Categorizing posts based on type of post
WAKATI baadhi ya misikiti ikitumia dakika 20 pekee katika Ibada ya Ijumaa, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) sasa litaumia dakika 45...
By Faki SosiApril 5, 2020BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imezifanyia maboresho fedha za noti, toleo la mwaka 2010, katika kipengele cha usalama. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeziomba jumuiya za kimataifa, hususan taasisi za fedha, kuzipa nafuu katika ulipaji madeni, nchi masikini zenye mikopo, ili ziweze kupata...
By Faki SosiApril 4, 2020SHAHIDI wa mwisho wa upande wa utetezi kwenye kesi namba 327/2018, inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameieleza mahakama kuwa...
By Faki SosiApril 3, 2020JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amekataa kufanya kazi na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageApril 3, 2020MPAKA sasa, watu watatu wawaliokuwa wakisumbuliwa na ugonjwa wa corona, wamepona. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea) Taarifa iliyotolewa na Ummy Mwalimu, Waziri wa...
By Hamisi MgutaApril 3, 2020JOSEPH Haule (Prof. Jay) Mbunge wa Mikumi (Chadema), ametaka kujua ni lini serikali itafuta umiliki wa mashamba pori ya muda mrefu ya Mauzi...
By Danson KaijageApril 3, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimeiomba serikali kutoa taarifa za kina zaidi juu ya maambukizi ya ugonjwa wa Homa...
By Regina MkondeApril 3, 2020GERALD Serikali shahidi wa sita kwenye kesi ya uchochezo inayomkabili Zitto Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza mahakama kuwa alishuhudia miili ya...
By Masalu ErastoApril 2, 2020SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema) amesema, siku akitaka kuhama chama hicho, atasaema na si watu kupiga ramli. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam...
By Kelvin MwaipunguApril 2, 2020SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema), ameishauri serikali kutengeneza mikakati ya dharura ya kukabili mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosabishwa...
By Regina MkondeApril 2, 2020PIKIPIKI na Bajaji zinazosafirisha abiria, zimeruhusiwa kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza changamoto ya usafiri katika kipindi cha mlipuko...
By Regina MkondeApril 1, 2020Yeremia Kulwa Maganja, aliyekuwa Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, amejivua uanachama wa chama hicho, kwa madai kwamba kimegubikwa na hila. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaApril 1, 2020DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amevitaka vyama vya siasa nchini kutumia vyombo husika ikiwemo Baraza la Vyama vya...
By Regina MkondeMarch 31, 2020WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameitaka serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya tathimini ya ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosabishwa...
By Danson KaijageMarch 31, 2020SERIKALI ya Tanzania imeripoti kifo cha kwanza cha Mgonjwa wa Homa Kali ya Mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19). Anaripoti Hamis Mguta…(endelea)....
By Hamisi MgutaMarch 31, 2020IDADI ya wagonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19), nchini Tanzania wamefika 19. Inaripoti Regina Mkonde…(endelea). Taarifa hiyo...
By Regina MkondeMarch 30, 2020SALUM Shamte, Mkurugenzi wa zamani wa Kampuni ya Katani Limited, amefariki dunia afajiri ya leo tarehe 30 Machi 2020, katika Hospitali ya Taifa...
By Regina MkondeMarch 30, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amemwandikia barua ya ushauri Rais John Magufuli iliyohusu namna ya kuukabili ugonjwa unaotokana na virusi...
By Faki SosiMarch 29, 2020MBUNGE wa Moshi Vijijini (Chadema), Anthony Komu, ametangaza “kukihama” chama chake cha sasa; na kuelekea NCCR- Mageuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza na waandishi...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2020ALEX Kimbe, Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo tarehe 28 Machi 2020, ameondolewa madarakani...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2020CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemtupia lawama Maalim Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wake, kikidai kuwa, alisababisha kikiuke sheria kwa kuhamisha fedha za...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2020MAHAKAMA ya Mkoa wa Iringa, imetupilia mbali ombi la Alex Kimbe, Meya wa Manispaa ya Iringa la kuzuia mchakato wa kumng’oa madarakani. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2020VIONGOZI kadhaa wandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika mkoa wa Songwe na jimbo la Tunduma, hatimaye wametoka gerezani. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2020NANI aliyempa sumu Mzee Phillip Mangula, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Ni swali ambalo halijapatiwa majibu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Regina MkondeMarch 27, 2020MAALIM Seif Shariff Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewasihi Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na...
