu 2023 kumalizika, Serikali itakuwa imepeleka...

Habari za Siasa

Lissu: Chadema haijawahi kuridhiana na Serikali

CHAMA Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeiomba Serikali ianze kutekeleza dhana ya maridhiano mapema kabla ya kubandika kwenye matangazo kuwa wameridhiana  kumbe si...

Habari za Siasa

ACT wazalendo wampa tano Samia kufufua mchakato Katiba mpya

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeunga mkono na kuikaribisha kwa mikono miwili hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kumuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa...

Habari za Siasa

Katiba mpya hiyoo! Samia aagiza Msajili kuitisha kikao maalumu

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuitisha kikao maalum cha Baraza la vyama hivyo...

Habari za Siasa

Biashara kati ya Tanzania na Ufaransa yafikia 94 bilioni

UKUAJI wa biashara kati ya Tanzania na Ufaransa umeongezeka kutoka kiasi cha Sh.  27.8 bilioni kwa mwaka 2015 hadi Sh. 94.5 bilioni kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nimekomaa zaidi kisiasa katika miaka 9 ya ACT Wazalendo

  LEO tarehe 5 Mei, ni ACT Dei. Ni siku ambayo Chama cha ACT Wazalendo kilipata usajili wa kudumu. Tunaadhimisha siku hii kwa...

Habari za Siasa

Mbowe alinigomea kukutana na Magufuli – Job Ndugai

  ALIYEKUWA Spika wa Bunge, Job Ndugai, amedai kuwa aliwahi kumshauri Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kukutana na...

Habari za Siasa

Spika Tulia: Sugu hanitishi, moto wangu anaujua

Spika wa Bunge, Tulia Ackson leo Alhamisi amesema licha ya kuwepo kwa chokochoko kwamba aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi...

Makala & Uchambuzi

Ulinzi hifadhi za Taifa uwe wa kila mtu

UJANGILI wa wanyamapori bado ni tatizo kubwa katika hifadhi za Taifa. Kwa nchi yetu tuna jumla ya hifadhi 22 zinazosimamiwa na Shirika la...

Habari za Siasa

Hatma ya kesi ya uraia pacha kujulikana 31 Mei mwaka huu

  KESI ya kikatiba iliyofunguliwa na raia wa Tanzania waishio nje ya nchi (Diaspora), kupinga Sheria inayokataza uraia wa nchi mbili, maarufu kama...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tumebeba ‘teaching allowance’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema suala la posho ya kufundishia (teaching allowance) kwa walimu ni mzigo mkubwa kwenye kapu la serikali hivyo...

Habari za Siasa

Rais Samia aongeza mishahara kimya kimya “nyongeza zitaendelea kila mwaka”

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza kurejesha mpango wa nyongeza ya mishahara kila bila kutaja viwango ili kudhibiti mfumuko wa bei. Anaripoti Mwandishi...

HabariHabari Mchanganyiko

Sekta ya Mawasiliano imekuwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi nchini-Mohamed

Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serikali Mapinduzi Zanzibar Khalid Salum Mohamed miaka ya hivi karibuni kumekuwa na maendeleo makubwa katika sekta ya...

HabariHabari Mchanganyiko

TCRA yawataka wasafirishaji wa vipeto kujisajili na wengine kuhuisha leseni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa wito kwa wadau wa posta wenye leseni kuhakikisha kuwa wanafuata taratibu, kanuni na sheria...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Rais Samia amewaunganisha Watanzania

  RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaunganisha watanzania katika sekta zote nchini ili kuhakikisha wananufaika na rasilimali mbalimbali zilizopo pamoja na...

Habari za Siasa

Mbowe ataka rasilimali watu ikomboe Afrika kiuchumi

  MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Afrika (DUA), Freeman Mbowe, amezitaka nchi za Afrika kutumia vyema rasilimali watu ili kukomboa...

