Saturday , 20 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za SiasaTangulizi

Membe azidi kuwatega upinzani, asema atashinda urais 2020

BERNARD Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania anazidi kuviweka mtegoni vyama vya upinzani nchini humo baada ya kusema, atagombea urais...

Habari za Siasa

Ma-DAS 5 wateuliwa, yupo mtangazaji wa Clouds

WAZIRI wa Nchi, Ofisa ya Rais, Mwnejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, George Mkuchika amefanya uteuzi wa makatibu tawala watano wa wilaya (DAS)...

Habari za SiasaTangulizi

Membe arudisha kadi ya CCM, mamia wamsindikiza

BERNARD Kamillius Membe, aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, ametangaza kurejesha kadi yake ya uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari za Siasa

Iddi Azzan kurejea ‘jimboni kwake’ Kinondoni

IDDI Azzan, aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni (CCM), anajipanga kumvaa Maulid Mtulia anayemaliza muda wake kwenye jimbo hilo, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

UVCCM: Jimbo la Iringa Mjini tunashinda asubuhi

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, jimbo la Iringa Mjini watashinda asubuhi na mapema....

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu 2020: JPM ‘Ukiniomba ruhusa nakupa lakini…’

WAKUU wa Mikoa, Wilaya na hata wakurugenzi wanaoomba ruhusa ya kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao, wapo njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Profesa Kabudi: Ukiteuliwa na Rais Magufuli usitamani kazi nyingine

PROFESA Palamaganda Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amewataka watumishi wa umma nchini kuwa waadilifu na uaminifu wakiwa...

Habari za Siasa

Iddi Azzan: Nilitaka kujiua

KASHFA ya dawa za kulevya niliyobebeshwa, ilitaka kunipelekea kufanya uamuzi wa kujitoa roho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Ni kauli ya...

Habari za Siasa

Ma- RC, DC na RAS waapishwa Ikulu

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amewaapisha wakuu wa mikoa (RC) na Katibu Tawala (RAS) aliowateua wakiwemo wakuu wa mikoa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Majaliwa: Tutaendelea kudhibiti matumizi ya fedha za umma

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli, itaendelea kudhibiti matumizi ya fedha...

Habari za SiasaTangulizi

Kufuru ya Zitto Kusini, amtingisha Prof. Lipumba

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameacha simanzi ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Mkoa wa Mtwara na Lindi. Anaripoti Faki Sosi, Lindi...

Habari za Siasa

Maalim Seif aongeza joto la siasa Z’bar

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiendelea na mchujo wake kwa watia nia wa urais visiwani Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad tayari amechukua fomu...

Habari za SiasaTangulizi

Abdul Nondo atangaza ‘kumvaa’ Zitto Kigoma Mjini

ABDUL Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo, ametangaza nia ya kugombea ubunge Kigoma Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu Majaliwa atoa maagizo kwa mkandarasi, Polisi, TRA na Uhamiaji

KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, ameiagiza Kampuni ya Xiamen Ongoing Construction Group inayojenga  Bandari ya Karema kwa gharama za zaidi ya Sh.47...

Habari za Siasa

JPM ateua wakurugenzi wengine 5

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi watano wa Halmashauri (DED) nchi humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Uteuzi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua wakurugenzi watatu

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakurugenzi watatu katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Mbeya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

Urais Z’bar: CCM yapendekeza majina 5

KAMATI Maalum ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, imependekeza majina matano kati ya 31 ya wanachama wa chama hicho waliojitokeza...

Habari za Siasa

Mnyika: Nguvu ya umma itaamua uchaguzi mkuu 2020

CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimesema, kitatumia nguvu ya umma, kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Mnyika atoa onyo wagombea ubunge, udiwani Chadema 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonya watia nia katika kugombea nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kutoleta mpasuko ndani ya...

Habari za Siasa

Chadema: Tutashinda kwa kishindo udiwani, ubunge Dar

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimeweza kupata wagombea wa ubunge na udiwani, takribani asilimia 90 ya viti vyote vinavyogombewa. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Profesa Lipumba amsimamisha kigogo CUF

PROFESA Ibrahim Haruna Lipumba, Mwenyekiti  wa Chama Cha Wananchi (CUF), kwa kutumia mamlaka ya kikatiba,  amemsimamisha Naibu Katibu Mkuu Zanzibar wa chama hicho,...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu achukua fomu kugombea urais Chadema

TUNDU Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amechukua fomu ya kugombea urais wa Tanzania, kupitia chama hicho, katika...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Narejea Tanzania kabla ya Julai 28

TUNDU Antipas Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, atarejea Tanzania mwishoni mwa mwezi huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua RAS Simiyu

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli  amemteua, Mariam Perla Mmbaga kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu (RAS). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua Ma RC wawili, DC tisa

RAIS wa Tanzania,John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mkoa (RC) wawili na Wilaya (DC) tisa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu: Jimbo la Ngara wagombea CCM, Chadema ‘kupasuana’

ZAIDI ya watia nia 30 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kutaka kugombea Jimbo la Ngara, Kagera kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba Mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Hofu ya kuchafuliwa Chadema yatawala

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonesha hofu ya kuchafuliwa kupitia uchunguzi unaofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). Anaripoti...