By Jabir IdrissaMarch 27, 2020MOJA ya jambo kubwa na la kipekee kwa marehemu Dk. Makongoro Mahanga, ni kuwa mtu wa kujifunga na kutokuwa na haya katika kubadilika. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguMarch 26, 2020LICHA ya kuwepo kwa tishio la kusambaa kwa virusi vya corona (COVID-19) nchini, uchaguzi mkuu unaoratajiwa kuwanyika Oktoba mwaka huu, hautaahirishwa. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageMarch 26, 2020DENI la Taifa katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19, limeongezeka kwa asilimia 2.18, kutoka Sh. 50.93 trilioni mwaka 2018 hadi Sh. 53.11 trilioni. Anaripoti...
By Danson KaijageMarch 26, 2020CHAMA cha Wananchi (CUF) na Chama Mapinduzi (CCM), vinatajwa kwa matumizi mabaya ya fedha katika Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali katika...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2020MKAKATI wa muda mrefu unaoondeshwa na wabunge pia madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumng’oa Meya wa Manispaa ya Iringa, sasa umeshika kasi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2020SHITAKA la kusababisha kuibua taharuki linalomkabili Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini, limemtibua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea). Nje ya Mahakama ya...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2020ROBERT Mwinje (39) na Nyemo Malendaa(20), wote makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma wanatarajiwa kupandishwa kizimbani muda wowote kutoka sasa. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageMarch 25, 2020MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amekiri kuwa mmoja wa watoto wake, Dudley Mbowe, amekutwa na ugonjwa wa Corona. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2020MIKUTANO ya ndani na hadhara iliyopangwa na Chama cha Demokrasia na Maebdeleo (Chadema), kuanza tarehe 4 Aprili 2020, sasa haitafanyika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2020JUMLA ya viongozi na wafuasi 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepandishwa kizimbani wakituhumiwa kutenda makossa saba. Anaripoti Hamis Mguta, Dar...
By Hamisi MgutaMarch 23, 2020HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe na wenzake 14, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya...
By Faki SosiMarch 23, 2020DAKTARI Milton Makongoro Mahanga, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam, amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 23 Machi...
By Regina MkondeMarch 23, 2020NDIHOLEYE Zuberi Kifu, Mratibu wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini (CHASO), kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Kilimanjaro, amejiondoa...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2020MUSA Bakari, shahidi wa tano kwenye kesi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo ameiambia mahakama kwamba ni kawaida polisi kuua....
By Faki SosiMarch 20, 2020SENGWE Mbaruku, Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima (Mviwata), mkoani Kigoma amedai, Zitto Kabwe ameshtakiwa kwa sababu ya kuwasemea wananchi wa...
By Faki SosiMarch 19, 2020BERNARD Membe, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, ameungana na hoja ya wapinzani ya kudai Tume Huru ya Uchaguzi, itakayowezesha Uchaguzi Mkuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2020KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amedai kuwa amefurahi kumsikia wakili wa Serikali anakiri kuwa Mwandishi wa habari za uchunguzi, Azory Gwanda...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2020VYAMA vya siasa vya upinzani nchini vimeitaka Serikali kuchukua hatua za makusudi, katika kuhakikisha mlipuko wa Ugonjwa ya Homa ya Mapafu, inayosababishwa na...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2020WAGONJWA wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-2019) nchini Tanzania wameongezeka kutoka mmoja hadi kufikia watatu. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMarch 18, 2020CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesitisha shughuli zenye mikusanyiko ya watu wengi, ikiwa ni hatua za kudhibiti kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa homa...
By Kelvin MwaipunguMarch 17, 2020JESHI la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linadaiwa kuzingira Hoteli ya Regency Park iliyoko Mikocheni, jijini Dar es Salaam likimsaka Godbless...
By Regina MkondeMarch 17, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema vyombo vya ulinzi na usalama vinavyokiuka haki, hata kama vikilindwa na serikali...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema kwa kuwa serikali imeweka pamba masikioni, nao wamefika ukomo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar...
By Kelvin MwaipunguMarch 16, 2020HALIMA Mdee, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) na Esther Bulaya, Mbunge wa Bunda mjini, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kufanya...
By Regina MkondeMarch 16, 2020