Habari za Siasa

Samia ateua Mwenyekiti mpya baraza la maadili

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji mstaafu Rose Teemba kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili kuanzia tarehe 24 Aprili 2023. Jaji mstaafu...

Habari za Siasa

Tunduma yatenga bilioni 4 kujenga barabara

  HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe inatarajia kutumia fedha zake za mapato ya ndani Sh bilioni nne kujenga barabara zenye...

Habari za Siasa

Serikali iwarejeshe nchini wafungwa Watanzania

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwarejesha Watanzania wanaoshikiliwa na waliokutwa na makosa ya jinai katika mataifa ya nje. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...

Habari za Siasa

Rais Samia: Miaka 59 ya Muungano imekuwa ya umoja, amani

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema miaka 59 ya Muungano imekuwa yenye umoja, amani na ustawi wa Taifa kama ilivyokuwa ndoto za waasisi...

Habari za Siasa

Raia 200 wa Tanzania waliokwama Sudan kurejea nchini

  SERIKALI imesema kuwa Watanzania 200 waliokwama nchini Sudan wakati huu ambako taifa hilo likiwa kwenye machafuko wapo njiani kurejea nyumbani. Anaripoti Faki...

ElimuTangulizi

Global Education Link kuitafutia TIA fursa vyuo vya nje.

TAASISI ya  Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na wakala wa vyuo vikuu nje ya nchi Global Education Link (GEL), lengo ikiwa ni kushirikiana kuitafutia...

Makala & Uchambuzi

Miradi inayofadhiliwa na GGML inavyoleta mageuzi ya kiuchumi Geita

TANGU kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 2000 nchini Tanzania, imekuwa kampuni kinara...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda ataka Bunge lisikwamishe hatua kwa vigogo walioguswa na CAG

  KATIBU wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan, aanze kuwashughulikia vigogo waliohusika na vitendo vya...

Habari za Siasa

Rais Samia amteua Balozi Kagasheki kumrithi Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Khamis Sued Kagasheki kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole kuanzia tarehe 18 Aprili 2023. Awali nafasi hiyo...

Habari za Siasa

Mdee ang’ang’ania mshahara wa waziri kisa madai ya watumishi

  MBUNGE Viti Maalum, Halima Mdee (Chadema), ametishia kutopitisha fungu lenye bajeti ya mashahara wa Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi...

Habari za Siasa

Spika aagiza changamoto malipo kwa wastaafu iishe

  SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson, ameagiza Serikali kutokomeza changamoto ya ucheleweshaji malipo ya mafao ya wastaafu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Spika Tulia...

Habari za Siasa

Kilio uhaba wa maji kuwa historia Musoma Vijijini

  CHANGAMOTO ya uhaba wa maji katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, iko mbioni kuisha baada ya Serikali kupeleka miradi ya maji...

Habari za Siasa

Tanzania yalaani mapigano Sudan, kuwarejesha nyumbani Watanzania 210

  SERIKALI ya Tanzania, imezitaka pande mbili zinazosigana nchini Sudan na kusababisha mapigano yaliyogharimu maisha ya watu zaidi ya 180 na majeruhi 1,000,...

Habari za Siasa

Kesi ya kina Mdee kupinga kufukuzwa Chadema yapigwa kalenda

KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, imeahirishwa hadi tarehe 18 na 19 Mei,2023 kutokana na Jaji anayeisikiliza, Cyprian...

Habari za Siasa

Rais Samia amtumbua Mkurugenzi Mwanza

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili 2023.

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka Mwigulu, Mbarawa washtakiwe kwa uhujumu uchumi

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amesema kutokana na madudu yaliyoibuliwa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

Dk. Mpango atangaza kibano waliotajwa ripoti ya CAG

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amesema serikali itawachukulia hatua wale wote watakaobainika kuwa wamefanya ubadhirifu...

Makala & Uchambuzi

Ripoti CAG; Hii ndio sababu REA kujiendesha kwa hasara

UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA). CAG ameimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyika kwa maombi ya wafadhili;...

error: Content is protected !!