Habari za Siasa

Ngono? Hakuna kitu hicho Chadema – Matiko

ESTHER Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini amesema, ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hakuna manyanyaso ya kingono. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Waziri Kairuki awatangazia neema wawekezaji

WAZIRI wa Nchi ofisi ya waziri Mkuu anayeshughulikia uwekezaji, Angellah Kairuki amesema, serikali iko mbioni kukamilisha uhakiki wa madai ya ushuru wa asilimia...

Habari za Siasa

Uchaguzi mkuu 2020: ZEC yavipa jukumu vyama vya siasa

MKURUGENZI wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarus Faina amevitaka vyama vya siasa kuhamasisha ushiriki wa makundi maalum katika uchaguzi kwani hilo...

Habari za Siasa

Membe ataja mambo matatu ya JPM yaliyomkuna

BERNALD Kamillius Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje katika serikali ya awamu ya nne, amefurahishwa na mambo matatu yaliyofanywa na Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Membe aweka ‘sharti’ la Lowassa 2015

BERNALD Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Awamu ya Nne, anataka kile alichofanyiwa Edward Lowassa mwaka 2015, afanyiwe...

Habari za Siasa

Majimbo manne yafutwa Z’bar

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imefuta majimbo mane ya uchaguzi visiwani Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Jaji Mkuu Mstaafu, Hamid...

Habari za SiasaTangulizi

Asasi za kiraia 245 zitakazoshiriki uchaguzi mkuu hizi hapa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa orodha ya asasi za kirais 245 zilizopewa kibali cha kutoa elimu kwa mpiga kura. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Maharagande ajitosa rasmi ubunge Segerea

MBARALA Maharagande, Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Segerea jijini Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Esther Matiko alivyolichambua Bunge la Makinda, Ndugai

ESTHER Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amelichambua Bunge la 10 lililoongozwa na Anne Makinda na Bunge...

Habari za Siasa

Kumekucha CCM: Nani kupenya?

JUMLA ya makada 31 kati ya 32 waliochukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugombea urais visiwani Zanzibar, wameanza kuingizwa...

Habari za Siasa

Chadema yafungua milango urais, uwakilishi Z’bar 

SHUGHULI ya uchukuaji na urudishaji fomu za kugombea urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

Magufuli ampongeza Rais mpya wa Malawi

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amempongeza Dk. Lazarus Chakwera kuwa Rais mpya wa Malawi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wengine kuondoka Chadema

TAKRIBANI wabunge wengine watano kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wako mbioni kukihama chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

CUF yapata katibu mkuu mpya

BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) limempitisha Haroub Shamis kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amkaribisha Membe ACT-Wazalendo

KIONGOZI Mkuu (KC) wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amemkaribisha rasmi mwanadiplomasia mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, kujiunga na chama...

Habari za SiasaTangulizi

Urais Z’bar: Rais Magufuli atoa onyo kali wagombea 31, asema…

RAIS John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ameonya wanachama wa chama hicho waliojitokeza kuwania urais Zanzibar kutochafuana na kuhakikisha wanaheshimiana na...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru apuliza kipyenga ubunge, udiwani kuanzia kesho 

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk. Bashiru Ally amewatangazia wanachama wa chama hicho wanaotaka kuwania ubunge, uwakilishi na udiwani...

Habari za Siasa

Magufuli arejesha fomu, milioni 1.02 wamdhamini

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amerejesha fomu za kuwania urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020....

Habari za SiasaTangulizi

Asasi za kiraia 272 Tanzania kushiriki uchaguzi mkuu 2020 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa vibali vya kushiriki shughuli za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kwa Asasi za Kiraia...

Habari za Siasa

Mbowe: Tunaitafuta dola ili kuleta furaha, maisha bora

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema amesema, wanakwenda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 kuitafuta dola ili...

Habari za Siasa

Chadema: Tunalichukua jimbo la Bukoba Vijijini

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kulichukua Jimbo la Bukoba vijijini pamoja na halmashauri kwa kushinda kata zote za udiwani....

Makala & Uchambuzi

Prof. Lipumba ageukwa na Swahiba wake, Abas Mhunzi

ABAS Juma Mhunzi, makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Zanzibar, “ameliamsha dude.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Amemtuhumu mwenyekiti wake,...

Habari za Siasa

DED alivyoomba radhi mara tatu mbele ya JPM

ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro (DED), amemuomba radhi mara tatu, Rais John Magufuli, kwa kosa...

error: Content is protected !!